Wajinga wanamwita kibaraka wa mabeberu. Wenye Wazalendo na wapenda Haki wanamwita mtetezi na kiongozi shupavu

Wajinga wanamwita kibaraka wa mabeberu. Wenye Wazalendo na wapenda Haki wanamwita mtetezi na kiongozi shupavu

VIVIANET

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2015
Posts
2,129
Reaction score
2,918
Ni vigumu kuelewa ukweli pale akili zinapokuwa zimefungwa kwenye nguvu ya itikadi. Moja ya kazi kubwa ya itakadi ni kupofusha ufahamu wa mwanadamu. Yesu alipokuja kuwakomboa wanadamu kutoka kwenye utumwa wa Shetani, mafarisayo, Masadukayo na miongozi wa dini walimtungia hila nyingi na kumpa majina mbalimbali. Kuna waliomuita mpotoshaji, wengine walimuita mchochezi na msaliti wa dola ya kirumi hata kumshitaki kwa Pilato aliyekuwa kiongozi wa Kirumi kuwa Yesu anawachochea watu wasilipe kodi kwa kaisari na kuwaambia watu wasitii Sheria za Kirumi.

Tunaona sasa jinsi watu wengi walivyoshibishwa ujinga huo wa kumuita huyo aliyekuwa anawatetea wananchi wasionewe wala kunyanyaswa na sheria kandamizi za migodi ya madini zilizotungwa na serikali, hadi akawekwa ndani, leo wajinga wanamuita kibaraka wa mabeberu, eti anasaidia mabeberu kuiba madini yetu.

Hao wamesahau kwamba hakuna mtu aliyetetea madini yetu kama yeye na mwalimu Nyerere. Ni aibu kwa mtu mwenye akili timamu kufikiria kuwa jamaa ni kibara wakati ndio mtetezi wa mali za nchi. Roho ya ushetani imewaingia watu kama ilivyowaingia mafarisayo ya kumchukia Yesu aliyekuwa mkombozi wa wanadamu, na kusababisha wengi kuingiwa na roho hiyo ya Shetani kumchukia Yesu. Huyu mnayemuita kibara wa mabeberu hajawai kuingiza taifa hasara yoyote kama yule mzalendo mnayemjua.
 
Ukiona bendera ya CCM inapepea juu kwenye nyumba ya mtu,ujue hiyo nyumba haina choo,Sasa jiulize anayeishi huko ni mtu wa Aina gani.
 
Zile frem zenu za mama ntilie na bendela za chadema
Ukiona bendera ya CCM inapepea juu kwenye nyumba ya mtu,ujue hiyo nyumba haina choo,Sasa jiulize anayeishi huko ni mtu wa Aina gani.
 
USSR,
Upinzani hawajawahi kuhubiri ushoga acheni kuwasingizia uongo, ushoga unapendwa na CCM ndiyo maana hawajawahi kupiga marufuku uvaaji wa hovyo hovyo Mlegezo kuacha makalio wazi.
 
VIVIANET,

Yani we mwenyewe ni wa utawala wa Kirumi maana unahamisha sifa za huyo YESU na kumpa Kaisari..JPM ni mkombozi wa wananchi wanyonge na haki sema mna ukipofu hamuoni.
 
Nazgur,

Halafu ccm ndio inayotunga sheria za nchi, ndio ilikuwa na wabunge wengi wakupitisha sheria, ni lini waliwahi kutunga sheria ya kukataza ushoga nchini halafu wapinzani wakapinga?
 
iboyamwaka2020,

CCM ni wengi Bungeni wakiona wabunge wa upinzani wamepeleka jambo la msingi huingiwa na wivu watalipinga hasa ukizingatia kuwa wabunge wa CCM hupenda familia zao wavae nguo hizo chini ya makalio kwa uhuru kwa raha zao.
 
VIVIANET,

Mkuu

It is very funny kwenye hizi nchi zetu za kidikteta nchi zilizokua za kisoshalist na ujamaa wa kipumbavu,kiongozi wa nchi hana kosa, nchi ikienda vibaya ni kosa la mabeberu, nchi ikienda vizuri ni juhudi za mtakatifu dikteta. etc zikiwa zinaua wananchi na uchumi kufanya vibaya makosa ni ya mabeberu nje ya hizo nchi na wala sio walo madikteta

Na too bad wananchi wa hizi nchi wameaminishwa na madikteta hayo hayo kwamba makosa sio yao hua ni ya mabeberu eti sababu wanatuonea "wivu" of which sijui hata ni nini!

Madikteta hua ni majinga sana,yanakomaa kukuaminisha kua yao hayanaga makosa kabisa,uchumi ukiyumba sio yao,watu wakifa sio yao,nchi ikipata vikwazo sio yao, yote ni mabeberu.

Nchi serious zenye chumi imara na systems imara hua hazina malalamiko na claims za kipumbavu kama hizi

Haya huyakuti South Africa, Kenya, Singapore, Japan, South Korea, Ghana,etc. Unazikuta kwenye manchi yanayonuka kama Burundi, Tanzania, Uganda, etc.

Jiulize Tanzania ndio yenye mali tu dunia hii mpaka ionewe wivu kiasi hicho ila Singapore yenyewe haina mabeberu hawana nayo faida?

Madikteta ni majitu ya hovyo mpaka yanashangaza kabisa!
 
Ulichokusudia kuandika inawezekana kilikua na faida, but ulichokosea ni matumizi ya maneno yasiyokuwa na staha. Na andiko lako lina mwelekeo uleule unaoukataa, "akili zilizofungwa kiitikadi". TL na JPM hawawezi kufananishwa na Yesu hata kama utakuwa na mapenzi ya kiasi gani kwa mmoja wao.

Wote hao wanaweza kuwa na mazuri na mabaya, hakuna aliyekamilika. Mizania gani mtu anatumia kuona uzuri au ubaya wa mtu, inategemea mapenzi ya anayepima kwa muhiska. Hoja nzuri haihitaji kutumia nguvu nyingi na maneno makali to reach the destination. Even soft language can do wonders!
 
Ukiona bendera ya CCM inapepea juu kwenye nyumba ya mtu,ujue hiyo nyumba haina choo,Sasa jiulize anayeishi huko ni mtu wa Aina gani.
Kama kongwa watu wote wanatongotongo machoni lakini ndugai kapita vila kupingwa! Kusini WALIPOKWA KOROSHO lakini majaliwa na nape wamepita3bila kupingwa?
 
Kama kongwa watu wote wanatongotongo machoni lakini ndugai kapita vila kupingwa! Kusini WALIPOKWA KOROSHO lakini majaliwa na nape wamepita3bila kupingwa?


wamepita bila kupingwa au wamepitishwa kwa nguvu?
 
Back
Top Bottom