Wajue Seal Team Six- Je, Tanzania tuna team kama hii?

Wajue Seal Team Six- Je, Tanzania tuna team kama hii?

kila nchi ina special forces lakini tofauti ya ubora wake ni kulingana na majukumu ya kinchi pamoja na nguvu ya kiuchumi..ukishakua na nguvu kubwa ya kiuchumi basi lazima uwe na kitu bora zadi kulingana na uwezo wako kiuchumi, unapotaja ubora wa SEAL usisahau pia kuzungumzia SAS na SOB ya uingereza ambayo hujumuisha wapiganaji bora zaidi toka vikosi vyote vya jeshi la uingereza na wenye uzoefu zaidi, hii ndio inayopigiwa chapuo kua bora zaidi..seal team six ni kajina tu walikoipa hicho kikundi ili kuwachanganya washindani wao kudhani kua marekani ina timu kama hizo nyingi na hiyo ni ya sita
 
Utaalamu walionao hawa wa kibongo ni kung'oa watu kucha na meno bila ganzi
 
Kuna komando mmoja pale Msamvu round about Morogoro alichelewa basi la Dodoma akalikuta moja ndo liko in motion karib na round about, aliruka ka paka na akapitia vidirisha vidogo vya juu ya vioo vya basi akatokezea ndani, dreva alipaki gari kwa kiwewe!
Vyema Sana na Hicho Alichokifanya Kwao ni Kitu cha Kawaida Mno na Wana Mambo Makubwa na Vitu Adimu Sana na Kuna Nyingine ambayo huwa Wanafanya Kama Kupiga Msamba Juu Ya Matofali au Mawe Makubwa Wakiwa Wanapiga Mswaki na Muda Mwingine Mkuu Wao akiwa Anawapa Pesa Huwa Anakuwa Amepiga Sarakasi na Anawagawia Pesa Zao Kwa Mkono Mmoja na Nina Jamaa Zangu Fulani Waliingia Pale Kambini Kwao ( Kwa Sababu za Kiusalama na Kiulinzi Sitapataja ) Wakiwa ktk Gari Aina Ya Landrover Zile za Zamani na Wao Walikuwa Wawili tu na Walipoingia tu ktk Himaya Yao Wakashangaa Kukuta Makomandoo Wawili Wamekaa ktk Siti za Nyuma Ambapo Hawajui Waliingiaje na Hata Mlango Wa Gari Ulipofunguliwa Hawakusikia! Jamani Tuna Makomandoo Walioiva na Waliopata Mafunzo Kutoka Zile Nchi Maarufu Kwa Mafunzo Kama Cuba, Israel, China, Russia na USA. Tujivunie Special Force Yetu Chini Ya TPDF. RIP Tata
 
Seal team six ni branch ya US Special Naval operation iliyoanzishwa mwaka 1987. Ni team inayoundwa na makomandoo waliowekwa tayari kwa ajili ya special missions ambazo huwa ni high risky. Hawa jamaa wametrainiwa kuweza kuingia ktk high risk areas kama counter terrorism, serving hostages under high security system, ku-operate ktk strong and extra guided areas au highly technological guided places, kupambana na highly skilled enemy commandos n.k.
Team hii ndo iliyotumika kumuua gaidi namba 1 wa karne yetu Osama bin Laden huko Abotabard Pakistan.
Hebu tupanue ufahamu;
1. Je, Tanzanian commandos nao wako trained ktk viwango vya Team seal 6?
2. Hawa jamaa wana kipi zaidi cha kuwafanya wawe in high rank of commandos in the world?
3. Ni technolojia gani wanazo seal 6 zinazowatofautisha na wengine?
4. Can Tanzanian perform duties wanazoperfom seal 6?
5. Yapi malengo zaidi ya hii team adimu kabisa ulimwenguni na ni zipi extra training wanazo zaidi ya wenzao ulimwenguni?

Tiririka ujuaye ili wana-JF tujifunze zaidi.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

sisi tuna kamanda kova anatutosha.
 
Back
Top Bottom