Wajue Mapepo katika maumbo ya Wanadamu

Wajue Mapepo katika maumbo ya Wanadamu

Mbona umepanic?

Yesu yupo, alikufa na kufufuka, ndiye aliyeleta ujumbe huu!!
Mkuu

Nashangaa inakuaje mwanadamu anafikiria vitu kichwani kwake halafu anaanza kuwaita huyu pepo,yule pepo,etc eti Yesu kakwambia

How do we believe that illusions?

Huyo Yesu hayupo hapa akatupa huo ushahidi

Unasema alikufa akarudi,yuko wapi aripoti hapa tumuulize maswali maana inaonekana wewe ndio wakili wake.

Cha kushangaza ni LINI aliongea na wewe akakukabidhi nyaraka zinaonesha hawa wanadamu ni mapepo?

Hii ndio hatari ya dini

Maana ukimuita mtu pepo kinachofuata ni chuki and divisions,dini ni hatari kama ukoma hasa christianity,worst people!
 
Washika dini wanakuwa na ukichaa, ila ukimshika Mungu unawakuwa na akili njema.

Bahati mbaya wengi wetu tunapenda dini kuliko kumpenda Mungu.

Mit‬hali 1:7‬ ‭SUV‬‬

[7] Kumcha BWANA ni chanzo cha maarifa, Bali wapumbavu hudharau hekima na adabu.
Apo kuna kichaa anae meza dawa na kichaa asiye meza dawa🤣🤣🤣
 
Mkuu

Nashangaa inakuaje mwanadamu anafikiria vitu kichwani kwake halafu anaanza kuwaita huyu pepo,yule pepo,etc eti Yesu kakwambia

How do we believe that illusions?

Huyo Yesu hayupo hapa akatupa huo ushahidi

Unasema alikufa akarudi,yuko wapi aripoti hapa tumuulize maswali maana inaonekana wewe ndio wakili wake.

Cha kushangaza ni LINI aliongea na wewe akakukabidhi nyaraka zinaonesha hawa wanadamu ni mapepo?

Hii ndio hatari ya dini

Maana ukimuita mtu pepo kinachofuata ni chuki and divisions,dini ni hatari kama ukoma hasa christianity,worst people!
Unabishana na Mimi au Yesu?
 
Unabishana na Mimi au Yesu?
Nabishana na wewe

Nibishane na mtu aliekufa kwanza ni mtu wa kufikirika

Nabishana na wewe a human being I can see and verify not some fikirika nonsense ambae hawezi ongea hajawahi ongea na wala hawezi jibu lolote
 
Mkuu ungeyasema haya ingekua mimi ni kijana mdgo tu , hii simu unayotumia leo miaka 30 tu nyuma ungeizungumzia ungeonekana mchawi na ni miujiza ya kutisha.
Simu kitu gani mbele za Mungu wewe nakati historically Wamarekani walienda bara mfu Antarctica walizamia ndani na kukuta mabaki ya simu, smart tv n.k ndipo nao waka-renovate?

Acheni kuwatukuza hao Watu sana ilihali hata miongoni mwao walikaza mafuvu lakini wakasarenda na kukubali ukuu wa Mungu.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu

Nashangaa inakuaje mwanadamu anafikiria vitu kichwani kwake halafu anaanza kuwaita huyu pepo,yule pepo,etc eti Yesu kakwambia

How do we believe that illusions?

Huyo Yesu hayupo hapa akatupa huo ushahidi

Unasema alikufa akarudi,yuko wapi aripoti hapa tumuulize maswali maana inaonekana wewe ndio wakili wake.

Cha kushangaza ni LINI aliongea na wewe akakukabidhi nyaraka zinaonesha hawa wanadamu ni mapepo?

Hii ndio hatari ya dini

Maana ukimuita mtu pepo kinachofuata ni chuki and divisions,dini ni hatari kama ukoma hasa christianity,worst people!
Nadhani uache kukurupuka,

Soma thread Hadi mwisho kabla ya kuniattack.
 
Haya "macho ya rohoni" ndio chanzo cha matatizo yote

How do we believe "macho yako ya rohoni" ndio sahihi?

Wewe kwenye ndoto zako ukaona mama yako ay jirani yako ndio huyo pepo,huoni ni vita na chuki tu ndio zinafuata?

How do we actually believe this "macho ya rohoni" nonsense?

Hii ndio mwanzo wa maneno ya chuki na kuua na kubanika watu live sababu "mungu kakuonesha rohoni"!

Dini is the source of all evils
Kunywa maji sasa, upunguze hasira.
 
Simu kitu gani mbele za Mungu wewe nakati historically Wamarekani walienda bara mfu Antarctica walizamia ndani na kukuta mabaki ya simu, smart tv n.k ndipo nao waka-renovate?

Acheni kuwatukuza hao Watu sana ilihali hata miongoni mwao walikaza mafuvu lakini wakasarenda na kukubali ukuu wa Mungu.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Wamarekani walienda bara mfu la Antarctica walizami ndani na kukuta mabaki ya simu, smart TV na nk .

Sikupingi mkuu😊😊😊😊😊
 
Pepo katika fomu ya Binadamu, ushaambiwa walifanya ngono na Binadamu wakazaa Wanefili ambao ni Binadamu miraba minne hawajawahi kuwepo wa mfano wake na wenye akli na maarifa kisawasawa, unaendelea tu kukaza fuvu? Toka Pepo kwa jina la Yesu.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣 nimecheka mpka kamasi limepanda kama pulizo.
 
Asante Kwa mchango mzuri.

Hawa wanaoongelewa kwenye mada Si majini au mapepo katika mwili wa kiroho HAPANA.

Hawa ni watu kabisa, wamezaliwa kabisa, tunaishi nao, tunasali nao, ni wanafunzi wenzetu , kazini wapo nk nk

Wana miili ya WANADAMU kabisa ila Si WANADAMU.

Ni Pepo Walio katika form au mwili kabisa wa mwanadamu.

Baadhi Wametajwa humo kwenye ushuhuda huo.

Amen
Hizo habari umetoa toka kwa kina Rachel mushala na zipporah mushala Rabbon
 
Back
Top Bottom