Wajue Mapepo katika maumbo ya Wanadamu

Wajue Mapepo katika maumbo ya Wanadamu

Wafuasi wa kanisa pekee la mitume njooni mnaitwa huku na nabii na mtume Rabbon.

View attachment 2861288
Kanisa la mitume hapa halijatajwa hapa hata kama limetakwa litakuwa limetajwa kimakosa ama kwa namna moja ama nyingine tu.
Nina Kubaliana na kiasi kikubwa na mleta mada.
Mimi binafsi uwa najiuliza hivi" kadili muda unavyoenda ndivyo watu wenye uwezo wa kufikiri na kuchanganua mambo ndiyo unavyopungua at the same time technolojia inazidi kupaa kwa kasi. hawa wanaoipaisha technology kwa kasi hii wanaishi dunia ipi?ni dunia Hii hii tunayokutana nayo Jf,face book ama twitter? ama wana dunia yao nyingine?.
Ebu fikiria jambo moja, wewe ungelikuwa kwenye list ya crew iliyovumbua ndege, simu etc ungelichangia Idea gani?.

Dunia ya sasa mtu ana degree 4 etc lakini reasoning yake niya kipumbavu hata darasa la pili wanaweza ona makosa ndani ya reasoning yake.
So, hawa wanaoipaisha tech wanaishi dunia hipi?.
Bible inasema siku za mwisho maarifa ya yataongezeka bila kutaja watakao ya ongeza hayo maarifa ni akina nani, ni binadamu ama Fallen angels!.
Binadamu halisi hakuumbwa na uwezo kufanya haya tunayoyaona leo hii
, tunachokiona leo ni FORBIDDEN KNOWLEDGE na kuna kundi la watu wana access nayo.
Watu hao uzaliwa ndani ya family zetu na kuishi kama sisi.
Shauri yako.
 
Kanisa la mitume hapa halijatajwa hapa hata kama limetakwa litakuwa limetajwa kimakosa ama kwa namna moja ama nyingine tu.
Nina Kubaliana na kiasi kikubwa na mleta mada.
Mimi binafsi uwa najiuliza hivi" kadili muda unavyoenda ndivyo watu wenye uwezo wa kufikiri na kuchanganua mambo ndiyo unavyopungua at the same time technolojia inazidi kupaa kwa kasi. hawa wanaoipaisha technology kwa kasi hii wanaishi dunia ipi?ni dunia Hii hii tunayokutana nayo Jf,face book ama twitter? ama wana dunia yao nyingine?.
Ebu fikiria jambo moja, wewe ungelikuwa kwenye list ya crew iliyovumbua ndege, simu etc ungelichangia Idea gani?.

Dunia ya sasa mtu ana degree 4 etc lakini reasoning yake niya kipumbavu hata darasa la pili wanaweza ona makosa ndani ya reasoning yake.
So, hawa wanaoipaisha tech wanaishi dunia hipi?.
Bible inasema siku za mwisho maarifa ya yataongezeka bila kutaja watakao ya ongeza hayo maarifa ni akina nani, ni binadamu ama Fallen angels!.
Binadamu halisi hakuumbwa na uwezo kufanya haya tunayoyaona leo hii
, tunachokiona leo ni FORBIDDEN KNOWLEDGE na kuna kundi la watu wana access nayo.
Watu hao uzaliwa ndani ya family zetu na kuishi kama sisi.
Shauri yako.
Niseme tu kwamba hata sijaona sababu ni kwa nini umeninukuu maana 99.99% ya gazeti lako halihusiani na nilichoandika mimi.

Ungeandika tu uliyoandika bila kuninukuu maana nimekuja mbio mbio kumbe hakuna kitu!
 
4. UCHUMBA NA NDOA.

Kijana wa kike au wa kiume afikiapo umri wa Kuoa, Mungu huleta mtu wake sahihi Ili wakutane na kuoana, lakini hapo hapo, shetani huwatuma Hawa mapepo katika mwonekano wa mwanadamu Ili kuja kumchanga ya na kumfanya achague mapepo Badala ya mchumba au mke au mume special Kutoka Kwa MUNGU.

Wengi wamejikuta wameoa na Kuolewa na mapepo sababu ya tamaa, kufanya Tendo la NDOA kabla ya Kuoa ukidhani unatest, hii ni mbinu ambayo imefanya wengi Kuoa wake mapepo, au Kuolewa na waume mapepo katika mwonekano wa mwanadamu ambao Si WANADAMU Kwa uhalisia wao.
Unataka kusema na hapa kuna pepo nikipeleka posa!?

1704501920719.png
 
Kuhusu wanaopinga kuwa Mungu Yupo, naamini mambo mawili:
1. Kuna wanaopinga kwa sababu tu wanafuata mkumbo. Hawajui wanachokifanya.

2. Kuna wanaopinga wakiwa wanajua fika kuwa wanapinga kwa lengo la kuwapotosha "wajinga".
Ukikaa chini ukafikiri vizuri utagundua kuna uwongo mwingi sana kwenye hizi habari za uwepo wa Mungu , kama una amini uwepo wa Mungu amini tu bila kuhukumu mwingine asie amini ,kwani kuamni na kuto kuamini ni haki ya mtu.

Wenzetu wazungu wanaamini uwepo wa Mungu wapo smart sana kuliko nyie mnaolazimisha Mungu yupo na kuhukumu wengne wasio amini

Hili jambo la uwepo wa Mungu halina udhibitisho wowote , na ukishakua na akili ya udadisi na kujiuliza maswali lazima utilie mashaka kwa sababu hata maelezo kumuhusu Mungu na mambo yalivyo yanajipinga sana.
 
Kutafuta mpenzi mtandaoni ni unaweza kupata mpenzi pepo,basi ili kuepusha hayo tunaomba jukwaa la love connect lifungwe[emoji848][emoji848]
 
Kutafuta mpenzi mtandaoni ni unaweza kupata mpenzi pepo,basi ili kuepusha hayo tunaomba jukwaa la love connect lifungwe[emoji848][emoji848]
NENO la Mungu liko wazi kuwa:

Mke MWEMA hatafutwi Kwa njia zingine za kidunia, Bali Kwa KUFUNGA na kuomba.

Uchaguzi unabakia kwako, Bt Mungu Si Dikteta atumie nguvu HAPANA.

The choice kuchagua maelekezo ya Mungu au umfuate shetani ni wako.

Karibu.
 
Soma (Ezekiel 28:1-19) Kisha uje useme binadamu aongewaye pale ni aina Gani?
I dont subscribe to that racist,slavery mongering book,written by a bunch of old white jewish males in a desert in the middle east

Sikiamini hicho kitabu na wala sikitambui

Kiamini wewe,contains bunch of lies!

Lete hoja isiyoegemea dini weka hapa rationally tuone kama ita-hold water!

Vitabu vya kis3nge someni nyie
 
uzao qa adam hakuwa kaini na abel peke yake alizaa wana waume na wake sio hao wa3 peke yao na ndio watu hao ambao wanazungumzwa hapo kaini alioa dada yake. Adam aliish miaka 950 akazaa wana na binti soma mwanzo 5 vizur .....story ya mapepo kuzaliwa haipo kwenye biblia n ya kutunga kama ya lilithi tuu....ety jini (pepo( azaluwe ww unayajua maoepo unayasikia?? jini au pepo azaliwe ??
Niambie uzao upi ulikuwepo kabla ya Kaini na Abeli? Ilihali ndiyo ulikuwa uzao wa kwanza afu alipomuua tu Abeli akaenda kuishi kwingine na alikutana na Watu akaoa na kuzaa nao.

Wapi panapoeleza palikuwa na uzao mwingine wa Adam hadi Kaini akakutane na Dada yake wakati huo huo?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Niambie uzao upi ulikuwepo kabla ya Kaini na Abeli? Ilihali ndiyo ulikuwa uzao wa kwanza afu alipomuua tu Abeli akaenda kuishi kwingine na alikutana na Watu akaoa na kuzaa nao.

Wapi panapoeleza palikuwa na uzao mwingine wa Adam hadi Kaini akakutane na Dada yake wakati huo huo?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
waume na wake
 

Attachments

  • Screenshot_20240106-085632_Biblia.jpg
    Screenshot_20240106-085632_Biblia.jpg
    171.1 KB · Views: 4
I dont subscribe to that racist,slavery mongering book,written by a bunch of old white jewish males in a desert in the middle east

Sikiamini hicho kitabu na wala sikitambui

Kiamini wewe,contains bunch of lies!

Lete hoja isiyoegemea dini weka hapa rationally tuone kama ita-hold water!

Vitabu vya kis3nge someni nyie
Kwakuwa HOJA hii inahusiana na kitabu hicho Kwa karibu,

Kaa kimya, tafuta Kaz ingine ufanye.
 
Mada za kutumia akili nakuwa very curious.. sasa inatakiwa ukute full package ili uelewe na ufanye reasoning vzr..

Yeah, Tz ni jambo la kawaida sana kuinvest muda mwingi kwenye mambo ya kijinga..
Sababu maisha ni rahisi
 
Kwakuwa HOJA hii inahusiana na kitabu hicho Kwa karibu,

Kaa kimya, tafuta Kaz ingine ufanye.
Nakaaje kimya wakati umekaa hapa ku dehumanize innocent human beings kwa kutumia kijitabu wameandika kenge kadhaa hapo Middle East?

Mbwa nyie na kitabu chenu kinachoeneza hatred among human beings
 
Soma (Ezekiel 28:1-19).

Halafu uniambie mwanadamu huyo anayeongelewa hapo ni nani.
Asante mkuu nimeisoma, nilivyoelewa ni kuwa mwanadamu alikuwa akiambiwa na Mungu amueleze mkuu wa Tiro.

Inaonesha mkuu wa Tiro alikuwa ni kiumbe kilichokuepo tangu enzi za Adamu. Na kwa nikivyoelewa mimi huyo king wa Tyre alikuwa ni mmoja ya Kerubi waliowekwa kuilinda Eden baada ya anguko la mwanadamu ila naye akaenenda kwa uasi.

Je, una andiko linaloelezea kuwa kizazi hicho kiliendelea hadi sasa, maana mimi nimeelewa kuwa mwisho aliamgamizwa na kupotea milele.
 
Asante mkuu nimeisoma, nilivyoelewa ni kuwa mwanadamu alikuwa akiambiwa na Mungu amueleze mkuu wa Tiro.

Inaonesha mkuu wa Tiro alikuwa ni kiumbe kilichokuepo tangu enzi za Adamu. Na kwa nikivyoelewa mimi huyo king wa Tyre alikuwa ni mmoja ya Kerubi waliowekwa kuilinda Eden baada ya anguko la mwanadamu ila naye akaenenda kwa uasi.

Je, una andiko linaloelezea kuwa kizazi hicho kiliendelea hadi sasa, maana mimi nimeelewa kuwa mwisho aliamgamizwa na kupotea milele.
Hapo ukisoma sifa za huyo Mfalme wa Tiro, ndiye shetani mwenyewe ambaye alijulikana kama Lucifer.

Hapo shetani alikuja Kwa mwili wa mwanadamu kabisa na akawa mfalme. Na alikuwa na akili, Maarifa, utajiri kumzidi Daniel.

Shetani huyo katika mwili wa mwanadamu Kwa nje mfalme wa Tiro aliangamizwa, na akarudi katika mwili wa kiroho na yupo Hadi Leo sababu HUKUMU yake ya milele Bado kufika.

Sasa hajaacha kuleta mashetani na mapepo wenzie, anaendelea Hadi Leo,

Wapo Marais ni mapepo katika mwonekano wa mwanadamu, madaktari, wafanyabiashara, maskini Kwa matajiri , nk nk kulingana na mission zao zilizowaleta duniani.

Ndipo sasa uelewe kuwa jambo Hilo ni Kweli na HAKIKA.
 
Asante mkuu nimeisoma, nilivyoelewa ni kuwa mwanadamu alikuwa akiambiwa na Mungu amueleze mkuu wa Tiro.

Inaonesha mkuu wa Tiro alikuwa ni kiumbe kilichokuepo tangu enzi za Adamu. Na kwa nikivyoelewa mimi huyo king wa Tyre alikuwa ni mmoja ya Kerubi waliowekwa kuilinda Eden baada ya anguko la mwanadamu ila naye akaenenda kwa uasi.

Je, una andiko linaloelezea kuwa kizazi hicho kiliendelea hadi sasa, maana mimi nimeelewa kuwa mwisho aliamgamizwa na kupotea milele.
Pia soma Waebrania 7:1-10), na (Mwanzo 14:18-20).

Mungu Muumba wa Mbingu na Nchi alishuka akawa na mwili wa mwanadamu kama sisi.

Alikuwa kuhani mkuu na Mfalme wa Saleemu. Kuhani huyo, Hana Baba Wala mama, na ufalme wake Hauna mwanzo Wala mwisho, Ibrahimu alikwenda na kumtolea sadaka na ZAKA na akapokea.

Ndo ujue UJASUSI huo haujaisha, unaendelea Hadi Leo.

Shetani akituma askari wake, Mbinguni nako hutumwa Malaika ambao huja Kwa mwonekano wa mwanadamu kabisa.

Nia ni kutusaidia kuzuia mashambulizi ya mapepo katika mwonekano wa mwanadamu kabisa.

Ndomana, vijana wanaaswa kuikimbia zinaa, maana huko kwenye sekta hiyo ndo wako wengi sana, na ukikutana nao KIMWILI, kifo ni nje nje.

Mungu atusaidie.

Amen
 
Back
Top Bottom