lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Kama zama hizi ambazo dunia haina tena ukoloni, ubaguzi kama ule wa Afrika ya Kusini na ukandamizaji mwingine.
Je, hawa Mabeberu anaopambana nao Magufuli ni akina nani?
Tunaomba Mataga mtutajie hata Mabeberu watano tu kwa uchache.
Ila kwa Mawazo ya haraka pengine Mataga wanaposema mabebebru Wanamaanisha Wabelgiji kwa sababu ndiko alikotibiwa Lissu. Sasa tuangalie Ubeligiji inatutishia nini sisi Watanzania?
Tuangalie wengine. Tuanza na baba lao USA. Hawa tuna ubalozi nao na wanatupa faida kubwa ya kutulete watalii na biashara. Lakini pia tunapokea misaada yao.
Vivyo hivyo kwa UK, France, German, Canada etc
USA Wana USAID. UK Wana OXFAM. Wengine sijui lakini walikuapo DANIDA, FINIDA, JICA etc.
Mbali na yooote tunawahitaji kwa kile tunachoita watalii. Tunahitaji watalii, mitambo, madawa, vifaa vya elimu n.k Tunawahitaji kwa biashara na misaada.
Wanahitaji Bidhaa zetu nasi tunahitaji zao, tunahitaji pesa zao.
Hawa ndio mabeberu, au kuna wengine mimi siwajui?
Je, hawa Mabeberu anaopambana nao Magufuli ni akina nani?
Tunaomba Mataga mtutajie hata Mabeberu watano tu kwa uchache.
Ila kwa Mawazo ya haraka pengine Mataga wanaposema mabebebru Wanamaanisha Wabelgiji kwa sababu ndiko alikotibiwa Lissu. Sasa tuangalie Ubeligiji inatutishia nini sisi Watanzania?
Tuangalie wengine. Tuanza na baba lao USA. Hawa tuna ubalozi nao na wanatupa faida kubwa ya kutulete watalii na biashara. Lakini pia tunapokea misaada yao.
Vivyo hivyo kwa UK, France, German, Canada etc
USA Wana USAID. UK Wana OXFAM. Wengine sijui lakini walikuapo DANIDA, FINIDA, JICA etc.
Mbali na yooote tunawahitaji kwa kile tunachoita watalii. Tunahitaji watalii, mitambo, madawa, vifaa vya elimu n.k Tunawahitaji kwa biashara na misaada.
Wanahitaji Bidhaa zetu nasi tunahitaji zao, tunahitaji pesa zao.
Hawa ndio mabeberu, au kuna wengine mimi siwajui?