In short Utaperi mkubwa unasikia mtu anasema sitaki kusikia habari hizo coz alishapoteza millions kadhaa.... Ni kuhusu Kubetua...Kubatua maana yake nini?
Ha ha poa aiseeIn short Utaperi mkubwa unasikia mtu anasema sitaki kusikia habari hizo coz alishapoteza millions kadhaa.... Ni kuhusu Kubetua...
99% Kubetua ni Utaperi!
Kama upo ndani ya deal Hafu unaambiwa maswala ya Kubetua.... KIMBIAAAAA.
Wapo really buyers out there, na hawana hizo mambo za Kubetua, hawana story mingi, wanapima mzigo wakiridhika wanatoa Pesa Cash, unaenda kufa mbele na mzigo wako.
[emoji3][emoji3]Magufuli akipitia uzi huu kesho atatimua watu na kuagiza JKT wazungushe kuta maeneo hayo yote.
Tatizo connection ya kupata buyer asie na maswala mengi ni tatizo kubwa sana katika malikaleIn short Utaperi mkubwa unasikia mtu anasema sitaki kusikia habari hizo coz alishapoteza millions kadhaa.... Ni kuhusu Kubetua...
99% Kubetua ni Utaperi!
Kama upo ndani ya deal Hafu unaambiwa maswala ya Kubetua.... KIMBIAAAAA.
Wapo really buyers out there, na hawana hizo mambo za Kubetua, hawana story mingi, wanapima mzigo wakiridhika wanatoa Pesa Cash, unaenda kufa mbele na mzigo wako.
Kimange napafahamu.. ni sehem gani hasa? Pongwe au..Mwanangu Venus Star umewahi kuhudhuria shughuli hata moja ya utafutaji wa hii kitu kaka? mimi nimewahi mkuu. Bagamoyo kuna sehemu moja inaitwa kimange tumeenda hapo kaka. Mimi nilifika siku ya tatu baada ya shughuli kuanza, ilikuwa ni kazi ya siku 5 kufukua ardhini walikuwepo pia wazee 2 wa Kijiji. Mambo yaliotokea hapo sitokaa nisahau kaka. Ipo siku nitaweka uzi hapa. Lakini kwa ufupi nilijifunza mengi.
Wapo.... Lazima uchukue muda kutafuta Connection...Tatizo connection ya kupata buyer asie na maswala mengi ni tatizo kubwa sana katika malikale
Utaperi kwenye hii Biashara ni ule ule haubadiriki....OK nasikia kwenye kubetua kuna masharti mengi sana ili mshindwe mtapeliwe
Nilishakua nacho na ikashindikana kwa ajili ya ubabaishaji vitu vipo ni mimi kwenda kuchukua lakini kwa nilivyoona nilipojaribu kutafuta buyer kwa chombo husika usanii na kutaka kuingizana mjinj ndio maana nimefanya kama nimesahau kwa muda sasa kuhangaika na hivyo vitu,wazo langu litaamia kwenye madini tu nikijua utaratibu wa serikali uko vipi na ntanufaika basi.Wapo.... Lazima uchukue muda kutafuta Connection...
Ni ngumu kukutana na buyer kama Huna kitu mkononi.
Hii biashara imewafirisi watu na kuwa maskini wa kutupwa. Na sijamwona mtu aliyetajirika kwa biashara ya vitu vya kijerumani.Ndugu zangu wanajamvi.
Nimekuwa katika utafiti wa mali kale na mambo ya asili kwa muda mrefu.
Katika utafiti wangu nimekuja kugundua wajerumani wameficha mali nyingi sana kawenye ardhi ya Tanzania.
View attachment 1022278
Wakati wa utawala wa wajerumani kulikuwa na fedha ambazo zilikuwa zikitumiaka.
Heller na Rupee zilikuwa zikitumiaka. Coin hizo zilikuwa na madini mengi sana tofauti na coin za sasa.
Kwa mfano 1 Heller kwa sasa inauzwa kwa $900 - $1000.
View attachment 1022271
View attachment 1022276
Kwenye vita vya kwanza vya dunia wajerumani walizichimbia hizo mali sehemu mbalimbali kwenye ardhi ya Tanzania kwa ustadi mkubwa.
Katika tafiti nilizozifanya mpaka hivi leo. Maeneo yafuatayo na mengine mengi ndiko zilipogichwa mali hizo. Inatakiwa kujua sasa ni eneo gani masanduku yenye mali yalichimbiwa:-
Hizi ni sehemu kadhaa zinazohitajika utafiti wa kina ili kujua ni sehemu zipi mali hizo zilifichwa.
- Ikombe
- Mibirizi
- Kasanga
- Ilembule
- Rombo
- Nyakanazi
- Uvinza
- Mlalo
- Kisarawe
- Kazimzumbwi
- Kirondatal
- Tukuyu
- Leganga
- Igulwa
- Ushetu
- Mnazi
- Mikese
- Shume
- Lumbira
- Mbulu
- Nansio
- Sekenke
- Galula
- Liuli
- Manda
- Lushoto
Asanteni
hakuna shart la kushiriki kwenye ushirikina ila ukikutana na tapeli ndiyo utaingia hukoHii biashara imewafirisi watu na kuwa maskini wa kutupwa. Na sijamwona mtu aliyetajirika kwa biashara ya vitu vya kijerumani.
Mwisho ! Kwa nini ni sharti ushiriki katika ushirikina ?
ulikosa kwa kuwa hawakuwa na vibali vya kufanya hayo mambo na lazima walijificha na ukiangalia nilikwambia ni mmoja tu mwenye uwakala wa kulipa haya maswala ya mali kale Tz na yupo DSM pekeNilishakua nacho na ikashindikana kwa ajili ya ubabaishaji vitu vipo ni mimi kwenda kuchukua lakini kwa nilivyoona nilipojaribu kutafuta buyer kwa chombo husika usanii na kutaka kuingizana mjinj ndio maana nimefanya kama nimesahau kwa muda sasa kuhangaika na hivyo vitu,wazo langu litaamia kwenye madini tu nikijua utaratibu wa serikali uko vipi na ntanufaika basi.
Mlipaji ni mmoja tu kwa Tz nzimaulikosa kwa kuwa hawakuwa na vibali vya kufanya hayo mambo na lazima walijificha na ukiangalia nilikwambia ni mmoja tu mwenye uwakala wa kulipa haya maswala ya mali kale Tz na yupo DSM peke
Yes kwa ambae ana vibali vya nchi kudeal na hayaMlipaji ni mmoja tu kwa Tz nzima
Sawa kwa mtu aliemilikishwa hazina kwa upande wa jamhuri anahitajika kufanya nini ili asisumbuliweY
Yes kwa ambae ana vibali vya nchi kudeal na haya
Kifaa cha kutafutia nyoka hiko[emoji1787][emoji1787]Naomba kujua,hii detector inaweza kuona hizo mali kale mafichoView attachment 1622495
Pole Mkuu!Nilishakua nacho na ikashindikana kwa ajili ya ubabaishaji vitu vipo ni mimi kwenda kuchukua lakini kwa nilivyoona nilipojaribu kutafuta buyer kwa chombo husika usanii na kutaka kuingizana mjinj ndio maana nimefanya kama nimesahau kwa muda sasa kuhangaika na hivyo vitu,wazo langu litaamia kwenye madini tu nikijua utaratibu wa serikali uko vipi na ntanufaika basi.
Unazungumzia Cawovico?ulikosa kwa kuwa hawakuwa na vibali vya kufanya hayo mambo na lazima walijificha na ukiangalia nilikwambia ni mmoja tu mwenye uwakala wa kulipa haya maswala ya mali kale Tz na yupo DSM peke
Asisumbuliwe na nani!?Sawa kwa mtu aliemilikishwa hazina kwa upande wa jamhuri anahitajika kufanya nini ili asisumbuliwe
Mimi nna site kamili ina vitu vingi kuwa na viwili ama vitatu si tatizo,tatizo utapeli na tamaa sana kwa walio wengi nilishaonywa kwa watu wengi kuwa hawana nia nzuri mwisho imenikatisha pia tamaa nikatulia na kuendelea na ishu nyingine.Pole Mkuu!
Buyers wazuri ni wa Israel, na Sasa kutokana na Changamoto ya Utaperi, baadhi wapo tayari kukufata pale ulipo na kufanya Biashara huko huko, Ila wanapendekeza angalau uwe na Vitu 2 au 3.
Pia huwa interesting kukufata ulipo kama wakijua May be Serikali ya Kijiji inahusika pia kwenye hivyo Vitu n. K
Believe me, really buyers wapo!
Serikali hapo tunazungumzia pesa maana yake kuna hatua za kiserikali au kunakua na utaratibu ganiAsisumbuliwe na nani!?