Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
una hisi mo Alikuwa ajui. the contract will be outKigwangala alishayasema yote haya.
Ni marudio tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
una hisi mo Alikuwa ajui. the contract will be outKigwangala alishayasema yote haya.
Ni marudio tu.
Wajumbe wa bodi ndio wenye timu na asset za Simba.Hao wajumbe wa bodi ni wapuuzi sana kazi kupiga kelele watoe pesa mifukoni mwao.
ila pesa hawana 🤔🤔? hiyo team wanaendeshaje??Wajumbe wa bodi ndio wenye timu na asset za Simba.
Mnawachukulia powa sasa ndio mtajuwa bodi maana yake ni nini na huwezi kuwaondowa.
Kama kuna mtu anadhani bodi ni kitu cha mchezo subilini sasa muone na wao ndio wenye nguvu 51%
Sasa inahusiana nini na huu uzi? Baada ya kukaa chini muone mnafanyaje kuokoa jahazi la Msimbazi, mnaleta mzaha alafu mkipigwa tena kono la nyani mtaanza sema Yanga wanahonga wachezaji wa timu pinzani.
MO kainunua Simba kwa billion 50Tujiuzuru kwenda wapi?
Kamwe hatutajiuzuru, haiwezekani wale wahuni wachcahe watake kupora uhuru, mawazo na haki ya 51% ya Klabu.
Hakuna walilofanya wapishe waingie wengineHao viongozi ni wajinga ,
Kwa hiyo kama wasingeambiwa kujiuzulu hizo taarifa za danadana za Mo wasinge toa sio?
Viongozi wamesindwa kuongoza, wanatafuta hurumaa ya mashabiki.
Miaka hiyo mitatu wamefanya Jambo gani la msingi?
Hii nchi kila mtu tapel , kwanzia Rais hadi mwananzengo wa kawaida duuh🤣🤣🤣🤣Ile Video inayotembea inamuonyesha CPA Issa akisema kuhusu uwekezaji wa MO.
Inatupa picha kua Mo hana Chake pale Simba hata zile Propaganda za kusema kua akitaka kuja Mwekezaji mwingine ni lazima mwekezaji huyo amlipe hizo hela MO ile ni Tishia Tishia tu ila ukweli ni kua Unalipa vipi kitu ulipewa Gifts au Hisani.
Kwahio ili Mo adai pale inatakiwa aweke hizo 20B.
MO kapigwa na watoto wa Sadalama😂
#UANENI😂
. mwamedi kawabana[emoji23][emoji23]
Makolo wamevurugwaSasa inahusiana nini na huu uzi? Baada ya kukaa chini muone mnafanyaje kuokoa jahazi la Msimbazi, mnaleta mzaha alafu mkipigwa tena kono la nyani mtaanza sema Yanga wanahonga wachezaji wa timu pinzani.