Wajue wanaoitwa Mabeberu na mambo yao kwa Tanzania

Wajue wanaoitwa Mabeberu na mambo yao kwa Tanzania

Mabeberu ndio wanaoilisha Tanzania.

Anaewaita mabeberu analindwa na mifumo ya kiulinzi ya mabeberu halafu anajiona yuko salama 100%.

Mifumo yote inayofanya kazi nchi hii ni ya mabeberu, iwe bank, hr, accounting, afya, maji, umeme, kodi na kila kitu halafu unasikia anasema mabeberu.

Nyerere alikua mjanja, anawaita mabeberu ila alipotaka kupinduliwa aliwakimbilia wakamsaidia. Halafu pamoja na kuwaita mabeberu bado alikua na mahusiano mazuri.

Miaka yote ya Nyerere hawa jamaa walikua wanatoa hela za misaada na mikopo na wala hakuna chochote mwalimu alikua anawapa in return.

Leo unasikia Mabeberu huku zaidi ya 45% ya bajeti inaombewa misaada na mikopo kutoka kwa hao hao mabeberu.

USAID wamama karibu wote wanaojifungua tutawazika, watoto wachanga idadi kubwa watakufa, tohara huko wasukuma wanatairiwa wana miaka 50 itaisha, fistula, kifua kikuu, ukimwi, utapiamlo, sijui magonjwa gani wote hao wako hatarini kufa.

Hapo hujataja oxfarm, ukaid, danida, na mashirika kibao. Wakiondoka hao hata Muhimbili itakua shida kutoa tiba, halafu unasikia msemaji wa wanyonge anasema mabeberu huku hao wanyonge bila mabeberu watakufa wote.
Moyo wako umeridhika kuwataja wasukuma si ndio??????
 
Mabeberu ndio wanaoilisha Tanzania.

Anaewaita mabeberu analindwa na mifumo ya kiulinzi ya mabeberu halafu anajiona yuko salama 100%.

Mifumo yote inayofanya kazi nchi hii ni ya mabeberu, iwe bank, hr, accounting, afya, maji, umeme, kodi na kila kitu halafu unasikia anasema mabeberu.

Nyerere alikua mjanja, anawaita mabeberu ila alipotaka kupinduliwa aliwakimbilia wakamsaidia. Halafu pamoja na kuwaita mabeberu bado alikua na mahusiano mazuri.

Miaka yote ya Nyerere hawa jamaa walikua wanatoa hela za misaada na mikopo na wala hakuna chochote mwalimu alikua anawapa in return.

Leo unasikia Mabeberu huku zaidi ya 45% ya bajeti inaombewa misaada na mikopo kutoka kwa hao hao mabeberu.

USAID wamama karibu wote wanaojifungua tutawazika, watoto wachanga idadi kubwa watakufa, tohara huko wasukuma wanatairiwa wana miaka 50 itaisha, fistula, kifua kikuu, ukimwi, utapiamlo, sijui magonjwa gani wote hao wako hatarini kufa.

Hapo hujataja oxfarm, ukaid, danida, na mashirika kibao. Wakiondoka hao hata Muhimbili itakua shida kutoa tiba, halafu unasikia msemaji wa wanyonge anasema mabeberu huku hao wanyonge bila mabeberu watakufa wote.
Akili zenu za kuvembewa viazi vya kibongo ndo zimeishia hapo.mabeperu ni mfumo wa ubepari uliokomaa.tunaposema mabebaru atumaanishi nchi yoyote ile ya ulaya au mashirika mengine ya kimataifa la hasha.ukisema danida ni beberu unatakiwa kupimwa akili.mababaru ni mfumo uliojificha kwenye unyonyaji na unafanywa na wazungu wachache kwa kutumia akili nyingi na ueledi mkubwa kwa kuziingiza nchi maskini kwenye nyororo wa umaskini ili waendelee kujitajilisha kwa kuzinyonya.mfano makampuni ya madini kama vile accacia kuna mtu anajua baada ya rais magufuli kuzuia makinikia ilifia wap? Dowans,songas, iptl, na mengine kibao makampuni ya madawa kama Arvs. Au rich mond n.k
 
Hizi lugha za 'mabeberu', ni uwendawazimu tu. Ni maneno yanayotamkwa kwaajili ya kuwapumbaza zaidi wajinga.

Ulimwengu wa leo kuongelea ubeberu, inadhihirisha jinsi ulivyo primitive. Huelewi Dunia inavyoenda. Leo watu wanaongelea globalization. Watu wapo huru kwenda popote na kuwekeza popote. Na wapo waafrika wengi wamewekeza sehemu mbalimbali Duniani. Ina maana na wao kwa kwenda kuwekeza huko, wamekuwa mababeru? Dangote amewekeza Tanzania, naye ni beberu? Mo na Bakhresa wamewekeza kwenye mataifa zaidi ya matano, mpaka nje ya Afrika, na wao ni mabeberu?

Ukisikiliza hii hadithi ya mabeberu, halafu inaimbwa na viongozi, ndiyo unaamini kuwa Tanzania tuna mzigo mzito tuliobeba, yaani kuwa na viongozi wasiojua Dunia ilipo na inakoelekea. Tuna bahati mbaya sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe nawe uko nje ya mada sana.kunatofauti kati ya globalization na beberu.ubeberu ni mfumo wa ubepari uliokomaa.dangote ni mwekezaji anatafuta faida.ameleta mtaji wake sisi tuna raw material ndo rasilimali yetu analipa kodo vzr tunajenga vituo vya afya na zahanati. Ila mabeberu hawalipi kodi ,waingiza madawa ya kulevya, watorosha mchanga eti sio madini, wanataka tusijitegemee ili waendelee kutunyonya kupitia mikataba mibovu nk
 
hakuna kitu ambacho huwa naboleka Kama kusema Tanzania /Africa inalishwa na mabeberu...katka dunia ya leo hakuna taifa au bara linalolishwa na taifa au bara jingine. Hata hao wazungu mnaowapigia magoti na kujinyenyekeza kwao,hawana uwezo wa kujilisha,ili taifa lolote liweze ku survive lazma liuze na kununua kwa taifa jingine. Tanzania inajitunza yenyewe/Africa inajitunza yenyewe.

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Hizi lugha za 'mabeberu', ni uwendawazimu tu. Ni maneno yanayotamkwa kwaajili ya kuwapumbaza zaidi wajinga.

Ulimwengu wa leo kuongelea ubeberu, inadhihirisha jinsi ulivyo primitive. Huelewi Dunia inavyoenda. Leo watu wanaongelea globalization. Watu wapo huru kwenda popote na kuwekeza popote. Na wapo waafrika wengi wamewekeza sehemu mbalimbali Duniani. Ina maana na wao kwa kwenda kuwekeza huko, wamekuwa mababeru? Dangote amewekeza Tanzania, naye ni beberu? Mo na Bakhresa wamewekeza kwenye mataifa zaidi ya matano, mpaka nje ya Afrika, na wao ni mabeberu?

Ukisikiliza hii hadithi ya mabeberu, halafu inaimbwa na viongozi, ndiyo unaamini kuwa Tanzania tuna mzigo mzito tuliobeba, yaani kuwa na viongozi wasiojua Dunia ilipo na inakoelekea. Tuna bahati mbaya sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
tatizo ni uelewa wako mfupi. Ni hivi hata wewe unaweza kuwa beberu. Ukiwa na tabia za fitina,unyonyaji n.k kwa ndugu zako wewe ni beberu.Kwa muktadha wa dola,dola yenye utawala wa kunyonya ,kufitinisha n.k dola zingine hao tunasema ni dola/nchi za mabeberu.

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
hakuna kitu ambacho huwa naboleka Kama kusema Tanzania /Africa inalishwa na mabeberu...katka dunia ya leo hakuna taifa au bara linalolishwa na taifa au bara jingine. Hata hao wazungu mnaowapigia magoti na kujinyenyekeza kwao,hawana uwezo wa kujilisha,ili taifa lolote liweze ku survive lazma liuze na kununua kwa taifa jingine. Tanzania inajitunza yenyewe/Africa inajitunza yenyewe.

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
japokuwa binafsi siungi mkono kuwa africa inalishwa na beberu.
lakin nakataa kuwa wazungu hawawezi kujiliaha wenyewe? who said that?
kama wanaweza kuwahudumia watu wao kwa gharama kubwa wakiwa lockdown.. wanashindajwe kuwalisha?

hii misaada wanaotoa kwa baadhi ya nchi afrika, wasingeweza kuitoa kama uwezo wa kulisha watu wao wangekuwa hawana.

na sio kwamba tunawapigia magoti. ila sisi wenyewe ndio tunawaruhusu. tena wakija nyumbani tunawaita wawekezaji,watalii.

and kumalizia haijalishi tunawachukia kiasi gani.
ila hawa jamaa ndipo 85% ya vitu tunavyonunua vinatoka kwao.
from vifaa tiba, madawa, technoligia,mpaka majeshini vifaa vya ulinzi na usalama.. sekta ya usafiri na ujenzi.
sisemi tuendelee kuwa tegemezi.. tunitegemee 100% tusinunue chochote kutoka kwao au kupokea misaada. tukiweza kufanya hivyo ndio tuwatukane kwa raha zetu. ila kwa sasa bado sana
 
Kama zama hizi ambazo dunia haina tena ukoloni, ubaguzi kama ule wa Afrika ya Kusini na ukandamizaji mwingine.

Je, hawa Mabeberu anaopambana nao Magufuli ni akina nani?

Tunaomba Mataga mtutajie hata Mabeberu watano tu kwa uchache.

Ila kwa Mawazo ya haraka pengine Mataga wanaposema mabebebru Wanamaanisha Wabelgiji kwa sababu ndiko alikotibiwa Lissu. Sasa tuangalie Ubeligiji inatutishia nini sisi Watanzania?

Tuangalie wengine. Tuanza na baba lao USA. Hawa tuna ubalozi nao na wanatupa faida kubwa ya kutulete watalii na biashara. Lakini pia tunapokea misaada yao.

Vivyo hivyo kwa UK, France, German, Canada etc

USA Wana USAID. UK Wana OXFAM. Wengine sijui lakini walikuapo DANIDA, FINIDA, JICA etc.

Mbali na yooote tunawahitaji kwa kile tunachoita watalii. Tunahitaji watalii, mitambo, madawa, vifaa vya elimu n.k Tunawahitaji kwa biashara na misaada.

Wanahitaji Bidhaa zetu nasi tunahitaji zao, tunahitaji pesa zao.

Hawa ndio mabeberu, au kuna wengine mimi siwajui?
Beberu ni yeyote mwenye hoja ambayo imemshinda Magu na mataga
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Umejitoa tu ufahamu. Mzungu hajawahi kutoa msaada kwa mwafrika. Kama una akili ya kawaida, fikiria kwanini hawajawahi kununua mablanketi au sukari ya Tanzania ili kutoa msaada kwa watanzania, badala yake kama ni bidhaa huleta kutoka kwao au kama ni fedha lazima watakupa sharti la kununua baadhi ya mahitaji kutoa kwao

Mzungu always anavuna siyo kupoteza hata siku moja.

NASISITIZA, MZUNGU HAMPENDI MWAFRIKA NA HAYUKO TAYARI KUMSAIDIA HATA SIKU MOJA.
Usiandike usichokijua bila utafiti. Kwa taarifa yako vyanfarua vyote vinavyogawiwa na Wizara ya Afya kwa kujikinga na mbu kwa maaada wa USAID na The Global Fund vinatengenezwa kiwanda cha A to Z cha Arusha.

Ukiwa na quality kwenye bidhaa yao unashiriki zabuni na ukiwashinda wenzio kwa bei unapewa biashhara. Ila hawawwzi kuja kununua kitu kwenye kiwanda cha Tanzania ilikuwaeidhisha tu. Kikubwa kwao ni Quality
 
Back
Top Bottom