Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Ndio watarudi kuzichukua. Kwa utamaduni wa kijerumani, wanaishi zaidi ya miaka 100 na watakumbuka walipoficha.
Waliahendelea na taarifa zao wakiluwa wakiandika kwenye vitabu vya Koo /Familia kwa ajili ya wanaokuja kuweza kufanya incase wao hawapo.
 
Mtu ambaye tukio la Mwanamke kujifungua Kuku Kigoma anataka lielezwe Kisayansi, hawezi kuelewa kuhusu Malikale......

Na hapa kuna Mambo mengi ya Ndani hayajaelezwa !

Acheni kila mtu ashinde Mechi zake, si lazima kujua kila kitu.
 
kapige picha umeme halafu tutumie hapa mkuu....maana unajua upo na vigezo na kazi zake zote.halafu na mimi nitakupigia picha za Mali ya mjerumani halisi siyo fake.
Unaweza sema umefaidika kiasi gani toka uzijue hizo mari za kishetani/mjerumani ?
 
Mtu ambaye tukio la Mwanamke kujifungua Kuku Kigoma anataka lielezwe Kisayansi, hawezi kuelewa kuhusu Malikale......

Na hapa kuna Mambo mengi ya Ndani hayajaelezwa !

Acheni kila mtu ashinde Mechi zake, si lazima kujua kila kitu.
Umeongea jambo la maana sana Mkuu...
 
Unaweza sema umefaidika kiasi gani toka uzijue hizo mari za kishetani/mjerumani ?
🤣🤣🤣 nikusahihishe kuwa zile siyo mali za kishetani mkuu labda kwa kuwa umeingia katikati ndiyo maana ni ngumu kunielewa...jua tu kuwa waliamua kuzificha kwa jinsi ya hiyo ya kutumia ushetani na nguvu zake lakini ni kitu/vitu kama kilivyo/vilivyo kingine/vingine.
 
🤣🤣🤣 nikusahihishe kuwa zile siyo mali za kishetani mkuu labda kwa kuwa umeingia katikati ndiyo maana ni ngumu kunielewa...jua tu kuwa waliamua kuzificha kwa jinsi ya hiyo ya kutumia ushetani na nguvu zake lakini ni kitu/vitu kama kilivyo/vilivyo kingine/vingine.
Sawa ila najua unatetea kitu ambacho hujawahi kukiona tofaut na kuambiwa furani alitajirika kwa pesa za rupea/ mjerumani. Hata mm nilisha ambiwa hivyo hivyo.

Kama unaijua kitulo national park, nilisha ona hizo mambo za red mecury, repea, pasi ila watu walishia tuu kupoteza pesa.

Ngorongoro conservation authority napo hivyo hivyo zipo juu creater ila hamna alie faidika tofauti na kuambiwa mzee furani alipata hivi ikawa hivi akakosea mashart ikaisha.

Mali za mjerumani ni brain wash tu ni myths hawakuacha chochote huku vyote waliondoka navyo, waliacha mapango tu

Toka 2008, hadi leo
 
Sawa ila najua unatetea kitu ambacho hujawahi kukiona tofaut na kuambiwa furani alitajirika kwa pesa za rupea/ mjerumani. Hata mm nilisha ambiwa hivyo hivyo.

Kama unaijua kitulo national park, nilisha ona hizo mambo za red mecury, repea, pasi ila watu walishia tuu kupoteza pesa.

Ngorongoro conservation authority napo hivyo hivyo zipo juu creater ila hamna alie faidika tofauti na kuambiwa mzee furani alipata hivi ikawa hivi akakosea mashart ikaisha.

Mali za mjerumani ni brain wash tu ni myths hawakuacha chochote huku vyote waliondoka navyo, waliacha mapango tu

Toka 2008, hadi leo
Kama sijawahi kuona basi hata niliyoandika tangu mwanzo nilipoanza kwenye Thread hii sijui yametoka wapi na kama ni Myth basi kila ambaye anaingia humu angekupa Maelezo strong ya niliyotoa ya kwanini ni Myths....na Bahati mbaya uliambiwa na wasio na Uhakika na wanachozungumzia na Usisahau kuwa si kila Mtu aliandikiwa kwenye hili fuatilia post za nyuma utanielewa..ninyi huko kitulo na Ngorongoro kama ulifanikiwa kuona Swali langu kwako Nani alienda mpaka pale ulipofika kuona,kwa ajili ya Kuficha vile vitu?kwanini afiche kama havina thamani ?kwanini wasinge vitupa Barabarani kama uselless things? ukipata majibu ya maswali hayo itakusaidia na Myths/Brain wash basi amini hivyo,na hata kama uliviona kwenye Maeneo basi haukuwa na namna ya Kuendeleza kuelekea mwisho namaanisha iwe ni wewe pekee au na wenzio wote mlikuwa hakuna wa kumuongoza mwingine....mkabaki na neno Myths ndani ya vichwa vyenu.
-Unataka mpaka nikushike mkono nikupeleke kwa wahusika?
sasa siyo hizo tu National Park zote na nyingine hazikuwapo ila walifanya kusogeza wanyama kwa ajili ya ulinzi Mwanadamu mpaka afike pale ni ngumu kwa ajili ya wanyama porinimeona vingi na si deal na Hands items kwakuwa ndiyo zenye shida na wewe unasema umefika kama wangekuwa wamesha chukua vyote basi chama fulani wasinge ng'ang'ania waingie madarakani kwa ili iwe rahisi kwa wale jamaa kuja kuchukua vyote mara moja.
na nikusaidie tu kuwa ukishafika kwenye site yenye vitu vile kweli basi wewe ndiye unakuwa Antena kati ya power iliyopo pale na kwenye familia ya mmiliki wa mizigo ya eneo hilo na itampatia taarifa mmoja kati ya wanafamilia wakati mna hangaika kutafuta mtoaji wao wana fanya booking ya ndege na ukisha maliza miaka yako unahangaika akipatikana mtendaji kweli akifika mzigo haupo ulishachukuliwa
kwahiyo Mnabaki na neno lenu MYTHS.😂😂😂😂.
ELIMU SAHIHI YA JAMBO NI MWANGA MKUBWA👈
 
Hii mada nakimbuka babu alikiaga anatuambia wajerumani wameficha pipa la hela shambani...[emoji28][emoji28] **** siku mabinamu wakibwa wakawa wanaplan kufukua shamba sema hawajui location. Hiwa wanasema kuna alama zinaelekeza. Wao wanazijua. Sema wakatishiana hizo mali zina majini[emoji1787]
Unatumia metal ditector Kama kuna Mali yeyeto imefichwa ardhini itakuonyesha
 
Wanavyosemaga zina majini je
Hazina majini ila sehemu zilipofichwa ndo majini na majoka upenda kukaa sababu viumbe hivi upenda kukaa sehemu mbali tulivu pasipo na shughuli za binadamu,hivyo kwenda maeneo hayo ni kuingia himaya za majini na majoka , majoka na majini hayadhuriani ni sawa na mamba na kiboko.
Mwanadamu amepewa akili na uwezo wa kuviamrisha majoka na majini na yakamtii na kuchukua lulu au hazina za mapangoni au vyumba vya chini ya ardhi kwa kufuata kanuni na taratibu alizopewa na Mwenyezi Mungu
 
Sawa ila najua unatetea kitu ambacho hujawahi kukiona tofaut na kuambiwa furani alitajirika kwa pesa za rupea/ mjerumani. Hata mm nilisha ambiwa hivyo hivyo.

Kama unaijua kitulo national park, nilisha ona hizo mambo za red mecury, repea, pasi ila watu walishia tuu kupoteza pesa.

Ngorongoro conservation authority napo hivyo hivyo zipo juu creater ila hamna alie faidika tofauti na kuambiwa mzee furani alipata hivi ikawa hivi akakosea mashart ikaisha.

Mali za mjerumani ni brain wash tu ni myths hawakuacha chochote huku vyote waliondoka navyo, waliacha mapango tu

Toka 2008, hadi leo
Asiyejua maana aambiwi maana
 
Dah ! Vijana wamechimba pembeni eneo la karo la kunawa mikono yao, wameambulia senti za malkia na nimeziona kwa macho. Hili eneo liko chini yangu lakini kwa miaka mingi watu wamefanya jitihada kulibomoa zege ni shida mpaka sasa hawajaweza kubomoa lote.
 
Ndugu zangu wanajamvi.
Nimekuwa katika utafiti wa mali kale na mambo ya asili kwa muda mrefu.
Katika utafiti wangu nimekuja kugundua wajerumani wameficha mali nyingi sana kawenye ardhi ya Tanzania.
View attachment 1022278

Wakati wa utawala wa wajerumani kulikuwa na fedha ambazo zilikuwa zikitumiaka.
Heller na Rupee zilikuwa zikitumiaka. Coin hizo zilikuwa na madini mengi sana tofauti na coin za sasa.
Kwa mfano 1 Heller kwa sasa inauzwa kwa $900 - $1000.
View attachment 1022271

View attachment 1022276

Kwenye vita vya kwanza vya dunia wajerumani walizichimbia hizo mali sehemu mbalimbali kwenye ardhi ya Tanzania kwa ustadi mkubwa.

Katika tafiti nilizozifanya mpaka hivi leo. Maeneo yafuatayo na mengine mengi ndiko zilipogichwa mali hizo. Inatakiwa kujua sasa ni eneo gani masanduku yenye mali yalichimbiwa:-

  1. Ikombe
  2. Mibirizi
  3. Kasanga
  4. Ilembule
  5. Rombo
  6. Nyakanazi
  7. Uvinza
  8. Mlalo
  9. Kisarawe
  10. Kazimzumbwi
  11. Kirondatal
  12. Tukuyu
  13. Leganga
  14. Igulwa
  15. Ushetu
  16. Mnazi
  17. Mikese
  18. Shume
  19. Lumbira
  20. Mbulu
  21. Nansio
  22. Sekenke
  23. Galula
  24. Liuli
  25. Manda
  26. Lushoto
Hizi ni sehemu kadhaa zinazohitajika utafiti wa kina ili kujua ni sehemu zipi mali hizo zilifichwa.

Asanteni
Ww umeshapata mamilioni mangapi hadi sada hivi kutoka kwa hio project?
 
Hazina majini ila sehemu zilipofichwa ndo majini na majoka upenda kukaa sababu viumbe hivi upenda kukaa sehemu mbali tulivu pasipo na shughuli za binadamu,hivyo kwenda maeneo hayo ni kuingia himaya za majini na majoka , majoka na majini hayadhuriani ni sawa na mamba na kiboko.
Mwanadamu amepewa akili na uwezo wa kuviamrisha majoka na majini na yakamtii na kuchukua lulu au hazina za mapangoni au vyumba vya chini ya ardhi kwa kufuata kanuni na taratibu alizopewa na Mwenyezi Mungu
Aweeee. Asantee. Njoo nikuelekeze kwetu. Ila ukavipata kweli tugawane ila mm siendi[emoji23]
 
Aweeee. Asantee. Njoo nikuelekeze kwetu. Ila ukavipata kweli tugawane ila mm siendi[emoji23]
Kama ni uhakika njoo PM.Wapo wataalamu wakusoma codes na Siri za kutolea hizo hazina.hizo hazitolewi na waganga utatapeliwa Hakuna Cha uganga wa uchawi juu ya Mali hizi.
Technology imeendelea Sana vipo vifaa vya kisasa toka ujerumani vya kuditect mali kale zilizofichwa chini Ili kuziibua.
 
Sawa. Na babu wa Loliondo alitibu watu wengi sana sana.
Yule ni tapeli aliyeandaliwa na wahanga wa richmond scandal kupooza joto.Nani alitibiwa akapona.Ilitakiwa astakiwe kwa utapeli na kuuwa watu s
 
Back
Top Bottom