LGE2024 Wajibu wa Wadau wa Uchaguzi wakati wa Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

LGE2024 Wajibu wa Wadau wa Uchaguzi wakati wa Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
1. Jeshi la Polisi
1732376230887.png

Kulinda Mikutano ya Kampeni,
Raia na Mali zao
Kusimamia Ratiba ya Mikutano.

2. Vyama vya Siasa
1732376278767.png

Kuzingatia Sheria Kanuni, Miongozo na Ratiba ya Uchaguzi.
Kuepuka Rushwa, Lugha za Matusi na Kashfa
Kutobagua kwa Jinsia, Ulemavu, Dini, Rangi, Kabila, Itikadi n.k.
-
3. Wananchi
1732376294524.png

Kutii Sheria, Kanuni na Miongozi ya Uchaguzi
Kuepuka Rushwa na Uvunjifu wa Amani
Kuhoji Maswali endapo hawajaelewa.
-
4. Msimamizi wa Uchaguzi
1732376262384.png

Kuitisha Kikao na Vyama vinavyoshiriki Uchaguzi
Kujadili maombi ya Mabadiliko ya Ratiba.
Kuwasilisha Ratiba za Mikutano zilizokubaliwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi wa Wilaya ili kutoa Ulinzi

Chanzo: TAMISEMI 2024
 
Back
Top Bottom