wajue Kina Dada wa Ki-Nigeria wanaowika ktk movie..so good!

Scandarless woman, mama wa wengi...

Ngozi Ezeonu

Ana diploma ya uandishi wa habari














 
OMOoooooooooooooooooooootola

Honestly, wasichana wa kitanzania wazuri kuliko Nigeria so msitishike na picha kama hizi

tukianza kuweka za watanzania hapa hapakaliki!

Omotola!
 
FL1 asante sana kwa sredi nzuri ila nilikuwa ninaombi, pls naomba majina ya movie nzuri za ki-nigeria ambazo ukiziangalia hutaki kuacha ili na sisi wengine tukazitafute. Na kama kuna mtu anajua duka lenye hizo muvi ambazo quality yake ni nzuri pls msaada (mapicha mengi ya mtaani quality yake ni mbaya sana). NASUBIRI KWA UPOLE.
 
wanatisha kwenye kazi zao. ama kweli waimudu fani ya uigizaji
 
Kutana tena na Liz Benson, First lady alishamweka acha niwaeleze kuwa kwa sasa mama ni mchungaji, kwa hiyo nadra sana kutokes kwenye films

Mama anapiga kazi ya uinjilist sasa hataki mchezo!



 
Anaitwa DAKORE EGUBSON!

Kwangu mimi nnaona is the best, mtundu katika film na maisha ya kawaida, anajulikana zaidi USA kuliko actors wengi sijajua sababu ni nini hasa!

Kacheza film 'men do cry' and 'high stake', 'i feel you'.....ambazo nimeziona
I simply love this girl, film inachangamka







 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…