Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm sikuhizi siaangali movie za horror maana nahisi kabsa kuna roho za kishetan Zina niingia1. Video uko sahihi kabisa 100% kuna tamthilia inaitwa "Lucifer" niliiangalia na nilijiridhisha imeigizwa na Mapepo kabisa maana nilikuwa nasumbuliwa sana na ndoto za za kishetani zisizoisha usiku kucha hata nikiwa nimefunga. Siku nilipochoma CD moto ndipo zilipokomea hapo jumla.
2. Pornography videos zilinitesa sana kupiga punyeto na nilijitahidi kuacha kwa nguvu zangu kibinadamu ila nilichemka, niliingia rasmi kwenye maombi ya kufunga ndipo hapo niliona nguvu za Mungu zilivyo kubwa zaidi kuliko Shetani. Nilifunga wiki 1 tu kwa imani na tangu 2013 niliacha kabisa punyeto hadi leo hii 2024.
Mungu akubariki sana Mtumishi wake uzidi kueneza injili yake vyema.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ubarikiwe.Mm sikuhizi siaangali movie za horror maana nahisi kabsa kuna roho za kishetan Zina niingia
umesoma fungu gan au hili fungu ndo linakuchanganya??......katika hili fungu anaposema wana wa Mungu anamaanisha uzao wa sethi...na wana wa wanadamu ni ukoo wa kaini....mapepo sio wana wa Mungu ....nenda taratibuPepo katika fomu ya Binadamu, ushaambiwa walifanya ngono na Binadamu wakazaa Wanefili ambao ni Binadamu miraba minne hawajawahi kuwepo wa mfano wake na wenye akli na maarifa kisawasawa, unaendelea tu kukaza fuvu? Toka Pepo kwa jina la Yesu.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kwanini hamtakagi kusoma Biblia na kuyachunguza Maandiko Matakatifu inavyopaswa kama Waberoya?Na mtumishi wa Mungu,Mungu anampa kibali anaibariki hiyo ndoa ya mapepo?
Nashangaa binadamu unaambiwa na kitabu usingizie binadamu wenzio eti wana ni mapepo eti na wewe unakubali unaifanya hiyo kazi ya hovyo kabisaKunywa maji sasa, upunguze hasira.
Basi kaishi wewe bara la Antarctica maana naona kauli nyepesi tu imekuchanganya akili [emoji847]Wamarekani walienda bara mfu la Antarctica walizami ndani na kukuta mabaki ya simu, smart TV na nk .
Sikupingi mkuu[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Kivip mkuu , cha kunichangnya ni kipi apo ?Basi kaishi wewe bara la Antarctica maana naona kauli nyepesi tu imekuchanganya akili [emoji847]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Nakushangaa kama mwanadamu unasoma kitabu kinakwambia ukawaambie watu ni mapepoNadhani uache kukurupuka,
Soma thread Hadi mwisho kabla ya kuniattack.
MADA haiongelei fallen angels Wala majini,Navyo elewa ni kwamba, Majini na Fallen Angles ni Vitu tofauti
Watu wabishi tu afu kila siku wanakuja humu JF kutusumbua "Naombeni ushauri jinsi ya kuacha punyeto" ila tukiweka shuhuda kama hizi wala hawazingatii na kujifunza...hata hivyo kila Mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe kukinywea kikombe cha majaribu na kuokolewa kwa neema na rehema za Mungu.Mm sikuhizi siaangali movie za horror maana nahisi kabsa kuna roho za kishetan Zina niingia
Unamaanisha wewe ni Pepo nimekusingizia kwamba ni binadamu? Au sijakuelewa.Nakushangaa kama mwanadamu unasoma kitabu kinakwambia ukawaambie watu ni mapepo
Eti mungu amekufunulia
Amekufunulia kubatiza watu mapepo?
Hizi ni illusions na ni very poor work on your part to believe a book which tells you usingizie watu ni mapepo
Na manavyopinga mnazidi kuwavuruga kabisa .Nakushangaa kama mwanadamu unasoma kitabu kinakwambia ukawaambie watu ni mapepo
Eti mungu amekufunulia
Amekufunulia kubatiza watu mapepo?
Hizi ni illusions na ni very poor work on your part to believe a book which tells you usingizie watu ni mapepo
Mbona mimi nabisha na hata punyeto sijui inapigwaje mkuu[emoji848]Watu wabishi tu afu kila siku wanakuja humu JF kutusumbua "Naombeni ushauri jinsi ya kuacha punyeto" ila tukiweka shuhuda kama hizi wala hawazingatii na kujifunza...hata hivyo kila Mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe kukinywea kikombe cha majaribu na kuokolewa kwa neema na rehema za Mungu.
Kupanga ni kuchagua....[emoji119]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Lazima tupingeNa manavyopinga mnazidi kuwavuruga kabisa .
Unadhani mambo yote yangeandikwa katika Biblia yangetosha?umesoma fungu gan au hili fungu ndo linakuchanganya??......katika hili fungu anaposema wana wa Mungu anamaanisha uzao wa sethi...na wana wa wanadamu ni ukoo wa kaini....mapepo sio wana wa Mungu ....nenda taratibu
Mkuu kuwapinga tu , na wewe ni pepo ama unatumika na mapepo🤣Lazima tupinge
Haiwezekani eti uite wanadamu wenzio kwenye hii dunia tuliyopo eti ni mapepo walio na miili ya wanadamu tukiuliza umetoa wapi uamuzi huo anajibu eti "mungu kamfunulia"....like really?
Mimi nimemnukuu Mtu mwingine kabisa aliyeninukuu shuhuda zangu humu JF, naona dishi lako limecheza kidogo [emoji28]Mbona mimi nabisha na hata punyeto sijui inapigwaje mkuu[emoji848]