Wajue mastaa wakubwa duniani walio Team Pacuiao vs Team Mayweather, na maajabu yake.

Manny lazima amshikishe adabu huyu lofa mpenda masifa.

ungemalizia, ''and vice versa is true''! teh..
Mkuu ila ndio matokeo, MayWee kacheza kijanja janja sana!

Pac amekiri wazi kuwa hakuwa anampata vizuri MW kwa kuwa jamaa alikuwa anamkimbia sana!
 

Twambie kama bado uko tayari kuomboleza vizuri!
 

nadhani pac hajapigwa kwa kiswahili sanifu. kupigwa ni ndani ya raundi 12 yaaani kwa knock out lakini mkienda kwenye points huko siyo kupigwa ni ushindi wa mezani ( wa majaji)
 

teh teh...
snipa
status: Banned
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…