Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana ujanja wowote sema tu kuwa na viongozi njaa(wajumbw wa bodi ya wanachama) ni shida Sana.Mhindi mjanja sana
Hatuna shida wawalipe wachezaji mishahara na watoe pesa za usajili.Wajumbe wa bodi ndio wenye timu na asset za Simba.
Mnawachukulia powa sasa ndio mtajuwa bodi maana yake ni nini na huwezi kuwaondowa.
Kama kuna mtu anadhani bodi ni kitu cha mchezo subilini sasa muone na wao ndio wenye nguvu 51%
Kutoa hela ni kutoa tu hakuna ujanja kwenye kutoa hela hao wajumbe wangekuja na hoja Mo hatoi hela ila anaibambikizia klabu deni ningeungana nao ila kitendo cha kukiri kuwa kweli anatoa ila wao wanataka asihesabu hizo hela kama mtaji wao walizipokeajeHapa kuna mambo mengi yamejificha nyuma ya pazia
1: Mo aliwaamini akina Try Again ili wasimame upande wake, inawezekana wakawa wanampa majibu ya uongo.
2:Viongozi walio upande wa mashabiki walikuwa wapigaji hasa kwenye usajiri, baada ya Mo kutafuta njia nyingine kwenye usajiri wakaona sasa mapigo ya 10% hayapo tena hivyo kilichobaki kuanzisha songombingo.
3:Mo anatoa fedha zake ili siku ikipigwa hesabu basi club ishindwe kulipa ili ajinyakulie umiliki wa club yote iwe mali yake
Hapa kuna mgogoro mkubwa sana utaibuka endapo Mo atadai pesa zakeHiyo bodi ni ya hovyo Sana, haiwezekani ipokee pesa za MO bila kujua anazitoa Kwa malengo gani , huyo ni mfanyabiashara na anachohitaji yeye siku zote ni faida. Pamoja na Kuwa sifurahishwi na namna ya uwekezaji wa MO hapo Simba SC lakini kama kuna wajinga wachache waliotafutana pesa zake wakifikiri MO alitoa kama Sadaka basi wanapaswa kuzitaapika alafu wanaSimba SC tunahitaji Bodi yenye uadilifu na watu wenye taaluma na weledi siyo hao waswahili waliojazana hapo msimbazi sasa hivi.
See you next season!
Mo alikua anatoa msaada, kupokea msaada sio kosa cha kushangaza sasa hivi anazidai pesa zake la sivyo zifidiwe katika ile bilioni 20 ya kununua hisa zake. Ndipo hapo jamaa anahoji anazidai kwa msingi upi wakati tangu mwanzo hakukubaliana kama wanakopeshanaKwanini mlikuwa mnapokea hizo hela, nyie bodi ya wanachama si ndiyo mlimleta manzoki awaombee kura?
Mhindi ni msomi bila hata washauri alikua anajua anachokifanya tatizo aliwachukulia poa wanachama akufikiri kwamba wanaweza kucheza na loopholes wakampiga knock out. Kwa namna alivyozitoa izo pesa ni alikua anatoa msaada hana uhalali wa kuzidai au kutaka zibadilishwe kuwa ile bilioni 20 ya hisa zakeKuna namna washauri wa muhindi wa Bombay wanampotosha hawezi zingua parefu hivo
Walikubaliana kuwa hizo hela ni za msaada?Mo alikua anatoa msaada, kupokea msaada sio kosa cha kushangaza sasa hivi anazidai pesa zake la sivyo zifidiwe katika ile bilioni 20 ya kununua hisa zake. Ndipo hapo jamaa anahoji anazidai kwa msingi upi wakati tangu mwanzo hakukubaliana kama wanakopeshana
We unafikiri taasisi zinaendeshwa kwa pesa za wajumbe wa bodi? Kuna wafadhiri na taasisi za fedha pesa itatoka uko.ila pesa hawana 🤔🤔? hiyo team wanaendeshaje??
mashabiki pia awana wa kutosha.
Round hii wamemshtukia mapema sijajua lile zengwe litaishaje....na aliekua anaongea ni CPA means anauelewa mpana wa masuala ya kifedhaMhindi ni msomi bila hata washauri alikua anajua anachokifanya tatizo aliwachukulia poa wanachama akufikiri kwamba wanaweza kucheza na loopholes wakampiga knock out. Kwa namna alivyozitoa izo pesa ni alikua anatoa msaada hana uhalali wa kuzidai au kutaka zibadilishwe kuwa ile bilioni 20 ya hisa zake
Ukitoa pesa bila makubaliano ya kurudishiwa automatically huo ni msaada.Walikubaliana kuwa hizo hela ni za msaada?
Kwamba Mo alikuwa anaandika cheque ya milioni 500 bila makubaliano? hata mtoto wa la nne hawezi elewa.Ukitoa pesa bila makubaliano ya kurudishiwa automatically huo ni msaada.