Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Hadithi ni nyingi kama hizo!
Kuna tetesi kuwa Wajerumani walipokaribia kushindwa vita, waliweka dhahabu nyingi kwenye Meli yao kubwa pale Ziwa Tanganyika, harafu wakaizamisha! Inasemekana pamoja na jitihada nyingi za kuitoa meli hazijafanikiwa!
yeah sure ilikua inaitwa Graf Von Gotzen ikabalishwa kuwa MV liemba ilizamishwa mara baada ya vita ya Kwanza ya Dunia na Wajerumani Maksudi mara baada ya kupigwa na Mwingereza …wazamiaji Wangezamia kubeba mali hizo Wajeruman walikua wajanja sana
nimepanda bajaji siku mbili zimepita kuna dada alikua ana sali kanisa fulani la Rome pale Iringa kuna padri akaja akawa anasali pale akaomba awe anafunga na kuomba usiku wakamruhusu kumbe pale madhabahuni pana mali usiku ana chimba anafunika na mkeka Siku kadhaa akapotea kimya kimya kuja kugunudua wamekuta shimo kubwa sana chini na mzigo ushatolewa na wabongo tunakuaga wazembe magetin hatukazi kukagua mtu kasepa na mzigo
 
Kuna mali nyingi sana za zamani zipo ardhini, siyo za Wajerumani, za kabla ya Wsjerumani.

Zipo mali za kina Suleiman, za Karun, za watawala wa zamani kina Ramses na wa kabla yao.

Huzipati hizo mpaka. Achomoke mmoja wao kutoka axis zao ukumbane nae akupe mikoba.
 
kuna mlima fulani hauishi mwezi vitu mfano wa UFO's vinashuka kuanzia mida ya saa5usiku-mpaka saa 10 alfajir, binafsi nishashuhudia zaidi ya Mara 10 sababu sipo mbali na eneo husika, swali langu ambalo najiuliza na nimejaribu kuwauliza na wakazi wa siku nyingi eneo hilo, vile ni vitu gani na ni kwanini ni vinatua nyuma ya ule mlima? wengi majibu yao ni ya kipumbavu na kipuuzi, watakujibu tu kwamba vinatua sana miaka na miaka na hawajui ni nini, labda ni ndege za wachawi...eneo haliko mbali sana na Kambi, sasa je na wale ndugu zetu hawajui ni vitu gani vile huwa vinatua na kuruka? na wakati mwingine, yale marangi na sauti zinasikika dhahir shair? Okay, kule nyuma ya mlima kuna mizigo japo kuna tangazo la maana tu ni marufuku kufika huko, na ukikutwa kwenye Hifadhi hiyo ya Mlima, usimlaumu Mtu..( Eneo lipo kati ya mikoa Mitatu ya Pwani.) na kuona hivyo vidude usiku, ukidhamiria utaviona tu.
 
Yaani hapa dada yangu ndhani upo nje ya mada. Sasa nani kaleta utapeli hapa? Utapeli upi? Je, umefanya utafiti wowote?

Wajerumani walificha mali nyingi sana kwenye ardhi. Walichimbia masanduku ya mali walizozivuna wakati huo kwenye milima wakati wa vita vya kwanza vya dunia.

Sasa unaongelea utapeli!!! Utapeli upi? Halafu mbona unahasira sana? Hutaki watu wengine wajue?

Kaka acha kudanganywa na kudanganya. Zile alama walizoweka wajeremani ni za kupima arthi za surveyors.
 
Wacha kudanganya watu, hakuna mdini yoyote kwenye hizo heller zaidi ya shaba. Hizo zinauzwa kwa "collectors" wa sarafu almaaruf "numismatics".

Thamani zake hizi hapa: German East Africa Heller KM 7 Prices & Values | NGC

Kuna utapeli wa siku nyingi toka miaka ya 70 kuhusu pesa za kizamani. Huu utapeli unakwenda na kurudi. Naona sasa mmeamua kuileta kwenye mtandao.

Yeyote atakae kufanya shughuli za sarafu za zamani azame eBay tu.
Hivi huelewi ulichonisoma au umetanguliza ujinga wa "Islamophobes" mbele na kukufanya uwe "ignorant" wa hali ya juu?
 
Kuna mali nyingi sana za zamani zipo ardhini, siyo za Wajerumani, za kabla ya Wsjerumani.

Zipo mali za kina Suleiman, za Karun, za watawala wa zamani kina Ramses na wa kabla yao.

Huzipati hizo mpaka. Achomoke mmoja wao kutoka axis zao ukumbane nae akupe mikoba.
IMG_20240929_110622_650.jpg
IMG_20240929_110646_453.jpg
 
Neno "ambiwa" hili nimelisikia sana Tanga, wanawake wakitanga wanaoenda sana kulisema hili neno

.
Kabisa hilo neno kuna ustadhat mmoja alikuwa anapenda sana kulisema nikawa simuelewi ,yeye anatokea Korogwe
 
Mimali ya thamani iliyopo ardhini ambayo hiyo hiyo ndiyo waliifata Wajerumani inawashinda wanakuja akina Barick kuisomba nyie mnataka kuleta utapeli wa sarafu.
"inawashinda wanakuja akina Barick kuisomba nyie mnataka kuleta utapeli wa sarafu".

Hapa bila shaka unawataja chama chako CCM ndo wanahusika miaka na miaka kuwauzia wazungu hizo mali.
 
Ndugu zangu wanajamvi.

Nimekuwa katika utafiti wa mali kale na mambo ya asili kwa muda mrefu.

Katika utafiti wangu nimekuja kugundua wajerumani wameficha mali nyingi sana kawenye ardhi ya Tanzania.

View attachment 1022278

Wakati wa utawala wa wajerumani kulikuwa na fedha ambazo zilikuwa zikitumiaka.
Heller na Rupee zilikuwa zikitumiaka. Coin hizo zilikuwa na madini mengi sana tofauti na coin za sasa.
Kwa mfano 1 Heller kwa sasa inauzwa kwa $900 - $1000.
View attachment 1022271

View attachment 1022276

Kwenye vita vya kwanza vya dunia wajerumani walizichimbia hizo mali sehemu mbalimbali kwenye ardhi ya Tanzania kwa ustadi mkubwa.

Katika tafiti nilizozifanya mpaka hivi leo. Maeneo yafuatayo na mengine mengi ndiko zilipogichwa mali hizo. Inatakiwa kujua sasa ni eneo gani masanduku yenye mali yalichimbiwa:-

  1. Ikombe
  2. Mibirizi
  3. Kasanga
  4. Ilembule
  5. Rombo
  6. Nyakanazi
  7. Uvinza
  8. Mlalo
  9. Kisarawe
  10. Kazimzumbwi
  11. Kirondatal
  12. Tukuyu
  13. Leganga
  14. Igulwa
  15. Ushetu
  16. Mnazi
  17. Mikese
  18. Shume
  19. Lumbira
  20. Mbulu
  21. Nansio
  22. Sekenke
  23. Galula
  24. Liuli
  25. Manda
  26. Lushoto
Hizi ni sehemu kadhaa zinazohitajika utafiti wa kina ili kujua ni sehemu zipi mali hizo zilifichwa.

Asanteni
Mkoa wa kilimanjaro na tanga kumejaa tele mpaka sasa kila miezi kadhaa wanakuja wanaweka kambi kabisa.
Sisi kwetu kijiji kun siku barabara inatengenezwa (kuwekwa lami)kuna kona ambayo ilitakiwa kunyoosha ili barabara isiwe na kona ,huwezi amini lile eneo walikuja sijui walitoa hela au laa lakini hapaku himbwa tena kona iliwwkwa kama ilivyotakiwa wakapakwepa na mpaka sasa bado wanakujaga hapo
 
Hii kitu ina network kubwa sana ya wapigaji.... speaking from experience nshatafita sana, pandishwa milima, oga dawa lakini wapi.....
Mpaka kuna siku jamaa mmoja akanielezea namna wanafanya hiyo kitu na akaanzisha kipindi hapo hapo kuhusu stove ipo tukuyu na kuwapigia watu wakatuma advance nipo nae ndio siku nilipojiona kolo kwenye hizo biashara
 
Back
Top Bottom