Wajue Mapepo katika maumbo ya Wanadamu

Mbona umepanic?

Yesu yupo, alikufa na kufufuka, ndiye aliyeleta ujumbe huu!!
Mkuu

Nashangaa inakuaje mwanadamu anafikiria vitu kichwani kwake halafu anaanza kuwaita huyu pepo,yule pepo,etc eti Yesu kakwambia

How do we believe that illusions?

Huyo Yesu hayupo hapa akatupa huo ushahidi

Unasema alikufa akarudi,yuko wapi aripoti hapa tumuulize maswali maana inaonekana wewe ndio wakili wake.

Cha kushangaza ni LINI aliongea na wewe akakukabidhi nyaraka zinaonesha hawa wanadamu ni mapepo?

Hii ndio hatari ya dini

Maana ukimuita mtu pepo kinachofuata ni chuki and divisions,dini ni hatari kama ukoma hasa christianity,worst people!
 
Unanikaribisha kwenye ukichaa mkuu🀣🀣🀣
Washika dini wanakuwa na ukichaa, ila ukimshika Mungu unawakuwa na akili njema.

Bahati mbaya wengi wetu tunapenda dini kuliko kumpenda Mungu.

Mit‬hali 1:7‬ ‭SUV‬‬

[7] Kumcha BWANA ni chanzo cha maarifa, Bali wapumbavu hudharau hekima na adabu.
 
Apo kuna kichaa anae meza dawa na kichaa asiye meza dawa🀣🀣🀣
 
Unabishana na Mimi au Yesu?
 
Unabishana na Mimi au Yesu?
Nabishana na wewe

Nibishane na mtu aliekufa kwanza ni mtu wa kufikirika

Nabishana na wewe a human being I can see and verify not some fikirika nonsense ambae hawezi ongea hajawahi ongea na wala hawezi jibu lolote
 
Mkuu ungeyasema haya ingekua mimi ni kijana mdgo tu , hii simu unayotumia leo miaka 30 tu nyuma ungeizungumzia ungeonekana mchawi na ni miujiza ya kutisha.
Simu kitu gani mbele za Mungu wewe nakati historically Wamarekani walienda bara mfu Antarctica walizamia ndani na kukuta mabaki ya simu, smart tv n.k ndipo nao waka-renovate?

Acheni kuwatukuza hao Watu sana ilihali hata miongoni mwao walikaza mafuvu lakini wakasarenda na kukubali ukuu wa Mungu.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Nadhani uache kukurupuka,

Soma thread Hadi mwisho kabla ya kuniattack.
 
Kunywa maji sasa, upunguze hasira.
 
Wamarekani walienda bara mfu la Antarctica walizami ndani na kukuta mabaki ya simu, smart TV na nk .

Sikupingi mkuu😊😊😊😊😊
 
🀣🀣🀣🀣 nimecheka mpka kamasi limepanda kama pulizo.
 
Hizo habari umetoa toka kwa kina Rachel mushala na zipporah mushala Rabbon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…