Wajue Mapepo katika maumbo ya Wanadamu

Aisee!
 
Porn,porn,porn ni hatari kwa afya ya kiroho, niliziangalia sana hasa nilipojua Nina mgeni,ila baada ya hapo usiku wangu haukuwai kuwa na amani,, nashukuru sana kwa ambayo nilikuwa nikiyaona maana yalinipa nguvu ya kuchukia porn kwa haraka, pia nilitambua nguvu yangu ,na namna inaweza pungua,,, namshukuru Mungu pia kwa kuruhusu kutambua kwamba Mimi ni nani bila hizo porn,na naweza nikaishia wapi nikizipa nafasi maishan mwangu
 
Huu ndo mwonekano halisi wa malaika , kupitia maandiko ya kitabu cha Danieli
 

Attachments

  • Screenshot_20231226-103223_Instagram.jpg
    185.8 KB · Views: 8
  • Screenshot_20231226-103233_Instagram.jpg
    240.7 KB · Views: 9
  • Screenshot_20231226-103227_Instagram.jpg
    184.9 KB · Views: 9
  • Screenshot_20231226-103218_Instagram.jpg
    192 KB · Views: 9
Ahsante Kwa kujazia nyama,

Ungeweka tafsiri Kwa kiswahili japo Kwa uchache, ujumbe ungewafikia wengi zaidi.
 
Mungu akubariki mkuu, hili ni neno la wokovu kabisa, Mungu atulinde sana.
 
Vip waigizaji na wanamuziki wa bongo hukuwaona huko?
Umeambiwa kuepuka kusikilizia muziki wa kidunia.

Ukiacha kusikilizia umejiepusha na hatari.

Lengo Si kutaja watu, Bali ni kuwaepusha watu wawe makini kuepuka, ndomana Wametajwa Wachache.

Bt katika uhalisia hata kwenye ukoo wako waeza kuwapo.

Kaa karibu zaidi na Mungu atakupa macho kuwatambua na kuwaepuka.

Ubarikiwe.
 
mm sio mtu wa kanisa sana ila nina nguvu ya ziada hadi watu wanadhani ni mchawi, mtu anaweza nipangia jambo baya kinachokuja kumtokea kama sio kifo atapata onyo la kudumu.
 
mm sio mtu wa kanisa sana ila nina nguvu ya ziada hadi watu wanadhani ni mchawi, mtu anaweza nipangia jambo baya kinachokuja kumtokea kama sio kifo atapata onyo la kudumu.
Chunguza ujue chanzo Cha nguvu zako ni Kutoka Giza au Nuru.
 
Hii addiction ni mbaya sana
 
Mkuu ungeyasema haya ingekua mimi ni kijana mdgo tu , hii simu unayotumia leo miaka 30 tu nyuma ungeizungumzia ungeonekana mchawi na ni miujiza ya kutisha.
Anayeelewa Maandiko asingeshangaa. Biblia ilishaongelea suala la Maarifa kuongezeka zama hizi. Hata baadhi ya gunduzi za Kisayansi, kuna watumishi wa Mungu "walifunuliwa" kabla ya wanasayansi "kugundua"
 
Inaonekana wewe ni msomi, na wasomi wana kamsemo kao, "no reference no right to argue"

Nimekuwekea kitabu chenye shuhuda za mtu aliyetokewa na Malaika mara kadhaa. Usikiogope, jitie ujasiri ukisome chote. Naamini kitakubadikisha mtazamo kabisa.

Kuna walevi fulani walitaka kujiburudisha kupitia audio ya huo ushuhuda, lakini kilichotokea kilibaki Historia.

Siku hiyo walienda baa na kuagiza bia za kutosha na kuiweka hiyo audio ili waisikilize wakiinywa bia yao taratibu. Lakini walipoanza kuisikiliza, hakuna aliyefanikiwa kuionja bia waliyoagiza. Walijikuta wanatokwa na machozi kwa kuguswa na huo ushuhuda. Bila kulazimishwa, waliishia kutubu dhambi zao zote

Jitahidi kuisoma. Kitakubadilisha mtazamo kabisa. Kina Kweli zitakazokuwa huru.
 

Attachments

Kuna Ushuhuda mzuri wa mama mmoja anaitwa Funimilayo Adebayo ni muinjilusti wa Kinaijeria unaitwa miaka 990 kwenye ufalme wa giza. Anaelezea haya akiwa ni mmojawapo wa hao wanadamu.
Fafanua kidogo mkuu. Mmoja wao kivipi? Jini katika umbo la mwanadamu?
 
Mungu mueza wa yote hayupo angekuwepo angetaka niwe wake wala asingewatumia machawa kma nyie. Kutumia machawa( wahubiri) ni udhibitisho tosha mueza wa yote hayupo na kama yupo ni dhaifu sana kuliko ata wewe .
Mungu hakulazimishi kumfuata. Amempa mwanadamu utashi wa kuamua kuhusu maisha yake.

Ameweja wazi faida za kumtilia Yeye na hasara ya kumtilia Shetani. Uamuzi ni wa mwanadamu, kwamba amfuate Mungu kwa usalama wake au aende kwa Shetani kwa hasara yake. Uamuzi ni juu ya mwanadamu.
 
πŸ™πŸ™πŸ™
 
Mkuu, ni kweli hayo? Walikuta mabaki ya smart tv?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…