Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

Halafu waswahili wataanza kusema akina Rockefeller ni mafreemason wa daraja la 1
 
Hujajibu swali, that much is clear.

Imetolewa na nani? inapatikana wapi? ina authority gani?

List inayojulikana na kuwa quoted the most - rightly or wrongly- ni ya Forbes. Ambayo haijawahi kuripoti mtu kufikisha net worth ya 100 billion US dollars.

Huyu Rockefeller mwenye net worth ya dola bilioni 663 karipotiwa na list gani? Inaitwaje? Inapatikana wapi?

Na hizi dollar ni dollar gani?

Maana isije kuwa tunaongelea dollar za Zimbabwe hapa.
Kaka mwaka 1997 kama sikosei Bill Gate alikuwa na 128USD na utajiri wake unakua 11% annually hence 25yrs mbele akiwa na 86yrs old atakuwa Trillionaire[emoji51]
 
Screenshot_2017-03-22-21-00-16.png
 
kwa muda wa miaka kumi nimekuwa nikifanya research kuhusu familia inayojulikana kwa jina la ROCKAFELLERS

kuna mada ililetwa humu kuhusu rothschild ilikuwa ni mada nzuri
na katika baadhi ya wachangiaji walisema kuwa familia ya kina rothschild imepoteza ubabe wao wa kipesa eti familia ya kina rothschild wanazidiwa na kina bill gates, warren buffet n.k

niliishia kucheka na ndicho kilinichonisukuma mie leo kuandika machache kuhusu familia hii ya kina rockafeller

rockafeller ni familia ambayo imekuwapo tangu enzi na enzi ndio msingi wa serikali ya marekani kuwepo pale
ubabe wa serikali ya marekani unatokana na uwezo wao hawa jamaa Rockerfeller

JOHN D ROCKERFELLER NDIO TAJIRI AMBAYE HAWA NINA BILL GATES UTAJIRI WAKE WATAKALIA KUUSIKIA TU

BILL GATES ANA LIKE 50 MILL BILLION USD ILA DID YOU KNOW THAT JOHN D ROCKAFELLER'S NET WORTH ILIKUWA $663.3 BILLION IN 2007 , ACCORDING TO LIST OF WEALTHIEST HISTORICAL FIGURES


huyu jamaa watu wanasema alifilisika , no hakufilisika ila pesa zake alianzisha miradi mbali mbali mikubwa CHINI YA SERIKALI YA MAREKANI

na hii ilikuwa ni kujipenyeza ili aweze kuwa na say katika serikali ya marekani

mpaka leo familia yake ndio familia yenye nguvu sana marekani na duniani kote, wao ndio wanachagua nani awe raisi, nani awe mkuu wa majeshi nani awe makamu wa raisi famlia ya rockerfeller wanaingiza pesa nyingi sana kila siku kwenye miradi mikubwa ya marekani ikiwamo mradi wao maarufu wa ROCKAFELLER CENTER

rockafeller center ni nini??

Ngoja nikuulize swali dogo?

ukiambiwa neno NEW YORK unafikiria nini

MAGHOROFA si ndio
hayo maghorofa ambayo asilimia kubwa yako yapo pale midtown midtown manhattan
sasa jamaa hawa wana majengo 19 katika midtown manhatan acres 22 kuanzia street ya 48 mpaka ya 51

820px-NYC_Top_of_the_Rock_Pano.jpg





kama hivyo ndivyo rockafeller center inavyoonekana

picha zingine hizi hapa

250px-GE_Building_by_David_Shankbone.JPG








220px-Rockefeller_under_construction.png






hapa ilivyokuwa inajengwa mwaka 1932


wao ndio wanamiliki vyuo vikuu maarufu vyote vya marekani kwa kupitia Rockafeller foundation


vyuo hivyo ni





vingine ni




  • Senior (and Junior) also created
    • Rockefeller University in 1901
    • General Education Board in 1902, which later (1923) evolved into the International Education Board
    • Rockefeller Sanitary Commission in 1910
    • Bureau of Social Hygiene in 1913 (Junior)
    • International Health Commission in 1913
    • China Medical Board in 1915.
    • Rockefeller Museum, Israel, 1925&[HASHTAG]#8211[/HASHTAG];30
    • In the 1920s, the International Education Board granted important fellowships to pathbreakers in modern mathematics, such as Stefan Banach, Bartel Leendert van der Waerden, and André Weil, which was a formative part of the gradual shift of world mathematics to the US over this period.
    • To help promote cooperation between physics and mathematics Rockefeller funds also supported the erection of the new Mathematical Institute at theUniversity of Göttingen between 1926 and 1929
    • The rise of probability and mathematical statistics owes much to the creation of the Institut Henri Poincaré in Paris, partly by the Rockefellers' finances, also around this time.[SUP][7[/SUP]
    • Junior was responsible for the creation and endowment of the Colonial Williamsburg Foundation, which operates the restored historical town at Williamsburg, Virginia, one of the most extensive historic restorations ever undertaken.


REAL ESTATE

HAPA NDIO PATAMU



The family was heavily involved in many real estate construction projects in the U.S. during the 20th century. Chief among them:

  • Rockefeller Center, a multi-building complex built at the start of the Depression in Midtown Manhattan, financed solely by the family
  • International House of New York, New York City, 1924 (Junior) {Involvement: John D. 3rd, Abby Aldrich, David & Peggy, David Jr., Abby O'Neill}
  • Wren Building, College of William and Mary's, Virginia, from 1927 (Renovation funded by Junior)
  • Colonial Williamsburg, Virginia, from 1927 onwards (Junior, Abby Aldrich, John D. 3rd and Winthrop), historical restoration
  • Museum of Modern Art, New York City, from 1929 (Abby Aldrich, Junior, Blanchette, Nelson, David, David Jr., Sharon Percy Rockefeller)
  • Riverside Church, New York City, 1930 (Junior)
  • The Cloisters, New York City, from 1934 (Junior)
  • The Interchurch Center, New York City, 1948 (Junior)
  • Asia Society (Asia House), New York City, 1956 (John D. 3rd)
  • One Chase Manhattan Plaza, New York City, 1961 (David)
  • Nelson A. Rockefeller Empire State Plaza, Albany, New York, 1962 (Nelson)
  • Lincoln Center, New York City, 1962 (John D. 3rd)
  • World Trade CenterTwin Towers, New York City, 1973-2001 (David and Nelson)
  • The Embarcadero Complex, San Francisco, 1974 (David)
  • Council of the Americas/Americas Society, New York City, 1985 (David)
  • In addition to this is Senior and Junior's involvement in seven major housing developments:
    • Forest Hill Estates, Cleveland, Ohio
    • City Housing Corporation's efforts, Sunnyside Gardens, Queens, New York City
    • Thomas Garden Apartments, The Bronx, New York City
    • Paul Lawrence Dunbar Housing, Harlem, New York City
    • Lavoisier Apartments, Manhattan, New York City
    • Van Tassel Apartments, Sleepy Hollow, New York (formerly North Tarrytown)
    • A development in Radburn, New Jersey
    • A further project involved David Rockefeller in a major middle-income housing development when he was elected in 1947 as chairman of Morningside Heights, Inc., in Manhattan by fourteen major institutions that were based in the area, including Columbia University. The result, in 1951, was the six-building apartment complex known as Morningside Gardens










ROCKEFELLER NDIO WAANZILISHI WA
Fed AU KWA JINA JINGINE NI FEDERAL RESERVE SYSTEM


FED NI NINI?

FED NI BANK SYSTEM YA MAREKANI AMBAYO NDIO INAYO CONTROL DOLLAR ILIYOANZISHWA MWAKA 1913 KAMA SIKOSEI

NA HII WALIKUJA NAO KIPINDI CHA GREAT DEPRESSION KWANI GD ILIKUWA INACHANGIA WAO UTAJIRI WAO KUSHUKA SO WAKAJA NA HII FED ILI WAWEZE KU CONTROL DOLLAR

WANA MSEMO UNOSEMA

WE CONTROL DOLLAR, WE CONTROL OUR WEALTH

252px-USDnotes.png



WOTE TUNAJUA KUWA WAO NDIO WENYE
WORLD TRADE CENTER NA

STORY ZINASEMA KUWA WAO NDIO WALIOIANGUSHA WORLD TRADE CENTER

WHY??

1 SWEET REVANGE
2. 1 SHOT TWO BIRDS


SWEET REVANGE

SWEET REVANGE NI KUWA WANA TAKE BACK THEIR OIL BUSINESS FROM ARABS KWANI KIPINDI KILE WAO ENZI ZA KINA JOHN D UTAJIRI WAKE MKUBWA ULIKUWA NI OIL

THEN ARABS WAKA TAKE OVER

SO WANAFANYA SWEET REVANGE WAKICHUKUA WALICHOIBIWA KUTOKA KWA BABU YAO JOHN D Oil


1 shot two birds

hii ni kuwa
they take back oil business kwa kuiba oil kutoka kwa arabs

na kufanikisha biashara yao ya silaha ambayo wame sign contract na serikali ya marekani


hao ndio ROCKAFELLER FAMILY FAMILIA MATAJIRI
ZAIDI MAREKANI NA DUNIANI KWA UJUMLA
Nna wasi wasi na hii story, nazani ni ukwel uliochanganyika na uongo ndani yake.
 
Duh acha kuwadanganya watu chief
uongo mtakatifu
Acha uongo Wako wewe mshamba wewe
Hawa wote wamejiunga JF mwaka jana 2016 na mwaka huu 2017,ukiangalia na namna wanavyoandika utaona tu kama siyo watoto basi ni watu ambao hawapo makini kabisa....

Unawezaje kuandika tu kirahisi "uongo mtakatifu" bila kuelezea ni uongo namna gani na kwa nini na ukweli ni upi?

Hawa watoto wanaharibu sana majukwaa mengi hapa JF haswa jukwaa hili maana lilikuwa linatusaidia sana kwenye mambo mengi.....
 
Mkuu una uhakika na unachokiongea au umehadithiwa tu..kuna documentary inaitwa the men who built america nenda youtube utazipata kuanzia part 1 had 4..zinaelezea maisha halisi kuanzia rockafeller,vanderbilt,andrew carnegie,j.p morgan na henry ford..alafu usome na vitabu vya historia vya hao jamaa..nakuongezea na historia ya rothschild famili..na uje usahihishe ulichoandika,acha kudanganya kam kitu hujui vizuri..
 
Back
Top Bottom