Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Fake na price yake on demand ina bei kubwa kuliko originals?
Hapo sielewi.
Na unaposema coins za spirits sikuelewi!
Nisemapo coin ambazo ni Spirit ni zenye maajabu lakini ni sarafu kama sarafu na zinakuwa na kuweza kufanya vitu tofauti kwa ajili ya Kile kilichomo ndani yake.
 
JESUIT am not joking baadhi ni mambo ya hatari mno kwa mfano ipo seal fulani ni german traditions ukiiwela pahalapenye hiyo kitu madudu yote hukimbia ni kitabu maalumu mno ''Make this seal in the Night of St. John at midnight and on gold. If you bury this seal at a place where spirits are dwelling, they will leave rapidly and they will leave behind all their treasures.''nimeshindwa iweka hapa seal yenyewe
Yes unazungumzia Napoli Books #1-9 siyo?
au unatumia kitabu gani wewe?
 
Hapa wadau wenye, uelewa na uzoefu na haya maswala waweke,mada za kuelezea Mali kale ni kitu gani,kwanini zilitunzwa,nani walitunza,kwa lengo gani,je zinatolewaje,na hupelekwa wapi? Kwa matumizi gani,nani wanaoweza kuzitoa huko mafichoni,je kuna ushirikina/uchawi hutumika ili kuzitoa? Mtu akilipwa pesa za kuuza vitu hivyo, je kuna masharti yoyote kwenye matumizi Yake au ni pesa za kawaida? Kwa walio na imani za dini mbalimbali kujihusisha na maswala haya kuna athiri imani zao? Natumaini mada zikijibu maswali hayo kwa wanaouliza maswali kwa nia ya kuelewa,watakuwa wamepata mwanga,UKWELI NAAMINI HIVI VITU VIPO HATA KAMA SIJAWAHI KUONA,KWANI HATA SERIKALI YA TZ ISINGETUNGA SHERIA YA KUSIMAMIA MAMBO HAYA, KAMA HAYAPO.NA WASINGEKUWA NA KITENGO CHA MALI KALE KULE WIZARA YA MALIASILI NA UTALII.so karibuni wajuzi kwa mada zilizojaa maelezo ya kufafanua.
 
Hapa wadau wenye, uelewa na uzoefu na haya maswala waweke,mada za kuelezea Mali kale ni kitu gani,kwanini zilitunzwa,nani walitunza,kwa lengo gani,je zinatolewaje,na hupelekwa wapi? Kwa matumizi gani,nani wanaoweza kuzitoa huko mafichoni,je kuna ushirikina/uchawi hutumika ili kuzitoa? Mtu akilipwa pesa za kuuza vitu hivyo, je kuna masharti yoyote kwenye matumizi Yake au ni pesa za kawaida? Kwa walio na imani za dini mbalimbali kujihusisha na maswala haya kuna athiri imani zao? Natumaini mada zikijibu maswali hayo kwa wanaouliza maswali kwa nia ya kuelewa,watakuwa wamepata mwanga,UKWELI NAAMINI HIVI VITU VIPO HATA KAMA SIJAWAHI KUONA,KWANI HATA SERIKALI YA TZ ISINGETUNGA SHERIA YA KUSIMAMIA MAMBO HAYA, KAMA HAYAPO.NA WASINGEKUWA NA KITENGO CHA MALI KALE KULE WIZARA YA MALIASILI NA UTALII.so karibuni wajuzi kwa mada zilizojaa maelezo ya kufafanua.
🙂🙂🙂👍
 
Kusaka huwa hatuachi, tutaacha kusaka na kupumzika siku tukifa....kaburini ndio pahala sahihi pa kupumzika,tena unapumzika saaana baada ya tabu nyingi za KUJILISHA UPEPO.

Sasa tuje kwenye mada. Huyu ndugu alikuja na kipimo, nikamuomba twende tukapime dhahabu maeneo flani,tukafanikiwa kupima. Sasa nikamuuliza kuhusu uwezo wa kutoa hazina za mjerumani,akasema za mapangoni ni dk chache tu,ila za ardhini hawezi,ni zike za wazi tu ndio anaweza...hizo za ardhini anaweza tu kupima na kugundua point ya site.Nikamuomba twende shimoni kuleee...akagundua kuwa ni pale chini kuna mabox matatu, lakini pia akagundua site zingine mbili karibu na eneo hilo, akaongeza pia kuwa site mbili zinalindwa na mashetani,na site moja ni mitego. Alichoomba tu kuwa tuwe share kwa yeye kutoa dawa na kutoa mzigo baada ya kufuufukua,hapa tunalia kupata Scaveta ya kuchimba..kama unalo karibu.
Wee jamaa mbona husomeki. Kuna post ulisema wewe mwenyewe ulifanikiwa kufuatilia direction tena ulisema umepata ramani mkafukua mkaona kuna jiwe juu yenu mkaacha mkaenda kutafuta katapila hiyo ni mwaka 2019. Sasa leo hii tena unasema kwamba kuna jamaa ana kifaa ndo kakusaidia kugundua hiyo sehemu ila ndio kuna jiwe[emoji23][emoji23] bado unatafuta katapila tangu 2019 mpk leo?? Alafu na stori zenyewe unaleta tofauti tofauti.[emoji23][emoji23]

Mkuu hiyo ni post namba #30 ktk uzi huu huu...usije ukafuta tuu kupoteza ushahidi[emoji23][emoji23][emoji23]
Screenshot_20201111-231121.jpg
 
Mkuu Venus Star hio kitu habari yake ni kubwa sana. Niliwahi kushiriki katika moja ya mapango ambayo inasemekana kuna mali za wajeru, Rafiki yangu mmoja alinialika kwenda walau siku moja kuona nini wanafanya. Ilikuwa ni kazi ya siku 5 iliowashirikisha wachungaji na masheikh….. muziki wake si wamchezo mkuu, hasara kubwa na mali haikupatiana. Acha kabisa baba
Hii issue inasaidia kupoteza hela tu na muda, hakuna cha ziada.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Hapa wadau wenye, uelewa na uzoefu na haya maswala waweke,mada za kuelezea Mali kale ni kitu gani,kwanini zilitunzwa,nani walitunza,kwa lengo gani,je zinatolewaje,na hupelekwa wapi? Kwa matumizi gani,nani wanaoweza kuzitoa huko mafichoni,je kuna ushirikina/uchawi hutumika ili kuzitoa? Mtu akilipwa pesa za kuuza vitu hivyo, je kuna masharti yoyote kwenye matumizi Yake au ni pesa za kawaida? Kwa walio na imani za dini mbalimbali kujihusisha na maswala haya kuna athiri imani zao? Natumaini mada zikijibu maswali hayo kwa wanaouliza maswali kwa nia ya kuelewa,watakuwa wamepata mwanga,UKWELI NAAMINI HIVI VITU VIPO HATA KAMA SIJAWAHI KUONA,KWANI HATA SERIKALI YA TZ ISINGETUNGA SHERIA YA KUSIMAMIA MAMBO HAYA, KAMA HAYAPO.NA WASINGEKUWA NA KITENGO CHA MALI KALE KULE WIZARA YA MALIASILI NA UTALII.so karibuni wajuzi kwa mada zilizojaa maelezo ya kufafanua.
Kwa uchache niliyopata kuyajua, mali kale zinazongumziwa hapa ni kutokana na muda zilivyokuwa zimehifadhiwa muda mrefu kipindi cha ukoloni hadi leo(kale) mali ni mali kwa maana ya kumnufaisha mtu mwenye kuzimiliki kwa kuziuza zipo aina tofauti na nyingi inategemea na aliehifadhi ila ni ukweli zipo ndio maana serikali inatambua na kuwa na kitengo cha kushughulikia haya maswala kiserikali kabisa wanaobisha wangeanza kwenda kuuliza sababu ya kuwekwa kitengo cha kusimamia mali kale ni nini katika wizara? Mali kale zinaweza kuwa Gari,Vyombo kwa aina zake hasa vikombe,vijiko,sufuria,visu nk,Saa,Madini kwa aina zake inategemea na eneo husika,Bunduki,Mercury kwa aina zake,Sarafu kwa aina zake. Na kwa uchache vitu vingi hivi halisi huwa havionekani kwenye camera ukitaka kuvipiga picha...Japo kwa uchache nilivyoweza kushare.
 
Wee jamaa mbona husomeki. Kuna post ulisema wewe mwenyewe ulifanikiwa kufuatilia direction tena ulisema umepata ramani mkafukua mkaona kuna jiwe juu yenu mkaacha mkaenda kutafuta katapila hiyo ni mwaka 2019. Sasa leo hii tena unasema kwamba kuna jamaa ana kifaa ndo kakusaidia kugundua hiyo sehemu ila ndio kuna jiwe[emoji23][emoji23] bado unatafuta katapila tangu 2019 mpk leo?? Alafu na stori zenyewe unaleta tofauti tofauti.[emoji23][emoji23]

Mkuu hiyo ni post namba #30 ktk uzi huu huu...usije ukafuta tuu kupoteza ushahidi[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1624479
Mkuu labda hukumwelewa, hiyo kazi ya kuchimba mpaka kufika kwenye jiwe linaloning'inia waliifanya kitambo 2019 na amekuwa akipatembelea site mara kwa mara. Mara ya mwisho mwaka Jana Kama sijakosea, ameenda amekuta lile jiwe (eneo lenye tobo la kuelekea huko sehemu yenye uwazi) imeanza kujifunika na udongo na ndipo akampata jamaa aliyekuwa na kifaa cha kupimia ili kwenda kuthibitisha na alipopima akakuta mzigo upo, akasema asilipwe hela (laki 3) bali awe sehemu ya huo mpango yaani atapata share yake.
 
Wakati mnaanza Mpaka mnafikia kipindi cha sasa hamkukutana na Changamoto hata ya Mauza uza eneo hilo la project yenu?
 
Kusaka huwa hatuachi, tutaacha kusaka na kupumzika siku tukifa....kaburini ndio pahala sahihi pa kupumzika,tena unapumzika saaana baada ya tabu nyingi za KUJILISHA UPEPO.

Sasa tuje kwenye mada. Huyu ndugu alikuja na kipimo, nikamuomba twende tukapime dhahabu maeneo flani,tukafanikiwa kupima. Sasa nikamuuliza kuhusu uwezo wa kutoa hazina za mjerumani,akasema za mapangoni ni dk chache tu,ila za ardhini hawezi,ni zike za wazi tu ndio anaweza...hizo za ardhini anaweza tu kupima na kugundua point ya site.Nikamuomba twende shimoni kuleee...akagundua kuwa ni pale chini kuna mabox matatu, lakini pia akagundua site zingine mbili karibu na eneo hilo, akaongeza pia kuwa site mbili zinalindwa na mashetani,na site moja ni mitego. Alichoomba tu kuwa tuwe share kwa yeye kutoa dawa na kutoa mzigo baada ya kufuufukua,hapa tunalia kupata Scaveta ya kuchimba..kama unalo karibu.
Duh mzigo unasoma mpka na mlinzi anaelinda mali
 
Ukifuatilia habari hizi za mali kale iliyoachwa na wajerumani inaonesha wajerumani walikuwa wachawi hatari.....
Wajerumani walitumia akili sio uchawi

1. wameficha sehemu yenye giza sana
2.wameficha sehemu zenyewe oksijen inakua ndogo sana
3.wameficha sehemu zenye misitu mikubwa yenye wadudu,wanyama wakali

apo lazima uone kama mauchawi uchawi.
 
Back
Top Bottom