Kama hutaingia wewe chumbani basi hakikisha mwanao anaingia chumbani, huruma duniani hakuna...ijue mifumo,Ishi Nayo,tengeneza Yako....KISHA UTAITWA KWENYE MEZA YA BWANA
Mi nafanyabiashara na wachina huu ni mwaka wa 30 ndan ya china. Nakuambia wengi hawaaamini chochote. Hata wazungu wa leo hawaaamini chochote Chief zaid ya sayans