Second July
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 234
- 323
hahaaaaaaa
yani mie mpaka sasa finally najua bayern na realyy
barca wasahau tu
Malegend wa mchezo wa ngumi duniani kama Tyson na wenzake wanaamini katika kushambulia zaidi na sio kulinda zaidi(kupaki basi)..Wanaona Floyd yupo kama "Jose Mourinho" yaani anachojali yeye ni ushindi na sio kufurahisha audience kwa kumshambulia adui ila kutumia ujanjaujanja na uwezo kupata matokeo.
huku upande wa pili kuna Pacman, Bondia anayekubalika kwa uwezo wake wa kushambulia zaidi ... ndondi zingekuwa mpira Basi Angekuwa Barcelona
Binafsi mi ni #Teamfloydmoney namtakia ushindi wa KO... Huyo Pacman akaigize na kina Jericho Rosales
Usijiaminishe sana, huu mpira huwa unaliza watu. Mi bado natoa 50-50. We toa 100, ck ya mechi ukose ucngz bureeeee....
hahaaaa stay away from Dope ma nigga.
Wameweka pembeni tofauti zao.
"THE original MONEY TEAM, you gotta love it. My brother ready,may 2 don't get scared now. #FRIGO #EFFENVODKA #SMSAUDIO "
Ndo alichokiandika 50 Cent Instagram (@ 50cent) on Apr 23, 2015 at 4:27a.
Tutamkumbusha mod akupige hiyo ban mtakapokalishwa may 2. Ndo utajua utamu wa orthodox style kwenye boxingMe bet for pacuiao, honestly.. mayweather ni mzee wa kujiguard tu nakukumbatiana ulingoni, lakini Manpac mzee wa makonde yenye kasi, anamjua ndomana alikua anadhani jamaa anatumia madawa yakuongeza nguvu, kumbe ni uanaume tu.
Akipigwa manny pac, wanipige ban siku 25 niomboleze vizuri.
Hao watu hawataki dogo awafute kwenye historia ya masumbwi kama legendsUpande wa Pacquiao wapo wataalam wa masumbwi, kwa hiyo inaonekana mphilipino ni mkali
Me bet for pacuiao, honestly.. mayweather ni mzee wa kujiguard tu nakukumbatiana ulingoni, lakini Manpac mzee wa makonde yenye kasi, anamjua ndomana alikua anadhani jamaa anatumia madawa yakuongeza nguvu, kumbe ni uanaume tu.
Akipigwa manny pac, wanipige ban siku 25 niomboleze vizuri.