Wajue hijra, ama jinsia ya tatu kutoka India

Mashahidi wa Uganda waliponzwa na hii kitu
 
Heading na maelezo yako ya awali mtu anaweza kudhani ni KHUNTHA unaongelea kumbe unaongelea MASHOGA

Sub-haanallah
 
Wale wale...

Unasema ni nature...wakati MMungu muumbaji kalaani na kukataza hiyo laana?
 
Kuna siri kubwa sana katika ulimwengu wa giza juu ya mamlaka, utajiri na hizi homosexuality acts.....

Dunia ina mengi mazito tusiyoyajua nyuma ya pazia.

Yesu yu karibu kuja kuchukua wateule wake.
Aje awachukue tu mtuondolee kelee. Na Kama hana nauli aseme tu mtumie
 
Kuna siri kubwa sana katika ulimwengu wa giza juu ya mamlaka, utajiri na hizi homosexuality acts.....

Dunia ina mengi mazito tusiyoyajua nyuma ya pazia.

Yesu yu karibu kuja kuchukua wateule wake.
Wachache sana wanaoujua huu ukweli.Wengi wamelevywa na mambo ya dunia,hawataki kusikia habari za mwisho wa dunia na kuja kwa YESU.
 
Nieleweshe khunntha bndo nini
Khuntha ni neno la kiswahili lenye asili ya kiarabu (wanalitumia zaidi waislamu) likiwa na maana ya mtu aliyezaliwa na jinsi zote mbili yaani ana uke na ana uume pia!

Wataalamu wanasema watu hawa ni wachache mno!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…