Mkuu Barjun,ulisema sio kila mtu hufanikiwa ktk mambo haya,je ni tabia/ mambo yapi humpotezea MTU sifa ya kufanikiwa kupitia malikale?
JIBU:Kupoteza sifa za kwenye deal hizi ni kutokuwa safi kimwili,Nafsi na roho(Nimebeba kwa ujumla)
Na hasa bila kusahau Choyo ndiyo Hukwamisha watu Hata kuibiwa Mizigo yao.
Ikitokea watu kadhaa wameungana kuendesha kazi hizi,wakafika mwisho,na bahati mbaya kati yao wapo wasiostahili,na waligharimia nini hutokea,kundi zima litafeli au wachache watafaulu,jasho la wale wasiostahili linalipwaje?
JIBU:Lazima Kundi zima Lifeli kwa mfano watu wa field hizi wakikaa mbele kwamwe hutoboi kwenye mali kale 1.Daktari 2.Askari(hapa kuna mwiko kuwa hata kama uliwahi kumwaga Damu maishani huwezi fit kwenye Deal,kazi za kiaskari unaelewa kazi za Daktari hakukusudia lakini wakati anafanya Operation Mgonjwa alimfia ,,,,,tayari ni tatizo,pia Mganga wa Kienyeji akikaa Mbele Hutoboi kwa kuwa Lazima atakwambia kuchinja na Mtamwaga damu na kuwa shida kwenu,kumbuka Mtashauriwa kuchanjwa chale-ukiwa na chale na ukaenda site ndani ya miezi 6 lazima zifumuke na zikifumuka Utamwagika Damu na Kumbuka Ndani ya Site haitakiwa damu Mkuu sasa Shughuli utakayopata ni % chache kubaki Hai.kama mtua lishauri kutoa Mimba au alishiriki kwa namna moja ama nyingine tayari walimwaga damu.wawindaji ni ishu japo wao pia huwa na uwezo wa kuona lakini si kuwa mstari wa mbele kwenye kazi.pia marachache wanawake kuweza haya mambo kwa sababu ya Uumbwaji wao na swala zima la Period unaweza kwenda nae site ghafla kwa mshtuko akaanza kubreed ,,inakuwa hatari anaweza beba chombo kwa ajili ya safari kwenda kupata sadaka lakini akaingia hedhi na yeye ndiye alikabidhaiwa kifike ofisini unadhani itkuwaje Hapo?
NB;akiongoza Mtu sahihi wale wengine wanashiriki wakati wa malipo ya Item lakini siyo kufuatilia Jambo kama Item au Site niwatu wa kupewa feedback na kusaport mahitaji tu.
Kuna mbinu/njia gani hutumika kuwabaini wasiostahili? Nani huwabaini?
JIBU:Hapo tabia hazijifichi kila Mnapokuwa pamoja Lazima mtajua tabia zenu mlevi hata jificha Mzinzi hatajificha na Mchawi Atakuwa wazi tu Hata kwa mashauri yake na wakubaini hayo ni ninyi mlio kundi wenyewe kwa wenyewe,inawezekana huyo atakayekuwa anaongoza kila akielekea kwenye kitu Lazima mambo yavurugike.
Ulisema Kaizar aliomba Mali hizi,je watafutaji nao huwa na ibada/sadaka za kuomba ili wafanye kazi? Simaanishi kubatua
Hapa kwenye Mtaftaji Kufanya Kazi?Kazi Gani ?
kwa anaetoa saiti huwa anaenda Kama rafiki Finall Lazima amgeuke Mlinzi wa Site na Ndiyo Maana kuna kuwa na Vita Na Watoasji sahihi huwa hawaruhusu Kundi Lenu Kuwa pale kwa sababu Kwenu Kuhimili Vurumai za Pale inataka Ujasiri Elimu,Dawa husika na Kucheza na Muda zaidi.
Kwa kiasi nimekujibu Ajuaaye