Dollar hermees
JF-Expert Member
- Sep 14, 2013
- 517
- 1,045
SOMA KUHUSU UISLAM KWANZA NDIO ULETE HOJAnani kakudanganya ikiwa hata historia tu inawakana...hakuna asiyejua jinsi historia ilivyotunzwa vzr kuhusu HEKALU la suleimani, na kubomolewa kwake mara kwa mara....
cha ajabu uislamu unadanganya watu MARA ohoo ibrahimu alijenga msikiti mara suleiman ndio kajenga, historia ipo wazi kabla ya muhamadi hapakuwahi kuwepo msikiti wala DINI inayoitwa uislamu,
HISTORIA kuhusu dini kama UHINDU, iliyokuwepo hata kabla ya yesu, hadi leo zipo, iwe uislamu wa juzi tu miaka ya 600 baada ya YESU...
hapa nitakufundisha hadi msikiti wa kwanza ulijengwa lini
Halikujengwa na Nabii Suleiman. Ila watu wengi wanaamini, wakiwemo wayahudi, Nabii Suleiman alijenga hilo hekalu na mabaki ya sanduku la maagano liko hapo.Hata hilo unalosema ni hekalu lililojengwa na Sulemani ambalo lilivunjwa na Warumi, halikujengwa na Sulemani,bali lilijengwa na Wayahudi baada ya kurudi kutoka uhamishoni Babeli, hekalu la Sulemani lilivunjwa na mfalme Nebukadreza mwaka 586 BC
Samahani Suleiman alikuwa ni mfalme je alikuwa ni mfalme wa taifa gani?Weka ushahidi wa hiki ulichokiandika. Msikiti wa kwanza ni wa Makka rejea katika Sahihi Bukhari kisha masjid al Aqsa na mtume akasema tofauti ya umri baina ya misikiti hiyo ni miaka 40.
Jiamboe wewe sasa Hekalu kwa nabii Suleyman alikuwa analifanyia nini ?
Hapa kwenye "chain" ndiyo huwa mnapoteana,kama hujui nini chain,wewe endelea kujadiliana na mimi kama hutakimbia hii mada. Sisi tunataka chain,hizi hanari mnazipata wapi ? Elimu hurithishwa vizazi na vizazi.
Suleyman alikuwa dini gani ? Niambie na unipe ushahidi.
Nipo ...
Sijui.Samahani Suleiman alikuwa ni mfalme je alikuwa ni mfalme wa taifa gani?
Uislamu wa ujumla huu ni ule ambao mitume na manabii wote waliufundisha ya kwamba aabudiwe Mola peke yake wala wasimshirikishe na chochote na kuwapiga vita mataghuti na washirikina kwa hali zao zote. Mafundisho haya yalifundishwa na mitume wote na manabii,ndiyo kuanzia Nuhu mpaka Mtume muhammad imani yao ilikuwa moja.Hii ilikuwa lini ? Bado tunaduru katika Historia,nataka nikuonyeshe Historia sahihi ni ile yenye "chain".
Usiniulize swali ambalo unapaswa kujibu wewe,hekalu ni nini ? Ni kanisa ? Au hekalu ni soko ?
Huwa najiuliza inakuwaje mnajadili mambo msiyo kuwa na elimu nayo ?
Uislamu umegawanyika sehemu kuu mbili :
1. Uislamu wa ujumla huu ni ule ambao mitume na manabii wote waliufundisha ya kwamba aabudiwe Mola peke yake wala wasimshirikishe na chochote na kuwapiga vita mataghuti na washirikina kwa hali zao zote. Mafundisho haya yalifundishwa na mitume wote na manabii,ndiyo kuanzia Nuhu mpaka Mtume muhammad imani yao ilikuwa moja.
2. Kuna Uislamu maalumu ambao huu amekuja nao Mtume Muhammad.
Usipate shida kijana,thibitisha wapi Suleyman alikuwa myahudi,sababu Uyahudi ulilaaniwa kwa ulimi wa Yesu (Issa) na ulimi wa Dawood (Baba yake Suleyman).
Ukinithibitishia ya kuwa Suleyman alikuwa Myahudi kiimani mimi nitakuwa Myahudi.
Wewe niambie tu lini Uyahudi ulianza na nani alikuwa wa mwanzo katika dini hii. Hizi stori nyingine hazina maana hapa,sababu hazielezei chimbuko la Uyahudi.
Ushawahi kukisoma hicho kitabu kwanza ? Ukweli uko hivi baada ya Qur'aan kwa usahihi hakuna kitabu kinazidi sahihi Bukhari kwa usahihi,kusanya vitabu vyote mpaka vya Sayansi hakuna duniani.
Sasa unatakiwa ujiuliza Bukhari ni nani na alikusanya vipi hizo hadithi je aliota au ilikuwaje kisha uje kujadiliana na mimi kuhusu Hadithi. Elimu yake ni elimu yenye sharafu.
Ndiyo maana sisi tunataka chain,Bukhari alikuwa na chain inayofika mpaka kwa mtume kupitia watu walio waona wanafunzi wa mtume mpaka walio muona mtume. Leo hii hapo ulipo unaamini ya kuwa Isaac Newton alikuwepo lakini tukikuuliza unamjua yeyote aliyemuona Newton na akatupasha sisi habari mpaka kufika leo hii,swali hili huwezi kujiuliza zaidi ya kukariri nw kufurahia stori za Sayansi,lakini huki kwetu lazima tumjue nani amesimulia toka kwa nani mpaka inafika kwa wa kwanza. Hii ndiyo Elimu ya Haidithi.
Tuendelee...
Alijenga ule msikiti akiwa na ushawishi kama nani?Sijui.
Unathbitshaje kama suleiman alikuwa mwislamu na sio myahudi...?Hujui chochote kuhusu Uyahudi. Si maana ya Uyahudi Wala Historia.
Historia inasema jina la Uyahudi limetokana na mtoto wa Jacobi, huyu Jacobo alikuwa mjukuu wa nabii Ibrahim halafu Leo unasema Ibrahim alikuwa Myahudi.
Manabii hawawezi kuwa Mayahudi, sababu Uyahudi ni Ukafiri.
Kwa hiyo hao wanathibitisha kuwa Adam,Nuhu,Ibrahim na musa walikuwa ni Waislam.Kama shida yako ni kujua ukweli, hutoupata kwenye Mitandao ya kijamii, tafuta wasomi, hata sio lazima wasomi wa kiisilamu, tafuta wasomi wa Historia ambao ni verified kabisa wamebobea Hio field miaka na miaka wame dedicate maisha yao kufanya tafiti hizo.
Historia ya Jerusalem na Crusaders kuanzia mtafute Proffesor Roy Casagranda wa Chuo cha Austin Texas Marekani, Jamaa amebobea Historia ya Middle East na lectures zake ni Public anaziweka youtube, search tu jina lake youtube na Neno Crusaders kwa mbele.
Kwa hiyo Watu wote wanaotii maagizo na shauri la Mungu ni Waislam.Hata Wakristo wanaotii maagizo ya Mungu ni Waislamuislam sio dini iliyo letwa na MTUME MUHAMMAD SAW. maana ya neno uislam means to submit to will of GOD. Kwahyo kilicho badilika ni practice tu ya uislam. Kwasababu mitume wote wanatoka kwenye uzao mmoja kwa maana babu yao ni IBRAHIM AS.
Kwa kuangalia matendo yake?Unathbitshaje kama suleiman alikuwa mwislamu na sio myahudi...?
Yes, na ukianza leo kufuata mafundisho sahihi utajikuta Automatic unakua muisilamu. Mfano Soma Biblia, Fuata mila za mtume,Kwa hiyo Watu wote wanaotii maagizo na shauri la Mungu ni Waislam.Hata Wakristo wanaotii maagizo ya Mungu ni Waislam
Huyo ni proffesor wa Chuo, anakupa view nyengine ya ki secular, na huu uzi unaongea Jerusalem, hakuna Professor atakayekupa Nondo kushinda huyo. Kama lengo ni kujua ukweli lakini, kama ni kufuata ushabiki na dhihaka achana nae.Kwa hiyo hao wanathibitisha kuwa Adam,Nuhu,Ibrahim na musa walikuwa ni Waislam.
Muislam wa kwanza ni MudyKwa hiyo hao wanathibitisha kuwa Adam,Nuhu,Ibrahim na musa walikuwa ni Waislam.
Yapi?Kwa kuangalia matendo yake?
Yes kinacho badilika ni practiceKwa hiyo Watu wote wanaotii maagizo na shauri la Mungu ni Waislam.Hata Wakristo wanaotii maagizo ya Mungu ni Waislam
Hapana sio kweliMuislam wa kwanza ni Mudy
Kusali au kuabuduYapi?
Usibabaike na neno uislam.Kwa hiyo hao wanathibitisha kuwa Adam,Nuhu,Ibrahim na musa walikuwa ni Waislam.
Uyahudi ni imani kama tu ukristo . Kwahyo sasa tofauti ni kwamba mtume Suleiman alitumwa kama mitume mengine katika zama zake kueneza utukufu wa Mungu. Lakini hawa mayahudi hawa wa zama hizi wengi wapo kwenye mfumo wa Zionism ambao ni wa kibaguziUnathbitshaje kama suleiman alikuwa mwislamu na sio myahudi...?
Kama nilivyosema huko juu, mitume waliswali, walisujudu wakati wanamuomba mungu, walifunga, walitoa Mali zao kwa.masikini, walihiji na kuamini mungu mmoja. Wala huhitaji kusoma Quran Soma biblia utapata Ushahidi wote huo.Yapi?