Tatizo la Simba ni uelewa mdogo wa Viongozi na wanachama wao,huwezi ukawa unaongoza Taasisi bila ya kuwa Wataalamu wa Fedha,Uchumi,Biashara na Wanasheria ambao ndio wataokuwa wanapanga mipango yote ya maendeleo ya Klabu,huwezi ukamleta mwekezaji huku wewe huna wataalamu kwenye Taasisi unayoingoza