Wajumbe Bunge La Katiba, Tuepuke Kumtumia Mwalimu Nyerere Vibaya

Wajumbe Bunge La Katiba, Tuepuke Kumtumia Mwalimu Nyerere Vibaya

Wakati tunamsubiri MwanaDiwani arudi with his rebuttal, nina machache ya kujadili kwani naona tayari msingi wa hoja atakazorudi nazo mwenzetu kada huyu wa ccm;

Sehemu ya Kwanza:

Suala la kwanza nalopenda kujadili ni kwamba: MwanaDiwani, sometimes POLITICAL INSTINCTS are closer to Reality than POLITICAL PROPAGANDA zilizofungwa katika kifurushi cha "pragmatism or realism"; Binafsi natoa hoja zangu based on my political instincts, lakini mwanadiwani hoja zake nyingi huja as political propaganda. Ni kwa mantiki hii, sio yeye tu bali wengine wote wa aina yake, arguments zao have always been inconsistent and contradictory; tutashuhudia hilo akirudi with his rebuttal;

Suala la pili nalopenda jadili ni kwamba:

Sera ya ccm has always been serikali mbili; sote tunajua mchakato ambao chama hupitia katika utungaji sera kwa maana ya kwamba ni aidha mkutano mkuu wa taifa ufanye hilo - kubadili au kutunga sera au NEC ifanye hivyo, kisha kwenda pata baraka kwenye mkutano mkuu wa taifa (ccm); sote tunajua kwamba suala hili halijafanyika ndani ya chama kuhusiana na mfumo wa muungano; kwa maana nyingine, hata ndani ya chama chenyewe (ccm), wanachama hawajapewa fursa ya kuamua hili kidemokrasia, sasa chama kinapata wapi moral authority kuamulia mfumo wa muungano kwa umma wa watanzania kama hata ndani ya ccm wanachama hawajapewa fursa hiyo? Yet chama kinashangaa kwanini wananchi wengi wameipinga ccm juu ya mfuo huo including wana ccm wakati wa ziara za tume ya warioba; huku ndio kukosa dira kama alivyojadili marehemu kolimba;

Badala ya kubadilika ili kiwe na ushindani wa kudumu, Ccm inaendelea kuendekeza sifa kuu mbili zinazotuangusha:

Sifa ya kwanza ni kwamba political saboteurs are regarded as heros (let alone economic saboteurs ambao ni former colonialists being regared as investors) at the expense ya umaskini wa wananchi walio wengi;

Sifa ya pili, hiki chama ni statist, centralized and has less faith in people; ndio maana ni jambo la kawaida kwa decisions muhimu za chama kufanyika in a "top down" fashion;

Nikirudi kwenye hoja yangu ya msingi hapa, sera ya ccm ya muungano ni kwa mujibu wa katiba ya ccm (1977) sera ambayo ilikuwa na bado ipo reflected kwenye katiba ya JMT (1977) ambayo ilitungwa na ccm kama chama cha siasa, ndio maana chama kikashika hatamu kwa masuala yote ya muungano na yasiokuwa ya muungano; kuna one fact kuhusu part state politics ingawa mwanadiwani atakuja na hoja kwamba we are no longer in state party politics kwasababu we are a multiparty state; this fact about party state politics ni kwamba - a monopoly of politics ni the hall fame of state party, na sote tunaelewa jinsi gani mfumo wa chama kimoja Tanzania undermined people's participation in the process of governance;sasa nikirudi na hoja yangu kwamba MwanaDiwani amekuwa aki defend kwamba hatupo kwenye party politics tena kwa sababu eti sasa tuna vyama vingi, kada huyu maarufu wa ccm ambae pia inasemekana kwamba ni MNEC wa CCM, inaonekana kwamba kada huyu hana hata chembe ya huelewa kwamba "multipartism isn't synonymous to democracy; as a matterr of fact, multipartism imekuwa inatumika to close a lid on democracy (rejea hoja za wana ccm kuitaka ofisi ya msajili kuifuta chadema); mwana ccm yoyote ambae anapenda rationality anapenda kuona chama kikiachana na siasa uchwara na kuanza kushindana na upinzani scientifically, sio kwa vitisho na udanganyifu kwa umma; binafsi natamani kuwa mwana ccm of the former, not the later kwani hivyo ndivyo we can survive;lakini kwa vile viongozi wengi ccm hawana upeo zaidi ya kuhakikisha ccm inashinda kila uchaguzi ili kuunda serikali na kukamata dola, hoja zetu zinaonekana ni za usaliti na mambo kama hayo; mimi daima nitasimamia ukweli daima kwani fitina kwangu mwiko (kanuni ya chama) lakini pia kukosoa na kosoana ndio silaha ya mapinduzi (pia kanuni ya chama chini ya mwongozo wa ccm, 1982); kwa kusema ukweli na kuusimamia na kwa kukosoa kwa nia ya kujenga ndio njia pekee ya kukiokoa chama chetu cha ccm katika nyakati hizi;
MwanaDiwani, we have all elements of party state politics today despite the fact kwamba we entered multipartism almost 20 years ago; again, multipartism isn't synonymous to democracy as I argued above; the issue isn't that we have gone multiparty but rather:

*what does multipartism mean to democracy in Tanzania?
*what does multipartism mean to the majority of Tanzania in terms of their daily livelihoods?

Kwa swali la kwanza, multipartism doesn't mean anything to internal democracy ndani ya ccm, let alone taifa chini ya utawala wa ccm; kwa swali la pili, jibu rahisi ni kwamba, "it means nothing";

Mwisho nijadili yafuatayo ambayo pia ningependa kusikia mtazamo wa MwanaDiwani:

*How did we go one party?
*How did we form the Union between Tanganyika and Zanzibar?
*How did we form katiba ya JMT 1977?
*How did we dissolve Tanganyika?

Je michakato yote hapo juu justifies actions za ccm leo hii? Je, inaipa uhalali ccm kufanya inayofanya leo? Je, ni kwa maslahi over and beyond partisan politics?

Nitarejea na sehemu ya pili;


Cc Zakumi, gfsonwin, Nguruvi3, happyfeet, Mkandara, Nape Nnauye, MTAZAMO, Kobello, Ritz, zomba, Pasco, chama, Kichuguu, Kimbunga, Mag3, EMT, Jasusi, JokaKuu, HKigwangalla, Bongolander, Zinedine, Mzee Mwanakijiji



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Bandiko #22 niliahidi kurudi na sehemu ya pili, na ni kama ifuatavyo:


Pengine tunaweza pata mwanga kwa maswali haya kwa kuangalia kwa undani kidogo the "Historical facts":

Katika haya yote, hakuna ushahidi kwamba kulikuwa na mjadala wa aina yoyote ambao ulishirikisha umma au consultation na wananchi.

Tukianza na one party state (1965):

NEC ya TANU ilikuja na maamuzi ya kufuta vyama vingi na baadae Rais kuteua kamati maalum ambayo kazi yake ilikuwa ni moja tu:kutekeleza matakwa wa NEC ya TANU na kupendekeza modalities to implement state machinery under one party state; umma ukasikia tu maamuzi kupitia vyomba vya habari na jinsi utekelezaji unavyoendelea; hiki ni chama kinachojinadi kama mpigania demokrasia hivyo kiaminiwe katika mchakato wa sasa wa katiba mpya;

Tuje kwenye suala la pili la jinsi gani Tanganyika ilikutwa na kifo cha mende (1965):

Simply, NEC ya TANU tena ikafanya maamuzi ya kuua Tanganyika kisha kupeleka muswada huu bungeni ambapo sheria rasmi ya serikali - sheria namba 22 ya mwaka 1965; katika
hili pia, umma haukushirikishwa, yet leo ccm inataka umma ukiamini chama kwamba maamuzi ya kuirudisha Tanganyika itakuwa ni janga kwa taifa na kwamba wenye nia hiyo hawana nia njema na taifa;je waliokuwa na nia ya kuiua Tanganyika walikuwa na nia njema na nini? Pengine na Tanzania, lakini kama upande wa pili wa muungano haupo nasi pamoja kuelekea nia hiyo, kwanini ccm inaendelea kuzuia matakwa ya wengi?

Mwisho tuje kwenye suala la suala la Muungano (1964) ambalo nitachanganya na suala la Katiba ya JMT (1977):

*Je katiba ya JMT iliundwa na nani?
It remains to be a fact kwamba katiba ya JMT 1977 iliundwa na bunge la katiba;

*Je bunge la katiba liliundwa na nani?
Liliundwa na Rais wa JMT mwalimu Nyerere;

*Je, Rais alipata mamlaka hiyo kutoka wapi?
Rais alipata mamlaka hayo kutoka kwenye mkataba wa muungano (1964) ambao ulipata baraka za bunge la Tanganyika na BLW zanzibar, na ndio maana hata tue ya warioba imetilia ukweli huu maanani; This was stipulated ndani ya mkataba wa muungano (1964) - the international agreement/treaty signed the two heads of two "sovereign states" the state of Tanganyika and the state of Zanzibar;

FACT:
Rais wa JMT aliliita bunge la JMT, akaliketisha na kuwatangazia wabunge hao kwamba amewateua wote kuwa wajumbe wa bunge la katika, 'in blink of an eye'; kwa maana nyingine, kilichotokea ilikuwa tu ni tangazo kwamba bunge la JMT has been converted into a constituent assembly;

Kwahiyo basi - aliyeteua bunge la katiba ambalo lilikaa na kuandika katiba mpya ya JMT alikuwa ni rais wa JMT ambae alipata mamlaka hayo kutoka kwenye mkataba wa muungano (wa 1964) ambao ulipitishwa na wabunge wa JMT (wote wakiwa wa chama kimoja cha CCM baada ya TANU na ASP kuungana mwaka huo huo); kwa mantiki hii, rais wa JMT na wabunge wa JMT literally and practically derived their respective mandates from each other!!!

As we all know, MwanaDiwani is a "political pundit", kwahiyo atakuja na hoja kwamba - rais na wabunge wa wakati ule, lakini pia rais na wabunge wa ccm ambao ni wengi bado leo mle bungeni walichaguliwa na wananchi, hivyo basi they derived (1977) na leo they derive their mandate from the people;

FACTS:
*Uchaguzi wa 1975 ambao ndio ulizaa rais na wabunge waliokwenda kuandaa katiba mpya 1977 ulikuwa ni uchaguzi ndani ya mfumo wa chama kimoja, tofauti na leo;

*katika mazingira ya vyama vingi,
Chaguzi zimekuwa zinaendeshwa under the "rule of the registrar" badala ya the "rule of the law"; Mzee Mwanakijiji amejadili kwa ufasaha suala hili elsewhere;
MwanaDiwani, hata tukiamua kuachana na hizi facts mbili, hoja kwamba:

rais na wabunge wa wakati ule, lakini pia rais na wabunge wa ccm ambao ni wengi bado leo mle bungeni walichaguliwa na wananchi, hivyo basi they derived (1977) na leo they derive their mandate from the people"

Ni hoja ambayo even by itself haiwezi simama; mandate ambayo wananchi wa Tanganyika (na baadae Tanzania?)
Walimpa rais na wabunge kupitia chaguzi kuu mbalimbali ni mandate
to govern the country kwa mujibu wa katiba iliyokuwepo au kuifanyia marekebisho tu ya hapa na pale kwani katiba ya nchi inawapa wabunge such mandate
; vinginevyo
Rais na wabunge hawakuchaguliwa na wananchi kwenda kuandika katiba mpya ya nchi, hiyo ni kazi ya bunge la katiba ambalo kwa bahati mbaya, uteuzi wake mwaka 1962, 1977 na hata 2014 ni wa mashaka kwa hoja nilizojadili awali na nitazojadili katika hitimisho langu; niseme tu hapa kwamba tayari Nape Nnauye aidha kwa kujua au kwa kutojua ameshaanza kuchanganya umma kwa kulumbana na jaji warioba pale Nape anapoanza kuleta confusion juu ya utofauti baina ya bunge likikaa at its legislative capacity vis a vis likikaa at its constituent capacity; Nilijadili hili na Nguruvi3 elsewhere;

Iwapo tumekuwa tunafuatilia mjadala sawa, hapo juu nimeeleza wapi rais wa JMT alipata mandate ya kuteua bunge la katiba 1977 (mkataba wa muungano wa 1964) ambalo likapata mandate ya kuandaa katiba ya JMT iliyopo sasa. Lakini if we go deepr na kuchambua zaidi, tunagundua kwamba katiba ya JMT 1977 ili breach na bado ina breach mkataba wa muungano, nyaraka ambayo ndiyo inayompa mandate hata rais Kikwete kuendesha mchakato wa sasa; tukirudi kwenye mkataba huu, nao pia haukuwa subject to public debate or discussion, ukiachilia mbali ukweli kwamba wananchi hawakupigia kura uamuzi huo; kwa maana nyingine, wananchi hawakushirikishwa katika maamuzi ya katiba ya 1977, muungano (1964) ukiachilia mbali uamuzi wa kuingiza nchi kwenye mfumo wa chama kimoja na kufuta serikali ya Tanganyika kupitia sheria namba 22 ya serikali 1965, respectively;

Hitimisho:

Maamuzi ya muungano (1964), kuingiza mfumo wa chama kimoja (1965), kuiua Tanganyika kupitia sheria namba 22 ya bunge (1965) na kupitisha rasmi mfumo wa muungano wa serikali mbili ya chama (1977),
All this was day light robbery of democracy and its principle by chama cha mapinduzi; inawezekana kwa mazingira ya awali ilieleweka (ingawa not justified) lakini kuendelea to justify historia hii ni makosa makubwa sana na itakuwa ndio chanzo kikubwa cha ccm kuanguka na kupotea katika historia ya siasa za Tanzania siku sio nyingi; tuna fursa ya kukiri makosa ya kihistoria na kujisahihisha haraka iwezekanavyo;

Kuendelea kung'ang'ania hoja kwamba ccm ndio chama tawala, kina mizizi mirefu, kimeaminiwa na walio wengi hivyo kuwa na mandate ya kuamua itakavyo juu ya katiba itakuwa ni kosa la kihistoria ifikapo wisho wa mchakato wa bunge la katiba; hii ni kwasababu kwanza:

Hata maamuzi yenyewe ya kupeleka nchi towards one party state was the most undemocratic decision in the history of our country's politics;

Last but no least:
MwanaDiwani - hoja kwamba TANU/CCM ilifanya maamuzi husika kwa vile it was a popular party na kiliaminiwa na kuungwa mkono na sehemu kubwa ya umma haina mashiko, vinginevyo:

*Kwanini basi chama haikuyaleta haya (hoja ya muungano,hoja ya kuua Tanganyika, hoja ya kuunda katiba ya JMT 1977) in the public and make these issues become election issues kwenye programu na sera za wakati wa kampeni za kuomba ridhaa ya wananchi katika chaguzi kuu? Kama kweli TANU/CCM ilijiamini inakubalika na kuungwa mkono na umma come what may, si ingejiamini tu na kupeleka hoja hizi kwa umma ili ziwe part of election issues wakati wa chaguzi kuu?

Lastly ni juu ya hoja ambayo mwanadiwani et al huitumia sana kupotosha ukweli nayo ni kwamba:

CCM inastahili pongezi kwa kuruhusu mfumo wa vyama vingi licha ya kwamba kwa mujibu wa tume ya nyalali, 80% ya watanzania walipendelea nchi iendelee kuwa chini ya chama kimoja (ccm). Huu ni upotoshaji kwani wahusika wa hoja hii wanaficha ukweli au pengine hawatambui kwamba ripoti hiyo hiyo ya nyalali inaweka wazi kwamba 56% ya watanzania pia pia walitaka mabadiliko makubwa ya mfumo wa demokrasia nchini, mageuzi ambayo kimsingi yasingeweza kutekelezeka under one party state, so soon or later, mfumo wa chama kimoja ungekuja kuwa anguko kubwa kwa ccm miaka michache baadae.

Cc Zakumi, gfsonwin, Nguruvi3, happyfeet, Mkandara, Nape Nnauye, MTAZAMO, Kobello, Ritz, zomba, Pasco, chama, Kichuguu, Kimbunga, Mag3, EMT, Jasusi, JokaKuu, HKigwangalla, Bongolander, Zinedine, Mzee Mwanakijiji


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Hitimisho:

Maamuzi ya muungano (1964), kuingiza mfumo wa chama kimoja (1965), kuiua Tanganyika kupitia sheria namba 22 ya bunge (1965) na kupitisha rasmi mfumo wa muungano wa serikali mbili ya chama (1977),
All this was day light robbery of democracy and its principle by chama cha mapinduzi; inawezekana kwa mazingira ya awali ilieleweka (ingawa not justified) lakini kuendelea to justify historia hii ni makosa makubwa sana na itakuwa ndio chanzo kikubwa cha ccm kuanguka na kupotea katika historia ya siasa za Tanzania siku sio nyingi; tuna fursa ya kukiri makosa ya kihistoria na kujisahihisha haraka iwezekanavyo;

Kuendelea kung'ang'ania hoja kwamba ccm ndio chama tawala, kina mizizi mirefu, kimeaminiwa na walio wengi hivyo kuwa na mandate ya kuamua itakavyo juu ya katiba itakuwa ni kosa la kihistoria ifikapo wisho wa mchakato wa bunge la katiba; hii ni kwasababu kwanza:

Hata maamuzi yenyewe ya kupeleka nchi towards one party state was the most undemocratic decision in the history of our country's politics;

Last but no least:
MwanaDiwani - hoja kwamba TANU/CCM ilifanya maamuzi husika kwa vile it was a popular party na kiliaminiwa na kuungwa mkono na sehemu kubwa ya umma haina mashiko, vinginevyo:

*Kwanini basi chama haikuyaleta haya (hoja ya muungano,hoja ya kuua Tanganyika, hoja ya kuunda katiba ya JMT 1977) in the public and make these issues become election issues kwenye programu na sera za wakati wa kampeni za kuomba ridhaa ya wananchi katika chaguzi kuu? Kama kweli TANU/CCM ilijiamini inakubalika na kuungwa mkono na umma come what may, si ingejiamini tu na kupeleka hoja hizi kwa umma ili ziwe part of election issues wakati wa chaguzi kuu?

Lastly ni juu ya hoja ambayo mwanadiwani et al huitumia sana kupotosha ukweli nayo ni kwamba:

CCM inastahili pongezi kwa kuruhusu mfumo wa vyama vingi licha ya kwamba kwa mujibu wa tume ya nyalali, 80% ya watanzania walipendelea nchi iendelee kuwa chini ya chama kimoja (ccm). Huu ni upotoshaji kwani wahusika wa hoja hii wanaficha ukweli au pengine hawatambui kwamba ripoti hiyo hiyo ya nyalali inaweka wazi kwamba 56% ya watanzania pia pia walitaka mabadiliko makubwa ya mfumo wa demokrasia nchini, mageuzi ambayo kimsingi yasingeweza kutekelezeka under one party state, so soon or later, mfumo wa chama kimoja ungekuja kuwa anguko kubwa kwa ccm miaka michache baadae.




Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Kwa mantiki hiyo, can you establish the legality of US Constitution? (Us constitution has never been rewritten as a whole) au let's say Bill of Rights?
Declaration of independence? (How democratic was it?)
Magna Carta.

Au labda ungetufafanulia zaidi dhana ya "Republicanism" na vipimo gani vinatumika generally, nowadays ili ku-detrmine kuwa issue fulani inahitaji uchaguzi wa wananchi directly.
 
Lengo la Mwalimu kukataa kuundwa kwa serikali ya Tanganyika ilikuwa ni ku-buy time ili kususid wafikie kuwapo kwa serikali moja tu. Ile hatua ya kuunganisha TANU na ASP ndiyo ilikuwa hatua ya kwanza katika lengo lake, kiasi kuwa iawapo nchi itakuwa na chama kimoja tu, basi baadaye itakuwa ni rahisi kwa chama hicho kukubali kuunda serikali moja tu. Wakati akifikiria ndoto hiyo, ni pale USSR nayo ilikuwa ni taifa kubwa ambalo ni muungano wa nchi kadhaa na serikali moja tu. Baada muungano wa USSR kuvunjika, na ile block ya nchi za Mashariki ziliyokuwa chini ya WARSAW pact kusambaratika, ndipo ikabidi kurudi kwenye siasa za Magharibi za vyama vingi. Sasa uwepo wa vyama vingi ulikuwa hau-guarantee kuundika kwa serikali moja ingawa sheria ya vyama ililazimisha kidogo kuwa lazima chama kiwe na presence katika pande zote mbili za Muungano.

Kwa vile mazingira aliyokuwa akifikiria Nyerere hayapo tena nchini, siamini kuwa hofu yake na lengo lake la wakati huo bado ni relevant leo. Ni vizuri kwa Watanganyika nao kuwa na ukumbi wa kujiamulia mambo yao kuliko hivi sasa ambapo Wazanzibari wana ukumbi wao ambao huutumia kulalamika na kuwanyanyasa na kuuwa watu wa Tanganyika bila kufanyiwa lolote wakati wale wa Tangayika hawana chombo cha namna hiyo. Wakati Serikali ya Muungano ikiongozwa na Mwinyi, ndiye pia alikuwa anateua wakuu wa mikoa na Wilaya zote za Tanganyika wakati kule Zanzibar kuna Rais anayeteua wakuu wa wilaya za huko; Mwinyi alikuwa anaweza kabisa kumteua Mzanzibar kuwa mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya ya Tanganyika bila kuulizwa mradi tu hayo yalikuwa ni majukumu ya serikali ya Muungano. Bungeni leo, utaona kuwa wakati mbunge mmoja wa Zanzibar anawakilisha watu wasiofikia 1000, ana nguvu sawa kabisa na yule ya Tanganyika anayewakilisha watu zaidi ya laki saba; hata kama jambo linalizungumzwa bungeni linaihusu Tanganyika tu.
 
Kwa mantiki hiyo, can you establish the legality of US Constitution? (Us constitution has never been rewritten as a whole) au let's say Bill of Rights?
Declaration of independence? (How democratic was it?)
Magna Carta.

Au labda ungetufafanulia zaidi dhana ya "Republicanism" na vipimo gani vinatumika generally, nowadays ili ku-detrmine kuwa issue fulani inahitaji uchaguzi wa wananchi directly.

Swali zuri, nitakurudia mkuu Kobello;


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Watakaopata laana ni nyinyi na vizazi vyenu ambao mmejiandaa kwenda bungeni kukwamisha matakwa, ndoto na matumaini ya wananchi walio wengi kwa kumtumia vibaya baba wa taifa kukidhi haja na tamaa zenu za matumbo na madaraka kuikataa Tanganyika;



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Mkuu hao achana nao tuwasikilize watu kama nguruvi na wenzie.
 
Mchambuzi,

Inasikitisha sana kuona bado watu wanataka sana kumwingiza Nyerere ktk mila na desturi ya Udanganyika ambapo kwa kila baya lazima kuna mchawi!

Nimewahi andika humu kwamba katiba ya nchi hubadilika tu pale inapotokea vitu vitatu.
1. Kubadilika kwa Utawala (regime change)
2. Kubadilika kwa mfumo wa Kiuchumi (Economic transition)
3. Kuundwa kwa Jamhuri mpya kutokana na Muungano wa nchi ama kuvunjika kwa muungano.

Hivyo basi Katiba ya mwaka 1977 ilikuwa ni lazima kutokana na muungano wa nchi 2 na ndio katiba tulokuwa nayo hadi leo, lakini leo tunaihitaji katiba mpya kwa sababu ambazo hadi sasa binafsi yangu sizifahamu maana ilitakiwa Katiba mpya mwaka 1993 baada ya nchi yetu kutoka ktk mfumo wa kiuchumi wa Kijamaa ili kutuwezesha kutoka mfumo wa kiuchumi unaokuwa controlled na serikali kuu. Hadi leo hii uwekezaji nchini lazima upitie serikali kuu ambayo unawakuta kina Muhongo ambao wanadiriki kusema wananchi hawana uwezo hivyo tunahitaji wageni na ndivyo tunavyoburuzwa.

Hivyo basi, kama kuna makosa yoyote yalofanyika yametokea mwaka 1993 badala ya kuwa na katiba mpya, viongozi wa CCM walikaa na kufanya amendments za katiba iliyokuwepo wakiondoa miiko na maadili ya uongozi ili kujipa wao mamlaka zaidi ya kujitajirisha(fikra za Kifisadi). Kutokana na makosa hayo utagundua ya kwamba tunaendelea kufanya mabadiliko ya kiuchumi (economic rebalization)ilihali kikatiba bado uchumi wetu ni centrally planned. Hata swala la ununuzi wa meli ya Kigoma umekuwa ni ahadi au ilani ya rais ktk uchaguzi mkuu hivyo linakuwa jukumu la rais chini ya serikali yake atakaye mtafuta mwekezaji!.

Haya ni makosa tuloyafanya sisi baada ya Mwalimu kung'atuka na Umaskini umeendela kukua kwa kasi kutokana a na mfumo mbovu wa Kiuchumi na sii swala la Utanganyika ama Uzanzibar. Ni mfumo mbaya sana ambao Kisiasa unawapa nguvu kubwa wanasiasa kuishi maisha ya fahari na kutajirika(Katiba ya Ujamaa)ktk mazingira ya soko huria(free Market economy) hivyo kuna transition ya Micro na Macro wakati huo huo bado serikali kuu inategemewa kuwa provider wa maendeleo (growth)- Katiba ya Ujamaa ndani ya uchumi wa soko huria, haitawezekana.

Hivyo, Binafsi yangu nilitegemea kwamba pamoja na kwamba tulichelewa kuandika katiba mpya, basi katiba hii ingehusu zaidi changes in the role of the state. Katiba ingejikita ktk maswala yanayotoa Uhuru zaidi ktk mfumo wa soko huria (free market economy) na kukata mizizi ya serikali kuu kuendesha uchumi wa nchi.

Ambapo kwanza uanzilishi wa zile fundamental government institution kama serikali za mitaa (Manispaa) na zikapewa mamlaka kamili, kukawa na uhamamishaji wa private owned enterprises. Na hata mashirika ya serikali tulokuwa tukiyaita SU yaweze kijiendesha kama Public companies na yaandikishwe ktk soko letu la DSE ili yapate nguvu zaidi ya kujiendesha ktk Utoaji huduma ktk mazingira ya uchumi huria na sii yale ya Kijamaa ambapo bado mkono mkubwa wa serikali kuu unafanya maandalizi ya bajeti.

hayo mengine ya kuzaliwa kwa CCM, sijui chama kimoja na kadhalika ni maswala yalopitwa na wakati na haitakuwa vema sisi watanzania kujikita ktk kutazama historia ya chama chetu ama Muungano wetu wakati fikra za watu wengi sasa hivi ni muungano wa JUMUIYA badala ya JAMHURI na wasijue tofauti baina ya vitu hivyo. Hivyo usipojua maana ya Muungano wetu ni vigumu sana kuwa na solution kwa kutazama watu wanataka nini maana Jumuiya ni swala la Hiari unaweza kuingia leo na ukatoka kesho lakini Muungano wa Jamhuri sii swala la hiari na makubaliano ya MOA. Ni swala la Kikatiba ambalo linakupa kiti UN kama JAMHURI na linabakia hivyo hadi Muungano huo unapovunjika.
 
Last edited by a moderator:
*Je, Rais alipata mamlaka hiyo kutoka wapi?
Rais alipata mamlaka hayo kutoka kwenye mkataba wa muungano (1964) ambao ulipata baraka za bunge la Tanganyika na BLW zanzibar, na ndio maana hata tue ya warioba imetilia ukweli huu maanani; This was stipulated ndani ya mkataba wa muungano (1964) - the international agreement/treaty signed the two heads of two "sovereign states" the state of Tanganyika and the state of Zanzibar;
Cc Zakumi, gfsonwin, Nguruvi3, happyfeet, Mkandara, Nape Nnauye, MTAZAMO, Kobello, Ritz, zomba, Pasco, chama, Kichuguu, Kimbunga, Mag3, EMT, Jasusi, JokaKuu, HKigwangalla, Bongolander, Zinedine, Mzee Mwanakijiji

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Mkuu Mchambuzi, kwanza asante kwa mada fikirishi!. Naomba kutofautiana na wewe kuhusu hiki kitu kinachoitwa "Mkataba wa Muungano" ukimaanisha a "contract" ya muungano!, naomba nikujulishe kuwa hicho kinachoitwa "mkataba" wa muungano, sio lolote, sii chochote, hakuna mkataba wowote wa muungano uliosainiwa!. Hicho kinachoitwa ni "mkataba" wa muungano , its only purpopted to be "mkataba" but what real happened ni "makubaliano" ya muungano " yaani "an agreement", "kila mkataba ni makubaliano, ila sio kila makubaliano ni mkataba!", " every contract is an agreement, but not every agreement is a contact!"

Ili makubaliano yoyote yaitwe mkataba, yaliza kwanza yawe na lengo la "to create a legal and binding relations", ili kuweka legal na binding, lazima kuwe na kipengele cha kuvunjika kwa mkataba!. Makubaliano yale ya muungano, hayakuweka kipengele chochote kuhusu namna ya kuuvunja mkataba huo, hivyo kukosa sifa za mkataba wa kimataifa!.

Serikali ya Tananzia kule UN imeanzishwa on a lie!, kuwa huo mkataba upo!. Nadhani baada ya wanasheria kugundua mapungufu kwenye mkataba huo, they recalled all the signed copies, ili warekebishe, wasaini tena kwa backdate, then indigo wau file as "an international agreement/treaty signed the two heads of two "sovereign states", but muds huh haukupatikana tena!. Hakuna copy coyote ndani Bunge la JMT!, hakuna copy ndani ya BLW!, hakuna copy kwenye ofisi ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa!, hakuna copy kule UN!.

Hili nimelizungumza hapa, Jee Wajua kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano ...
na hapa Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani?
na hapa Swali: Hivi Muungano Tanzania Upo Kweli?! au ni Dhana Tuu ...
na pia nimelizungumza hapa Jee Wajua Kuwa Kuna Uwezekano Tanzania Sii Nchi Halali Kisheria ,

Ukiondoa hayo, tuendelee na majadiliano.

Pasco.
 
Lengo la Mwalimu kukataa kuundwa kwa serikali ya Tanganyika ilikuwa ni ku-buy time ili kususid wafikie kuwapo kwa serikali moja tu. Ile hatua ya kuunganisha TANU na ASP ndiyo ilikuwa hatua ya kwanza katika lengo lake, kiasi kuwa iawapo nchi itakuwa na chama kimoja tu, basi baadaye itakuwa ni rahisi kwa chama hicho kukubali kuunda serikali moja tu. Wakati akiofikiria ndoto hiyo, ni pale USSR nayo ilikuwa ni taifa kubwa ambalo ni muungano wa nchi kadhaa na serikali moja tu. Baada muungano wa USSR kuvunjika, na ile block ya nchi za Mashariki ziliyokuwa chini ya WARSAW pact kusambaratika, ndipo ikabidi kurudi kwenye siasa za Magharibi za vyama vingi. Sasa uwepo wa vyama vingi ulikuwa haugurantee kuundika kwa serikali moja ingawa sheria ya vyama ililazimisha kidogo kuwa lazima chama kiwe na presence katika pande zote mbili za Muungano.

Kwa vile mazingira aliyokuwa akifikiria Nyerere hayapo tena nchini, siamini kuwa hofu yake na lengo lake la wakati huo bado ni relevant leo. Ni vizuri kwa Watanganyika nao kuwa na ukumbi wa kujiamulia mambo yako kuliko hivi sasa ambapo Wazanzibari wa ukumbi wao ambao huutumia kulalamika na kuwanyanyasa na kuuwa watu wa Tanganyika bila kufanyiwa lolote wakati wale wa Tangayika hawana chombo cha namna hiyo. Wakati Serikali ya Muungano ikiongozwa na Mwinyi, ndiye pia alikuwa anateua wakuu wa miko na Wilaya zote za Tanganyika wakati kule Zanzibar kuna Rais anayeteua wakuu wa wilaya za huko; Mwinyi alikuwa anaweza kabisa kumteua Mzanzibar kuwa mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya ya Tanganyika. bila kuulizwa mradi tu hayo yalikuwa ni majukumu ya serikali ya Muungano. Bungeni leo, utaona kuwa wakati mbunge mmja wa Zanziba anawakilisha watu wasiofikia 100, ana nguvu sawa kabisa na yule ya Tanganyika anayewakilisha watu zaidi ya laki saba; hata kama jambo linalizungumzwa bungeni linaihusu Tanganyika tu.

Mkuu Kichuguu umemaliza yote. Watu wengi wanaotumia hoja za Nyerere hawataki kuwajibika kimawazo.
 
Mkuu Mchambuzi, kwanza asante kwa mada fikirishi!. Naomba kutofautiana na wewe kuhusu hiki kitu kinachoitwa "Mkataba wa Muungano" ukimaanisha a "contract" ya muungano!, naomba nikujulishe kuwa hicho kinachoitwa "mkataba" wa muungano, sio lolote, sii chochote, hakuna mkataba wowote wa muungano uliosainiwa!. Hicho kinachoitwa ni "mkataba" wa muungano , its only purpopted to be "mkataba" but what real happened ni "makubaliano" ya muungano " yaani "an agreement", "kila mkataba ni makubaliano, ila sio kila makubaliano ni mkataba!", " every contract is an agreement, but not every agreement is a contact!"

Ili makubaliano yoyote yaitwe mkataba, yaliza kwanza yawe na lengo la "to create a legal and binding relations", ili kuweka legal na binding, lazima kuwe na kipengele cha kuvunjika kwa mkataba!. Makubaliano yale ya muungano, hayakuweka kipengele chochote kuhusu namna ya kuuvunja mkataba huo, hivyo kukosa sifa za mkataba wa kimataifa!.

Serikali ya Tananzia kule UN imeanzishwa on a lie!, kuwa huo mkataba upo!. Nadhani baada ya wanasheria kugundua mapungufu kwenye mkataba huo, they recalled all the signed copies, ili warekebishe, wasaini tena kwa backdate, then indigo wau file as "an international agreement/treaty signed the two heads of two "sovereign states", but muds huh haukupatikana tena!. Hakuna copy coyote ndani Bunge la JMT!, hakuna copy ndani ya BLW!, hakuna copy kwenye ofisi ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa!, hakuna copy kule UN!.

Hili nimelizungumza hapa, Jee Wajua kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano ...
na hapa Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani?
na hapa Swali: Hivi Muungano Tanzania Upo Kweli?! au ni Dhana Tuu ...
na pia nimelizungumza hapa Jee Wajua Kuwa Kuna Uwezekano Tanzania Sii Nchi Halali Kisheria ,

Ukiondoa hayo, tuendelee na majadiliano.

Pasco.

Hapana, madai yako kuhusu makubaliano na mkataba wa muungano siyo sahihi kabisa. Ukitaka kuwa ideal, basi mkataba halali wa Muungano basi ulitakiwa usainiwe baina ya Nyerere na Shamte wala siyo Karume kwa vile Karume hakuwa kiongozi wa halali wa Zanzibar chini ya mtazamo wako, kwani mkataba uliokuwapo wa kisheria kuhusu serikali ya Zanzibar ni pale Uingereza ilipotoa uhuru kwa kumkabidhi Shamte aunde serikali chini ya sultani. Karume na genge lake walichukua madaraka kwa nguvu na kwa vile baada ya wao kuchukua madaraka kwa nguvu hakukuwa na katiba wala mfumo wowote wa uongozi bali amri ya Karume na Baraza lake la mapinduzi, basi kila walichofanya ndicho kilikuwa msimamo wa serikali yao. Sasa basi, kwa vile Karume ndiye aliingia makubalianao hayo kwa niaba ya Zanzibar, na ndiye aliyekuwa kiongozi wakati huo wala hakukuwa na structure nyingine yoyote ya kisheria zaidi yake na baraza lake la mapinduzi, basi alichochokubaliana na kuandikiana na Nyerere ndiyo instrument yenyewe na hiyo ni legal unless kwanza unapinga Mapinduzi yaliyompa mamlaka hayo. Mkataba unaweza kuwa umeandikwa katika kurasa miamoja ua nusu ukurasa; mradi umetiwa sahihi na authorities zinaztambuliwa, ambapo kwa hili authorities alikuwa ni Karume na Nyerere. Kwa upande wa Tanganyika kulitakiwa pia bunge lithibitishe, wakati kwa upande Zanzibar Karume ndiye aliyekuwa mwamuzi wa wa mwisho.

Umoja wa Mataifa hutambua kiongozi aliyeko madarakani bila kujali ameyapata vipi madaraka hayo, kwa hiyo il-mradi Shamte pamoja na Sultan Jamshid Bin Abdullah hawakuwa madarakani tena wakati huo, ni wazi kuwa Umoja wa mataifa ulimtambua Karume kama kiongozi wa Zanzibar aliyekuwa ameamua kuingia kwenye muungano kwa niaba ya Zanzibar.
Katika charter ya UN, hakuna kifungu kinachosema ili nchi mbili ziungane lazima zipeleke nakala ya mktaba wake kwenye umoja wa mataifa. Kinachotakiwa ni kwa serikali za nchi hizo kutambuliwa na security council pamoja na general assembly. Kwa hiyo madai ya kutokuwepo kwa nakala ya mkataba huko umoja wataifa haina maana yayote ya msingi.

Kutokuwapo kwa clause ya kuuvunja hakumaanishi kuwa huo siyo mkataba. Kuna mikataba mingi ambayo haina clauses ya kuzivunja: kwa mfano mikataba ya ndoa za medhehebu fulani ya kikristo hazionyeshi talaka, na serikali inaitambua mikataba hiyo. Ule mkataba wa kubadilishana Heligo na zanzibar baina ya wajerumani na waingereza haukuwa na kifungu cha kurudishiana visiwa hivyo baada ya kubadilishana. Makubaliano ya states zote za marekani kuindia kwenye union haina vifungu vya kujiondoa, ukishaingia umeingia: ni one way traffic. Hata mikataba ya nchi zetu kupata uhuru, haikuwa na clauses za kurudishwa tena kwa ukoloni.

Kwa hiyo makubaliano au mkataba baina ya Nyerere na Karume ulikuwa ni halali; tunaweza kuutengua leo kwa kutumia structures za kisheria zilizopo iwapo tunaona hauna maslahi kwetu lakini siyo kwa sababu haukuwa halali.
 
Hapana, madai yako kuhusu makubaliano na mkataba wa muungano siyo sahihi kabisa. Ukitaka kuwa ideal, basi mkataba halali wa Muungano basi ulitakiwa usainiwe baina ya Nyerere na Shamte wala siyo Karume kwa vile Karume hakuwa kiongozi wa halali wa Zanzibar chini ya mtazamo wako, kwani mkataba uliokuwapo wa kisheria kuhusu serikali ya Zanzibar ni pale Uingereza ilipotoa uhuru kwa kumkabidhi Shamte aunde serikali chini ya sultani. Karume na genge lake walichukua madaraka kwa nguvu na kwa vile baada ya wao kuchukua madaraka kwa nguvu hakukuwa na katiba wala mfumo wowote wa uongozi bali amri ya Karume na Baraza lake la mapinduzi, basi kila walichofanya ndicho kilikuwa msimamo wa serikali yao. Sasa basi, kwa vile Karume ndiye aliingia makubalianao hayo kwa niaba ya Zanzibar, na ndiye aliyekuwa kiongozi wakati huo wala hakukuwa na structure nyingine yoyote ya kisheria zaidi yake na baraza lake la mapinduzi, basi alichochokubaliana na kuandikiana na Nyerere ndiyo instrument yenyewe na hiyo ni legal unless kwanza unapinga Mapinduzi yaliyompa mamlaka hayo. Mkataba unaweza kuwa umeandikwa katika kurasa miamoja ua nusu ukurasa; mradi umetiwa sahihi na authorities zinaztambuliwa, ambapo kwa hili authorities alikuwa ni Karume na Nyerere. Kwa upande wa Tanganyika kulitakiwa pia bunge lithibitishe, wakati kwa upande Zanzibar Karume ndiye aliyekuwa mwamuzi wa wa mwisho.
Mkuu Kichuguu, laiti ungelijua tofauti baina ya contract and agreement ungenielewa, nakusisitizia muungano ni makubaliano ya muungano, na sio contract ta muungano!. Kama vipi tukutanie hapa Jee Wajua kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano ...tubishane kuhusu hili

Katika charter ya UN, hakuna kifungu kinachosema ili nchi mbili ziungane lazima zipeleke nakala ya mktaba wake kwenye umoja wa mataifa. Kinachotakiwa ni kwa serikali za nchi hizo kutambuliwa na security council pamoja na general assembly. Kwa hiyo madai ya kutokuwepo kwa nakala ya mkataba huko umoja wataifa haina maana yayote ya msingi.
Tangazo la Muungano lililotolewa UN ni hili!,
Note Verbale ile
  1. " . . . the Republic of Tanganyika and the People's Republic of Zanzibar were united as one Sovereign State on 26 April 1964, under the name of the United Republic of Tanganyika and Zanzi- bar and under the presidency of Mwalimu Julius K. Nyerere. A copy of the said Articles of Union is enclosed herewith.
    "The Secretary-General is asked to note that the United Republic of Tanganyika and Zanzibar declares that it is now a single Member of the United Nations bound by the provisions of the Charter, and that all international treaties and agreements in force between the Republic of Tanganyika or the People's Republic of Zanzibar and other States or international organizations will, to the extent that their implementation is con- sistent with the constitutional position established by the Articles of Union, remain in force within the regional limits prescribed on their conclusion and in accordance with the principles of international law."
Pasco.
lilisema kuna mkataba, na copy imeambatanishwa na tangazo hilo!, hakuna copy iliyoambatanishwa na tangazo hilo. Tunaweza kukutana hapa kwa majadiliano zaidi Jee Wajua Kuwa Kuna Uwezekano Tanzania Sii Nchi Halali Kisheria

Kutokuwapo kwa clause ya kuuvunja hakumaanishi kuwa huo siyo mkataba. Kuna mikataba mingi ambayo haina clauses ya kuzivunja: kwa mfano mikataba ya ndoa za medhehebu fulani ya kikristo hazionyeshi talaka, na serikali inaitambua mikataba hiyo. Ule mkataba wa kubadilishana Heligo na zanzibar baina ya wajerumani na waingereza haukuwa na kifungu cha kurudishiana visiwa hivyo baada ya kubadilishana. Makubaliano ya states zote za marekani kuindia kwenye union haina vifungu vya kujiondoa, ukishaingia umeingia: ni one way traffic. Hata mikataba ya nchi zetu kupata uhuru, haikuwa na clauses za kurudishwa tena kwa ukoloni.

Kwa hiyo makubaliano au mkataba baina ya Nyerere na Karume ulikuwa ni halali; tunaweza kuutengua leo kwa kutumia structures za kisheria zilizopo iwapo tunaona hauna maslahi kwetu lakini siyo kwa sababu haukuwa halali.

Hili la nini ni mkataba, na nini sii mkataba, ni la kisheria zaidi, kila mkataba ni makubaliano, ila sio kila makubaliano ni mkataba!. Kikikosekana kipengele cha jinsi ya kuuvunja mkataba, unakuwa sio mkataba tena bali ni makubaliano!. Hati zote za Ndoa zote ni mkataba, haijalishi umefungia kwa Shehe, Imamu, Kanisani, kwa DC au ukumbini!, hati ni moja ni kataba na unaeleza wazi kukitokea nini na nini, mkataba unavunjika! na zinatawaliwa na sheria moja!. Unaqeza kunirejelea hapa Jee Wajua kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano ...

Pasco
 
Kwa mantiki hiyo, can you establish the legality of US Constitution? (Us constitution has never been rewritten as a whole) au let's say Bill of Rights?
Declaration of independence? (How democratic was it?)
Magna Carta.

Au labda ungetufafanulia zaidi dhana ya "Republicanism" na vipimo gani vinatumika generally, nowadays ili ku-detrmine kuwa issue fulani inahitaji uchaguzi wa wananchi directly.

Mkuu Kobello, swali lako zuri lakini iwapo tu linatusaidia kujenga na sio kubomoa hoja husika. I believe you are from the former, not the latter;

Kwa ujumla wake, swali hili lina umuhimu kwa maana kuu mbili:

*Kwanza, wapo wana ccm ambao wanajaribu kufanya suala la muungano kuwa ni suala sacred au ordained from God wakati ukweli ni kwamba muungano wetu ni human creation, its not God-Sent;

Pili,wapo wanaojificha nyuma ya hoja kwamba kuna vitu unwritten mfano conventions fulani fulani lakini still zipo practiced kwa mujibu wa sheria; kundi hili la hoja pia linaweza kuwa na mtazamo kama wa kwako hapo juu;

Ningependa kujadili suala husika kwa ujumla wake kama ifuatavyo, hasa kwa kuangalia vitu practical (mahusiano yetu na taifa la Uingereza kiutawala kuliko nadharia za taifa la Marekani).

Nitajadili katika muktadha wa Uingereza kwa sababu kuu mbili:

Kwanza - uingereza ni former colonial power wa Tanganyika ;

Pili, Uingereza ina "unwritten constitution", hence offers us a fertile ground to analyze hoja za kundi la pili pale juu;

Uingereza ni former colonial power wa nchi yetu, na ni taifa ambalo as already said, it has "unwritten constitution"; badala yake, uingereza ni taifa lenye "constitutional conventions" kadhaa ambazo zimekuwa developed over the years tena kwa muda mrefu sana; chini ya mazingira ya kawaida, hakuna mtawala wa uingereza ambae atathubutu to breach hizi conventions; kwa kifupi, hizi conventions za uingereza zina derive their binding character kutoka kwenye political practice ya muda mrefu sana ya taifa la uingereza, conventions ambazo zimejipatia "historical legitimacy", na sio kupitia nyaaka yoyote ya kisheria;

Kinadharia, however, bunge la uingereza lina uwezo wa kupitisha sheria za ku-breach such conventions; kwa mantiki hii, bunge la uingereza sio tu ni sovereign lakini pia ni supreme (tutajadili hili kwa kina ikibidi baadae).

That said and done, Kobello, wakati uingereza as our former colonial master haina a written constitution, makoloni yake yote including Tanganyika yalipewa written constitutions siku zao za uhuru; in actual fact, international sovereignty ya mataifa yote huru ambayo yalikuwa chini ya mwingereza (ikiwa ni pamoja na Tanzania) yalikuwa legally constituted na constitutions ambazo zilikuwa issued kule Lancaster Hall, London; Note kwamba - Katiba hizi zilikuwa enacted na bunge la Uingereza, hivyo basi hata katiba yetu ya kihistoria (1977) derived its legitimacy and authority kutoka kwenye bunge la former colonial power - mwingereza;

Hata 1962 ambapo Tanganyika huru ilijipatia katiba yake ya kwanza, we amended katiba iliyopitishwa kwa mujibu wa sheria za bunge la uingereza, na hata ile ya 1977 ambayo tuliita katiba mpya ya JMT, bado ina elements hizo hizo; kwa kifupi, if we trace the "legal gene" ya katiba yetu ya sasa (1977) pamoja na mabadiliko kadhaa ya katiba hii tangia uhuru hadi leo, and katiba mpya ijayo ambayo kuna kila dalili itakuwa ni ya ki-ccm zaidi kuliko kitaifa, bado tutakuwa hatuna budi to trace it kwa mkoloni kwa maana kwamba pamoja na kwamba mkoloni ana katiba unwritten, katiba yetu ilipitishwa na written laws za bunge la uingereza;

Inawezekana ikaonekana sijajibu swali lako but that's the best I could, hasa kwamba lengo langu ni ku challenge hoja ambazo naona zitafuata soon or later kuhusu muungano haupo anywhere signed as evidence au hoja kwamba we should treat muungano as something sacred or ordained from his almighty - God;


Cc Pasco


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Kufuatia kauli ya nape nnauye leo ambayo ilielezea juu ya uamuzi wa NEC-CCM kuendelea na msimamo wake juu ya sera ya muungano (serikali mbili) kuelekea bunge la Katiba, habari hizi kwetu sisi watanganyika tulizitegemea; ningependa tu Nape Nnauye atambue kwamba:

there is a point when even a magician runs out tricks



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mchambuzi, kwanza asante kwa mada fikirishi!. Naomba kutofautiana na wewe kuhusu hiki kitu kinachoitwa "Mkataba wa Muungano" ukimaanisha a "contract" ya muungano!, naomba nikujulishe kuwa hicho kinachoitwa "mkataba" wa muungano, sio lolote, sii chochote, hakuna mkataba wowote wa muungano uliosainiwa!. Hicho kinachoitwa ni "mkataba" wa muungano , its only purpopted to be "mkataba" but what real happened ni "makubaliano" ya muungano " yaani "an agreement", "kila mkataba ni makubaliano, ila sio kila makubaliano ni mkataba!", " every contract is an agreement, but not every agreement is a contact!"

Ili makubaliano yoyote yaitwe mkataba, yaliza kwanza yawe na lengo la "to create a legal and binding relations", ili kuweka legal na binding, lazima kuwe na kipengele cha kuvunjika kwa mkataba!. Makubaliano yale ya muungano, hayakuweka kipengele chochote kuhusu namna ya kuuvunja mkataba huo, hivyo kukosa sifa za mkataba wa kimataifa!.

Serikali ya Tananzia kule UN imeanzishwa on a lie!, kuwa huo mkataba upo!. Nadhani baada ya wanasheria kugundua mapungufu kwenye mkataba huo, they recalled all the signed copies, ili warekebishe, wasaini tena kwa backdate, then indigo wau file as "an international agreement/treaty signed the two heads of two "sovereign states", but muds huh haukupatikana tena!. Hakuna copy coyote ndani Bunge la JMT!, hakuna copy ndani ya BLW!, hakuna copy kwenye ofisi ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa!, hakuna copy kule UN!.

Hili nimelizungumza hapa, Jee Wajua kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano ...
na hapa Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani?
na hapa Swali: Hivi Muungano Tanzania Upo Kweli?! au ni Dhana Tuu ...
na pia nimelizungumza hapa Jee Wajua Kuwa Kuna Uwezekano Tanzania Sii Nchi Halali Kisheria ,

Ukiondoa hayo, tuendelee na majadiliano.

Pasco.
Mkuu hapa nadhani kidogo umetoka nje maana hakuna makubaliano ama Mkataba wowote wa Muungano wa nchi kuunda Jamhuri wenye kipengele cha jinsi ya kuvunja muungano huo - HAKUNA, isipokuwa unaweza tu kukiona kipengele hicho ktk makubaliano ambayo hayawezi kuunda Jamhuri isipokuwa huunda JUMUIYA.

Hivyo basi ndio maana tuna Jumuiya ya EAC, Hiyo ya nchi za Ulaya na kadhalika ambao wote bado wanashikilia Utaifa wa viti vyao UN kama Jamhuri. Na hakuna kipenge;le chochote ktk makubaliano ya Jamhuri kinachosema jinsi ya kuvunja Muungano wa nchi iwe Marekani, GB ama Tanzania na ukweli ni kwamba ukisema ama kuwazia tu kuuvunja Muungano wa nchi hizi ni sawa na Uhaini na adhabu yake inaweza kuwa kifo. Hivyo Artical of Union yetu ni Mkataba ambao unazijumuisha nchi mbili kuunda Jamhuri moja na hivyo kila nchi inapoteza kiti chake UN na kuwa na kimoja tu kijulikanacho kama Jamhuri ya Tanzania.

Kwa hiyo Sisi tulikuwa na Muungano wa kuunda Jamhuri na sii kuunda Jumuiya hilo lieleweke wazi, isifikie watu mkaanza kuchanganya vitu hivi, na kwa wale wanaodai kuonyeshwa huo Mkataba sijui ni lini wao waliweza kudai kwa baba na mama zao waonyeshwe cheti chao cha ndoa ili kuhakikisha kwamba hawa ndio wazazi wao. Na hata ukionyeshwa itakubainisha kipi haswa unless wewe mwenyewe una mashaka ya Ubin wako!
 
Mkuu Kichuguu, laiti ungelijua tofauti baina ya contract and agreement ungenielewa, nakusisitizia muungano ni makubaliano ya muungano, na sio contract ta muungano!. Kama vipi tukutanie hapa Jee Wajua kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano ...tubishane kuhusu hili


Tangazo la Muungano lililotolewa UN ni hili!,
lilisema kuna mkataba, na copy imeambatanishwa na tangazo hilo!, hakuna copy iliyoambatanishwa na tangazo hilo. Tunaweza kukutana hapa kwa majadiliano zaidi Jee Wajua Kuwa Kuna Uwezekano Tanzania Sii Nchi Halali Kisheria



Hili la nini ni mkataba, na nini sii mkataba, ni la kisheria zaidi, kila mkataba ni makubaliano, ila sio kila makubaliano ni mkataba!. Kikikosekana kipengele cha jinsi ya kuuvunja mkataba, unakuwa sio mkataba tena bali ni makubaliano!. Hati zote za Ndoa zote ni mkataba, haijalishi umefungia kwa Shehe, Imamu, Kanisani, kwa DC au ukumbini!, hati ni moja ni kataba na unaeleza wazi kukitokea nini na nini, mkataba unavunjika! na zinatawaliwa na sheria moja!. Unaqeza kunirejelea hapa Jee Wajua kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano ...

Pasco


Hapana,

Wakati mwingine tunaonekana kuwa tunaidharau sana taasisi ya umoja wa mataifa kama vile inaendesha mambo yake kiswahili kama sisi; siyo kweli ile ni taasisi ya uhakika na makini sana.

Nchi zinapoungana kihalali, hazilazimiki kutoa mkataba wa kuungana kwenye umoja wa mataifa, na vile vile nchi zikijitenga hazitakiwi kutoa mkataba wa kujitenga. Kuungana kwa nchi au kujitenga siyo jambo la kuandikiana mkataba, bali ni makubalianao tu. Tangazo la Tanzania kuonyesha articles za muungano ilikuwa ni hiari ya Tanganyika na vile vile Umoja wa mataifa usingekubali kutangaza kuzipokea articles hizo bila kuwapo; ina maana zilikuwapo kweli hata kama hazipatikani sasa hivi. Kumbuka kuwa Nyerere na Karume wangeweza kutuma ujumbe tu kuwa Rais wa Zanzibar na Rais wa Tanganyika kulingana na madaraka waliyo nayo chini ya katiba zao wamekubaliana kuunganisha nchi zao na hivyo kuanzia sasa watakuwa nchi moja, na watatumia kiti kimoja kwenye umoja wa mataifa, ikaishia hapo bila kuonyesha walivyokubaliana. Ni vivyo hivyo kuwa nchi inapoamaua kubadili jina lake, haitakiwi kutoa ushahidi wowote kuwa wamebadili jina na kwa njia ipi; kinachotakiwa ni kutambuliwa na baraza la usalama pamoja na baraza kuu la umaja wa mataifa, basi.

Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa vyovyote ulivyofanyika, bado ni Muungano halali kwa vile ulifanywa na authorities halali zilizokuwa madarakani wakati huo. Walitumia njia gani kukubaliana, walijadili katika lugha gani hayo ni mambo ambayo nchi tunatakiwa tukubaliane nayo kama yalivyo. Ndiyo maana ya kuwa na viongozi; wanafanya mambo kwa niaba ya nchi. Kuna wakati viongozi wanaamua kupeleka nchi zao vitani watu wakapoteza maisha, na bado hatuwezi kuuliza viongozi walipitia makubalianao gani kwenda vitani.
 
Mkuu Kobello, swali lako zuri lakini iwapo tu linatusaidia kujenga na sio kubomoa hoja husika. I believe you are from the former, not the latter;

Kwa ujumla wake, swali hili lina umuhimu kwa maana kuu mbili:

*Kwanza, wapo wana ccm ambao wanajaribu kufanya suala la muungano kuwa ni suala sacred au ordained from God wakati ukweli ni kwamba muungano wetu ni human creation, its not God-Sent;

Pili,wapo wanaojificha nyuma ya hoja kwamba kuna vitu unwritten mfano conventions fulani fulani lakini still zipo practiced kwa mujibu wa sheria; kundi hili la hoja pia linaweza kuwa na mtazamo kama wa kwako hapo juu;

Ningependa kujadili suala husika kwa ujumla wake kama ifuatavyo, hasa kwa kuangalia vitu practical (mahusiano yetu na taifa la Uingereza kiutawala kuliko nadharia za taifa la Marekani).

Nitajadili katika muktadha wa Uingereza kwa sababu kuu mbili:

Kwanza - uingereza ni former colonial power wa Tanganyika ;

Pili, Uingereza ina "unwritten constitution", hence offers us a fertile ground to analyze hoja za kundi la pili pale juu;

Uingereza ni former colonial power wa nchi yetu, na ni taifa ambalo as already said, it has "unwritten constitution"; badala yake, uingereza ni taifa lenye "constitutional conventions" kadhaa ambazo zimekuwa developed over the years tena kwa muda mrefu sana; chini ya mazingira ya kawaida, hakuna mtawala wa uingereza ambae atathubutu to breach hizi conventions; kwa kifupi, hizi conventions za uingereza zina derive their binding character kutoka kwenye political practice ya muda mrefu sana ya taifa la uingereza, conventions ambazo zimejipatia "historical legitimacy", na sio kupitia nyaaka yoyote ya kisheria;

Kinadharia, however, bunge la uingereza lina uwezo wa kupitisha sheria za ku-breach such conventions; kwa mantiki hii, bunge la uingereza sio tu ni sovereign lakini pia ni supreme (tutajadili hili kwa kina ikibidi baadae).

That said and done, Kobello, wakati uingereza as our former colonial master haina a written constitution, makoloni yake yote including Tanganyika yalipewa written constitutions siku zao za uhuru; in actual fact, international sovereignty ya mataifa yote huru ambayo yalikuwa chini ya mwingereza (ikiwa ni pamoja na Tanzania) yalikuwa legally constituted na constitutions ambazo zilikuwa issued kule Lancaster Hall, London; Note kwamba - Katiba hizi zilikuwa enacted na bunge la Uingereza, hivyo basi hata katiba yetu ya kihistoria (1977) derived its legitimacy and authority kutoka kwenye bunge la former colonial power - mwingereza;

Hata 1962 ambapo Tanganyika huru ilijipatia katiba yake ya kwanza, we amended katiba iliyopitishwa kwa mujibu wa sheria za bunge la uingereza, na hata ile ya 1977 ambayo tuliita katiba mpya ya JMT, bado ina elements hizo hizo; kwa kifupi, if we trace the "legal gene" ya katiba yetu ya sasa (1977) pamoja na mabadiliko kadhaa ya katiba hii tangia uhuru hadi leo, and katiba mpya ijayo ambayo kuna kila dalili itakuwa ni ya ki-ccm zaidi kuliko kitaifa, bado tutakuwa hatuna budi to trace it kwa mkoloni kwa maana kwamba pamoja na kwamba mkoloni ana katiba unwritten, katiba yetu ilipitishwa na written laws za bunge la uingereza;

Inawezekana ikaonekana sijajibu swali lako but that's the best I could, hasa kwamba lengo langu ni ku challenge hoja ambazo naona zitafuata soon or later kuhusu muungano haupo anywhere signed as evidence au hoja kwamba we should treat muungano as something sacred or ordained from his almighty - God;


Cc Pasco


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Nia yangu ni kufuata mkondo huhuu wa uhalali wa Rais kuchagua bunge la katiba.
Kwanza kabisa, Magna Carta iliandikwa na WATU WACHACHE sana ambao ni Feudal Barons and was only for non-serfs, aiming at taking the judiciary power from the king. Waingereza wengi walikubali na kumodify vipengele vingine over time.

Tusiende mbali, ila katiba na mikataba mingi hazikuandikwa na watu kidemokrasia directly, lakini hiyo haimaanishi kuwa watu hawazikubali. Mfumo wa muungano utaamuliwa na wananchi, hilo halikwepeki. Hayo mengine itabidi mbargain na CCM theres no eazy does it.

WANANCHI watasikiliza mawazo mbalimbali kuhusu muungano halafu wataamua.Ingekuwa vizuri kungekuwa na chombo huru cha kusimamia katiba, ila sidhani kama rais amevunja sheria au katiba. Na sidhani kuwa katiba ya Tanzania ni illegitimate ..... halafu ya uingereza na US ni legitimate. Thats a double standard.

So many things are unethically legal.
 
Mchambuzi nadhani tukiacha mbali na uchambuzi makini wa hoja kuhusu muungano ni lazima tunagalie vitu viwili hapa. Kuna main two power players kwenye suala la katiba, hasa kwenye kipengele cha Muungano.

First player ni Seif Sharif Hamad (in the disguise of CUF au Wazanzibar), yeye anajua kuwa usultani Zanzibar kamwe hauwezi kurudi ndani ya serikali mbili au serikali moja. Ndio maana yeye anaona either serikali tatu with highest degree of autonomy for Zanzibar and lot of benefits from mainland, or die.

Second player ni CCM bara. Kimsingi kwa sasa CCM haina tena legitimacy miongoni mwa watanzania, kwa hiyo chama kimekaa mkao wa kufa. Kwa sasa kinalindwa na dola, na msingi wake wa kulindwa ni katiba ya sasa in its shape. kama rasimu ya katiba ya sasa ikipita, it will erode some of what has left for CCM to survive and be protected by security elements. Katiba mpya ikipita kama inavyosema rasimu ya Warioba, ni step moja ya kuiimarisha Tanganyika, kuidhoofisha CCM na hatimaye kuiua, this is a fact.

Wengi tunajua kuwa CCM wanaweza kumanipulate matokeo ya chaguzi na kukwepa verdict ya wananchi, lakini hii ya kukusanya maoni ya watu kitaalamu ni kama ni vigumu kuikwepa, na still ni verdict ya wananchi dhidi ya CCM. Survival ya CCM kwa sasa au kukwepa verdict hii, iko kwenye kupinga vikali rasimu hiyo, kwa CCM hii ni matter of life and death.

Unajua sometimes i get sick when i see people keep on referring to Mwalimu in whatever we are discussing about the fate of our country, as if kama mwalimu ndio yard stick of our thinking. Kuna mambo mapya ambayo yametokea baada ya mwalimu kututoka, we need to prove that we also have brain power to cerebrate what is infront of us and suggesting ways forward.

Having said that, pamoja na kuwa mwalimu hakuwa na Mungu na si kwamba alikuwa sahihi wakati wote, naamini kuwa mwalimu mjinga kuihofia Tanganyika, because he knew what Tanganyika is capable of, and what can Tanganyika do to serikali ya Muungano which in my opinion, if it will ever come, itakuwa ni kama wizara ya mambo ya nje tu na rais wa Jamhuri ya Muungano mbele ya Rais wa Tanganyika atakuwa kama waziri wa mambo ya nje. Mimi siku zote ni proponent wa serikali moja ya Tanzania, kwa kuwa najua hakuna kitu kama Rais wa Jamhuri ya Tanzania anayeweza kufurukuta mbele ya rais wa Tanganyika or even wa Zanzibar, kama kutakuwa na serikali tatu. So what mwalimu thought in 1964, is still very relevant in 2014, kilichopo ni kuwa we need to make a step ahead to strengthen the union, sio kuizika Tanganyika tu hata Zanzibar ife kabisa iwepo Tanzania tu.

CC Mchambuzi Mwanakijiji gfsonwin nguruvi3 happy feet invisible Mwanadiwani barubaru
 
Mchambuzi nadhani tukiacha mbali na uchambuzi makini wa hoja kuhusu muungano ni lazima tunagalie vitu viwili hapa. Kuna main two power players kwenye suala la katiba, hasa kwenye kipengele cha Muungano.

First player ni Seif Sharif Hamad (in the disguise of CUF au Wazanzibar), yeye anajua kuwa usultani Zanzibar kamwe hauwezi kurudi ndani ya serikali mbili au serikali moja. Ndio maana yeye anaona either serikali tatu with highest degree of autonomy for Zanzibar and lot of benefits from mainland, or die.

Second player ni CCM bara. Kimsingi kwa sasa CCM haina tena legitimacy miongoni mwa watanzania, kwa hiyo chama kimekaa mkao wa kufa. Kwa sasa kinalindwa na dola, na msingi wake wa kulindwa ni katiba ya sasa in its shape. kama rasimu ya katiba ya sasa ikipita, it will erode some of what has left for CCM to survive and be protected by security elements. Katiba mpya ikipita kama inavyosema rasimu ya Warioba, ni step moja ya kuiimarisha Tanganyika, kuidhoofisha CCM na hatimaye kuiua, this is a fact.

Wengi tunajua kuwa CCM wanaweza kumanipulate matokeo ya chaguzi na kukwepa verdict ya wananchi, lakini hii ya kukusanya maoni ya watu kitaalamu ni kama ni vigumu kuikwepa, na still ni verdict ya wananchi dhidi ya CCM. Survival ya CCM kwa sasa au kukwepa verdict hii, iko kwenye kupinga vikali rasimu hiyo, kwa CCM hii ni matter of life and death.
OMG ..... If anything, serikali tatu ni msimamo na umekua msimamo wa CCM huku bara for yeaRS. sERikali tatu si msimamo wa ASP part of CCM. Ni vizuri tukalielewa hili. Na kwa CCM kuruhusu serikali tatu ni sawa na kuuvunja muungano kwa sababu CENTRAL GOVERNMENT WILL HAVE NEITHER THE JURISDICTION NOR THE POWER.

J
aribu kutuelezea labda, kuwepo kwa Tanganyika, kutaizuia vipi CCM kuwa na madaraka? Na hii rasimu imeleta kitu gani kigeni? Hoja ya uchakachuaji ni very weak ... linda vkura yako.
 
OMG ..... If anything, serikali tatu ni msimamo na umekua msimamo wa CCM huku bara for yeaRS. sERikali tatu si msimamo wa ASP part of CCM. Ni vizuri tukalielewa hili. Na kwa CCM kuruhusu serikali tatu ni sawa na kuuvunja muungano kwa sababu CENTRAL GOVERNMENT WILL HAVE NEITHER THE JURISDICTION NOR THE POWER.

J
aribu kutuelezea labda, kuwepo kwa Tanganyika, kutaizuia vipi CCM kuwa na madaraka? Na hii rasimu imeleta kitu gani kigeni? Hoja ya uchakachuaji ni very weak ... linda vkura yako.

Mkuu Kobello unajua huko nyuma niliwahi kusema kuwa kwenye suala la muundo wa Muungano sisi watu wa bara tunakuwa na kitu kama Knee jerk approach. Kwanza inaonekana kuwa msimamo wa CCM ndio msimamo wa Tanganyika, kitu ambacho si kweli.

Kwa sasa sera ya CCM kuhusu Muungano iko wazi, na sera ya CCM hapa ndio nachukuliwa kuwa ni msimamo wa CCM, yaani serikali mbili, serikali ya JMT na serikali ya ZNZ. Until the constitution of CCM and her policies on Muungano changes, bado msimamo wa CCM utaebndelea kuwa serikali mbili, sio tatu.

Nadhani tunaweza kukumbuka kuwa kulikuwa na G55 ambao kutokana na hasira zilizosababishwa na kejeli za Salmin Amour wakasema let us bring back Tanganyika. Waliambiwa kuwa hiyo sio sera ya CCM kama mnasimamia hoja hiyo tafuteni chama kinachosimamia hoja hiyo. That fact has not changed.

Kwenye bandiko langu nimesema rasimu ya katiba ni kama verdict kwa CCM, kwani inapendekeza serikali tatu. Kinyume na sera za CCM.

Lakini times have changed. CCM kwa sasa hai-represent mawazo ya watangayika wote, na ASP hai-represent mawazo ya wazanzibar wote. Zanizbar inaonekana CUF ina mawazo tofauti kabisa na CCM kuhusu Muungano.

Kwa ufupi ni kuwa mjadala huu unazungumzia zaidi katiba. Kama ya serikali tatu ikipita inawezekana huku bara serikali ya CCM itaendelea kuwa kama ilivyo kwa sasa, lakini kwa Zanzibar hali itakuwa tofauti, mkono wa serikali ya Jamhuri ya Muungano kwenye Zanzibar yenye highest degree of autonomy utakuwa mfupi, and that means the will of CUF in one way or the other, will prevail. Nikisema the will of CUF maana yake ni kuvunja Muungano kabisa.

Kitu kigeni kinacholetwa na rasimu hii ni serikali ya Tanganyika, ambayo kivitendo itakuwa na nguvu kuliko ya Jamhuri ya Muungano. Ndani ya serikali tatu serikali ya jamhuri ya muungano haitakuwa na maana yoyote, haitakuwa na ardhi, raslimali, itategemea hisani yaserikali ya Tanganyika na Zanzibar, so it will be nothing. Hata haitakuwa na uwezo wa kuwa na influence Zanzibar.
 
Back
Top Bottom