co fm
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 1,541
- 2,487
Habari za humu wadau,
Ninaomba muongozo kwa malegend jinsi gani ninaweza survive kwa mshahara wa 895k per month baada ya makato yote...chini hapa ni ufafanuzi wa jinsi naweza kugawanya.
1. Kodi 250,000
2. Mafuta ya gari 200,000
3. Wazazi 100,000
4. Matumizi etc 200,000
5. Saving ni amount iliyobaki ambayo ni 145,000.
Je, kwa wenye uzoefu hapo juu naweza kutoboa au kama kuna changamoto how to go about?
Ninaomba muongozo kwa malegend jinsi gani ninaweza survive kwa mshahara wa 895k per month baada ya makato yote...chini hapa ni ufafanuzi wa jinsi naweza kugawanya.
1. Kodi 250,000
2. Mafuta ya gari 200,000
3. Wazazi 100,000
4. Matumizi etc 200,000
5. Saving ni amount iliyobaki ambayo ni 145,000.
Je, kwa wenye uzoefu hapo juu naweza kutoboa au kama kuna changamoto how to go about?