Wajumbe Bodi ya Simba upande wa Wanachama wagoma kujiuzulu

Wajumbe Bodi ya Simba upande wa Wanachama wagoma kujiuzulu

Enzi zile watu walilia sana Moooooo...ila njaa mbaya muhindi akawateka
images.jpeg-99.jpg
 
Elimu ukiwa nayo kichwani utawaburuza wajinga wengi,maana wajinga ndio wanaoongoza kwa makelele. Mtu kasoma FINANCE & International Business tena kasomea USA,wewe mwingine na elimu yako ya kukariri unapiga kelele..Ngozi nyeusi shida sana,mkiulizwa hizo 51% za nyie wanachama mmeanza kununua hisa zake utajibiwa ngonjera tu. Hakuna cha bure wala msaada kwenye Dunia ya Kibepari hii
 
M
Yaliyojiri kwenye mkutano ulliofanyika leo wa Wanachama Simba SC.

𝗪𝗮𝗷𝘂𝗺𝗯𝗲 𝘄𝗮𝗺𝗲𝗴𝗼𝗺𝗮 𝗸𝘂𝗷𝗶𝘂𝘇𝘂𝗹𝘂 :
Wajumbe wote wa bodi upande wa Wanachama wa Simba SC wenye 51% ya hisa kwa kauli moja wamesema kuwa HAWAJIUZU. Hawajiuzulu kwa sababu hawajafanya kosa lolote, wao wamejitoa sana kwa klabu sometimes bila sapoti ya upande wa muwekezaji. Wamesema kujiuzulu ni UDHAIFU, na wao si DHAIFU.

Wamesema hata hizo kamati za usajili zinazotajwa kuwa zimebadilishwa ni UONGO, labda zimebadilishwa mitandaoni, kwa sababu kamati zote hupitishwa na bodi na wao wako kwenye bodi na hawajapitisha jambo kama hilo. Wamekaa kimya sana sasa wameamua kusema kinachoendelea.

𝗞𝘂𝗵𝘂𝘀𝘂 𝗠𝗼 𝗗𝗲𝘄𝗷𝗶
Kwa niaba ya wajumbe wa bodi ya wakurugenzi Simba SC upande wa wanachama, Issa Massoud amesema kuwa.

Mohamed Dewji amegeuza fedha ambazo amekuwa akitoa Kwa klabu kama msaada kuwa deni au zimegeuzwe kuwa mtaji maana yake Simba haimdai BILLION 20 tena.

"Fedha zote ambazo Mo Dewji alikuwa anazitoa yaani za kununua mchicha, kununua kandambili boxer za wachezaji zozote zile ambazo ametoa kwenye Simba Sports Club amesema anazidai, na ameelekeza zibadilishwe ndio ziwe mtaji wake ambao anatakiwa autoe Simba Sports Club."

"Kama tunakopeswa hizo hela kwani lazima tukope kwa MO? Taasisi za fedha si zipo nyingi tunaweza tukakopa? Kwanza kama ni mkopo haujafuata taratibu alikopa nani na kwanini walikopa, na mkopo huo unawekwa kwa ajili ya aseti ipi, hapa ukiondoa udhamini maana ana udhamini."

𝗞𝘂𝗵𝘂𝘀𝘂 𝘂𝘀𝗮𝗷𝗶𝗹𝗶
"Kamati yoyote ya Simba Sports Club inaundwa na Bodi, kwa hivyo basi kamati zote zilizoundwa nje ya bodi sisi hizo kamati hatuzitambui, na hata usajili utakaofanyika nje ya bodi sisi huo hatuutambui kwasababu tutakuwa tunakiuka utaratibu wa Simba SC." - CPA Issa Masoud Mjumbe wa Bodi Simba SC.

"Sisi wenyewe tunasikia tu mtandaoni mara kamati ya usajili imeteuliwa, sasa sisi hizo kamati hatuzitambui kama bodi."

©️ CPA. Issa Masoud.
Mjumbe wa bodi ya wakurugenzi Simba.
Mo hawez kuagiza hao wajumbe wajiuzulu,

Yeye kama Nani??
 
Hakuna msaada, Manara na Kigwangalla walipimsema vibaya mudi matahira mlikaza mafuvu... "Sisi tunataka furaha, Kigwangalla alinyimwa mkopo wa pikipiki!!".

Mo shikilia hapohapo sisi tunaokupenda tutakupigania.😅😅😅😅🤣
 
Yaliyojiri kwenye mkutano ulliofanyika leo wa Wanachama Simba SC.

𝗪𝗮𝗷𝘂𝗺𝗯𝗲 𝘄𝗮𝗺𝗲𝗴𝗼𝗺𝗮 𝗸𝘂𝗷𝗶𝘂𝘇𝘂𝗹𝘂 :
Wajumbe wote wa bodi upande wa Wanachama wa Simba SC wenye 51% ya hisa kwa kauli moja wamesema kuwa HAWAJIUZU. Hawajiuzulu kwa sababu hawajafanya kosa lolote, wao wamejitoa sana kwa klabu sometimes bila sapoti ya upande wa muwekezaji. Wamesema kujiuzulu ni UDHAIFU, na wao si DHAIFU.

Wamesema hata hizo kamati za usajili zinazotajwa kuwa zimebadilishwa ni UONGO, labda zimebadilishwa mitandaoni, kwa sababu kamati zote hupitishwa na bodi na wao wako kwenye bodi na hawajapitisha jambo kama hilo. Wamekaa kimya sana sasa wameamua kusema kinachoendelea.

𝗞𝘂𝗵𝘂𝘀𝘂 𝗠𝗼 𝗗𝗲𝘄𝗷𝗶
Kwa niaba ya wajumbe wa bodi ya wakurugenzi Simba SC upande wa wanachama, Issa Massoud amesema kuwa.

Mohamed Dewji amegeuza fedha ambazo amekuwa akitoa Kwa klabu kama msaada kuwa deni au zimegeuzwe kuwa mtaji maana yake Simba haimdai BILLION 20 tena.

"Fedha zote ambazo Mo Dewji alikuwa anazitoa yaani za kununua mchicha, kununua kandambili boxer za wachezaji zozote zile ambazo ametoa kwenye Simba Sports Club amesema anazidai, na ameelekeza zibadilishwe ndio ziwe mtaji wake ambao anatakiwa autoe Simba Sports Club."

"Kama tunakopeswa hizo hela kwani lazima tukope kwa MO? Taasisi za fedha si zipo nyingi tunaweza tukakopa? Kwanza kama ni mkopo haujafuata taratibu alikopa nani na kwanini walikopa, na mkopo huo unawekwa kwa ajili ya aseti ipi, hapa ukiondoa udhamini maana ana udhamini."

𝗞𝘂𝗵𝘂𝘀𝘂 𝘂𝘀𝗮𝗷𝗶𝗹𝗶
"Kamati yoyote ya Simba Sports Club inaundwa na Bodi, kwa hivyo basi kamati zote zilizoundwa nje ya bodi sisi hizo kamati hatuzitambui, na hata usajili utakaofanyika nje ya bodi sisi huo hatuutambui kwasababu tutakuwa tunakiuka utaratibu wa Simba SC." - CPA Issa Masoud Mjumbe wa Bodi Simba SC.

"Sisi wenyewe tunasikia tu mtandaoni mara kamati ya usajili imeteuliwa, sasa sisi hizo kamati hatuzitambui kama bodi."

©️ CPA. Issa Masoud.
Mjumbe wa bodi ya wakurugenzi Simba.
WAACHENI WAFUUU WAZIKE WAFU WAOOOO
 
Elimu ukiwa nayo kichwani utawaburuza wajinga wengi,maana wajinga ndio wanaoongoza kwa makelele. Mtu kasoma FINANCE & International Business tena kasomea USA,wewe mwingine na elimu yako ya kukariri unapiga kelele..Ngozi nyeusi shida sana,mkiulizwa hizo 51% za nyie wanachama mmeanza kununua hisa zake utajibiwa ngonjera tu. Hakuna cha bure wala msaada kwenye Dunia ya Kibepari hii
Ulivyoanza kuikosoa nikafikiri Kuna kitu unaongezea, unawezaje kununua hisa za Mali yako, ungetafuta mtu wa soko la mitaji akakuelekeza vizuri au hata mwanafunzi wa finance Ifm mwaka wa kwanza .
 
Yaliyojiri kwenye mkutano ulliofanyika leo wa Wanachama Simba SC.

𝗪𝗮𝗷𝘂𝗺𝗯𝗲 𝘄𝗮𝗺𝗲𝗴𝗼𝗺𝗮 𝗸𝘂𝗷𝗶𝘂𝘇𝘂𝗹𝘂 :
Wajumbe wote wa bodi upande wa Wanachama wa Simba SC wenye 51% ya hisa kwa kauli moja wamesema kuwa HAWAJIUZU. Hawajiuzulu kwa sababu hawajafanya kosa lolote, wao wamejitoa sana kwa klabu sometimes bila sapoti ya upande wa muwekezaji. Wamesema kujiuzulu ni UDHAIFU, na wao si DHAIFU.

Wamesema hata hizo kamati za usajili zinazotajwa kuwa zimebadilishwa ni UONGO, labda zimebadilishwa mitandaoni, kwa sababu kamati zote hupitishwa na bodi na wao wako kwenye bodi na hawajapitisha jambo kama hilo. Wamekaa kimya sana sasa wameamua kusema kinachoendelea.

𝗞𝘂𝗵𝘂𝘀𝘂 𝗠𝗼 𝗗𝗲𝘄𝗷𝗶
Kwa niaba ya wajumbe wa bodi ya wakurugenzi Simba SC upande wa wanachama, Issa Massoud amesema kuwa.

Mohamed Dewji amegeuza fedha ambazo amekuwa akitoa Kwa klabu kama msaada kuwa deni au zimegeuzwe kuwa mtaji maana yake Simba haimdai BILLION 20 tena.

"Fedha zote ambazo Mo Dewji alikuwa anazitoa yaani za kununua mchicha, kununua kandambili boxer za wachezaji zozote zile ambazo ametoa kwenye Simba Sports Club amesema anazidai, na ameelekeza zibadilishwe ndio ziwe mtaji wake ambao anatakiwa autoe Simba Sports Club."

"Kama tunakopeswa hizo hela kwani lazima tukope kwa MO? Taasisi za fedha si zipo nyingi tunaweza tukakopa? Kwanza kama ni mkopo haujafuata taratibu alikopa nani na kwanini walikopa, na mkopo huo unawekwa kwa ajili ya aseti ipi, hapa ukiondoa udhamini maana ana udhamini."

𝗞𝘂𝗵𝘂𝘀𝘂 𝘂𝘀𝗮𝗷𝗶𝗹𝗶
"Kamati yoyote ya Simba Sports Club inaundwa na Bodi, kwa hivyo basi kamati zote zilizoundwa nje ya bodi sisi hizo kamati hatuzitambui, na hata usajili utakaofanyika nje ya bodi sisi huo hatuutambui kwasababu tutakuwa tunakiuka utaratibu wa Simba SC." - CPA Issa Masoud Mjumbe wa Bodi Simba SC.

"Sisi wenyewe tunasikia tu mtandaoni mara kamati ya usajili imeteuliwa, sasa sisi hizo kamati hatuzitambui kama bodi."

©️ CPA. Issa Masoud.
Mjumbe wa bodi ya wakurugenzi Simba.
Mo pale kwenye jezi analipaga bei gani? Au ndiyo anajilipa 20b zake.
 
Back
Top Bottom