Wajumbe Bunge La Katiba, Tuepuke Kumtumia Mwalimu Nyerere Vibaya

Wajumbe Bunge La Katiba, Tuepuke Kumtumia Mwalimu Nyerere Vibaya

Mkuu Kobello unajua huko nyuma niliwahi kusema kuwa kwenye suala la muundo wa Muungano sisi watu wa bara tunakuwa na kitu kama Knee jerk approach. Kwanza inaonekana kuwa msimamo wa CCM ndio msimamo wa Tanganyika, kitu ambacho si kweli.

Kwa sasa sera ya CCM kuhusu Muungano iko wazi, na sera ya CCM hapa ndio nachukuliwa kuwa ni msimamo wa CCM, yaani serikali mbili, serikali ya JMT na serikali ya ZNZ. Until the constitution of CCM and her policies on Muungano changes, bado msimamo wa CCM utaebndelea kuwa serikali mbili, sio tatu.

Nadhani tunaweza kukumbuka kuwa kulikuwa na G55 ambao kutokana na hasira zilizosababishwa na kejeli za Salmin Amour wakasema let us bring back Tanganyika. Waliambiwa kuwa hiyo sio sera ya CCM kama mnasimamia hoja hiyo tafuteni chama kinachosimamia hoja hiyo. That fact has not changed.

Kwenye bandiko langu nimesema rasimu ya katiba ni kama verdict kwa CCM, kwani inapendekeza serikali tatu. Kinyume na sera za CCM.

Lakini times have changed. CCM kwa sasa hai-represent mawazo ya watangayika wote, na ASP hai-represent mawazo ya wazanzibar wote. Zanizbar inaonekana CUF ina mawazo tofauti kabisa na CCM kuhusu Muungano.

Kwa ufupi ni kuwa mjadala huu unazungumzia zaidi katiba. Kama ya serikali tatu ikipita inawezekana huku bara serikali ya CCM itaendelea kuwa kama ilivyo kwa sasa, lakini kwa Zanzibar hali itakuwa tofauti, mkono wa serikali ya Jamhuri ya Muungano kwenye Zanzibar yenye highest degree of autonomy utakuwa mfupi, and that means the will of CUF in one way or the other, will prevail. Nikisema the will of CUF maana yake ni kuvunja Muungano kabisa.

Kitu kigeni kinacholetwa na rasimu hii ni serikali ya Tanganyika, ambayo kivitendo itakuwa na nguvu kuliko ya Jamhuri ya Muungano. Ndani ya serikali tatu serikali ya jamhuri ya muungano haitakuwa na maana yoyote, haitakuwa na ardhi, raslimali, itategemea hisani yaserikali ya Tanganyika na Zanzibar, so it will be nothing. Hata haitakuwa na uwezo wa kuwa na influence Zanzibar.
Serikali tatu ni sawa na kuuvunja muungano kama muundo wake utakuwa kama ulivyopendekezwa na tume.
Lakini siyo kwamba serikali tatu zitaitoa CCM madarakani.

Zanzibar na Bara zipo chini ya CCM kwa wingi wa kura, meaning wananchi wengi bado wanaipigia kura CCM.Ukisema CCM haina chao znz (asp) utakuwa umekosea.

Speaking of "The will of CUF" .... why did they fail to floor the motion in BLW? All those years?
 
Serikali tatu ni sawa na kuuvunja muungano kama muundo wake utakuwa kama ulivyopendekezwa na tume.
Lakini siyo kwamba serikali tatu zitaitoa CCM madarakani.

Zanzibar na Bara zipo chini ya CCM kwa wingi wa kura, meaning wananchi wengi bado wanaipigia kura CCM.Ukisema CCM haina chao znz (asp) utakuwa umekosea.

Speaking of "The will of CUF" .... why did they fail to floor the motion in BLW? All those years?


Previous election in Zanzibar, almost all, have proved that CUF (ZPPP) has more muscle than than CCM (ASP), without security apparatus islands would have long gone to the dogs.

The motion in BLW is nothing without blessing from baraza la mapinduzi la SMZ.
 
Previous election in Zanzibar, almost all, have proved that CUF (ZPPP) has more muscle than than CCM (ASP), without security apparatus islands would have long gone to the dogs.

The motion in BLW is nothing without blessing from baraza la mapinduzi la SMZ.
Opinion vs fact.

Hawajawahi hata ku-attempt, meaning hawana 2 thirdhs just to put the motion on the floor, huo ndiyo ukweli.
 
Previous election in Zanzibar, almost all, have proved that CUF (ZPPP) has more muscle than than CCM (ASP), without security apparatus islands would have long gone to the dogs.

OMG!, wakikusikia!. Kuna kiongozi mmoja sikumbuki nani, aliwahi kusema "we can't afford sitting here and let my country go to the dogs!", kwa dini ya wenzetu, " a dog" ni machukizo kwao!.
Pasco.
 
Nia yangu ni kufuata mkondo huhuu wa uhalali wa Rais kuchagua bunge la katiba.
Kwanza kabisa, Magna Carta iliandikwa na WATU WACHACHE sana ambao ni Feudal Barons and was only for non-serfs, aiming at taking the judiciary power from the king. Waingereza wengi walikubali na kumodify vipengele vingine over time.

Tusiende mbali, ila katiba na mikataba mingi hazikuandikwa na watu kidemokrasia directly, lakini hiyo haimaanishi kuwa watu hawazikubali. Mfumo wa muungano utaamuliwa na wananchi, hilo halikwepeki. Hayo mengine itabidi mbargain na CCM theres no eazy does it.

WANANCHI watasikiliza mawazo mbalimbali kuhusu muungano halafu wataamua.Ingekuwa vizuri kungekuwa na chombo huru cha kusimamia katiba, ila sidhani kama rais amevunja sheria au katiba. Na sidhani kuwa katiba ya Tanzania ni illegitimate ..... halafu ya uingereza na US ni legitimate. Thats a double standard.

So many things are unethically legal.

Mkuu Kobello,

Nadhani kilicho sahihi ni kwamba mchakato wa katiba marekani ulianzishwa na watu wachache sana na kuendeshwa kwa usiri mkubwa katika hatua za awali lakini mawazo ya wengi yalikuja kuhusishwa baadae katika hatua ya ratification. Tukiangalia historia ya taifa hili tunaelewa wazi kwanini hatua za awali za mchakato wa katiba ziligubikwa na usiri na udhibiti wa hali ya juu lakini pia tunaona wazi kwamba delegates kutoka states mbalimbali walishiriki katika heated debates kwenye convention huku wakiweka maslahi ya states zao mbele; baadae rasimu ilipoenda kwenye umma, yalitokea maandamano, criticisms kutoka makundi mbalimbali kutoka different states, critics from the media n.k, huku mjadala mkubwa ukiwa ni juu ya kuzingatia maslahi ya states mbalimbali, makundi mbalimbali n.k. Na historia inatuonyesha jinsi gani serikali ilivyokuwa sikivu kwani wananchi hawakupigwa risasi wala mabomu, vyombo vya habari havikufungiwa au wamiliki kumwagiwa tindi kali, bali mawazo yote yalisikilizwa na kuzingatiwa kwa kiwango kikubwa sana; ni kutokana na haya ndipo hatimaye maridhiano yakapatikana; kwa maana nyingine, there was a public consensus on the final content ya katiba husika.

Nikipata muda nitakuja kufafanua zaidi jinsi gani as the process unfolded it became more transparent and democratic lakini muhimu zaidi, ratification of the final document was based on matakwa ya wengi;

Kwa sasa naomba tubakie kwenye hoja ya msingi ambayo ni kwamba -despite the fact kwamba katika hatua ya awali mchakato wa katiba ya marekani ulihodhiwa na watu wachache to begin with, historia inaweka wazi kwanini ilitokea hivyo, na pia inaonyesha wazi jinsi gani mijadala miongoni mwa delegates at the convention ililenga maslahi ya states walizotoka pamoja na makundi waliyokuwa wanayashirikisha;

Muhimu hapa pia ni kwamba convention husika iliitwa kwa manufaa ya taifa, sio chama cha siasa au kundi la watu fulani; andat the end of the day, the constitution of the united states embodied a broad national consensus, hence commanded political legitimacy;kwa upande wa Tanzania, sio katiba ya 1962 na ile ya 1977, sio muungano 1964, wala sio uamuzi wa kuiua Tanganyika 1965 embodied a national consensus and commanded political legitimacy; matukio yote haya hayakuwa transparent, hayakuwa democratic na hayakutokana na negotiations and protracted debates, badala yake yalitawaliwa na usiri siri na kuhodhiwa na kundi la wachache from start to finish;

Tunaweza kujadili experience za mataifa ya wenzetu as much as we wish lakini in the process, suala la maana for us to consider ni kwamba - katika hali ya sasa ambapo taifa lipo njia panda, je:
*how can we crystallize a national consensus?
*what can command the loyalty of the ruled and the rulers regardless of party ideologies or political persuasion?

Jibu ni KATIBA itakayotokana na wananchi. Vinginevyo it remains to be a fact kwamba maamuzi juu ya katiba ya 1977 yalikuwa ni among the most undemocratic decisions in the political history of our country, na hata mchakato wa sasa, a crisis is imminent, WHY? Kwa sababu - mchakato umekosa a national consensus na hivyo it won't command political legitimacy. This will remain a fact regardless of the magnitude of our comparative analysis on what transpired in other nations and the experiences that they went through (UK, USA etc).

Let's use the current constitutional process to build a national consensus and come up with a constitution that commands political legitimacy. By doing so, our new constitution (unlike now) will command the loyalty of both the ruled and the rulers, regardless of their political persuasion. That's what we need at best, as it will help us avoid bloodshed or categorically be included in the league of the "failed states"; one doesn't need to be a brain surgeon to realise that both of these dangers are imminent if not looming;


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
OMG!, wakikusikia!. Kuna kiongozi mmoja sikumbuki nani, aliwahi kusema "we can't afford sitting here and let my country go to the dogs!", kwa dini ya wenzetu, " a dog" ni machukizo kwao!.
Pasco.

Mkuu ni lugha tu, hata Mrema alipoambiwa sentensi kama hiyo alidhani ni mbwa, kumbe sio mbwa.
 
Nia yangu ni kufuata mkondo huhuu wa uhalali wa Rais kuchagua bunge la katiba.

Nilishajadili mawazo yangu juu ya mamlaka ya Rais na constituent assembly; kama haukunisoma, nitarejea tena katika hili baadae;



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Mkuu Kobello,

Let's use the current constitutional process to build a national consensus and come up with a constitution that commands political legitimacy. By doing so, our new constitution (unlike now) will command the loyalty of both the ruled and the rulers, regardless of their political persuasion. That's what we need at best, as it will help us avoid bloodshed or categorically be included in the league of the "failed states"; one doesn't need to be a brain surgeon to realise that both of these dangers are imminent if not looming;


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Referrendum itaamua. Tupo sawa tu, bloodshed ni language inayokuwa propagated lakini it aint even like that.
We'll be okay.
 
Kuna Kitabu kimoja titled:

"The Nyerere doctrine of state succession and the new state of East Africa", by Yilma Makonnen.

Kitabu hiki kina very interesting facts zitakazotusaidia kumwelewa Mwalimu kwa undani zaidi juu ya muungano; naendelea kukipitia na nikipata muda I will share a few areas ambazo nadhani ni muhimu kuzijadili;



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Kuna Kitabu kimoja titled:

Kitabu hiki kina very interesting facts zitakazotusaidia kumwelewa Mwalimu kwa undani zaidi juu ya muungano; naendelea kukipitia na nikipata muda I will share a few areas ambazo nadhani ni muhimu kuzijadili;

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Mkuu Mchambuzi, Watanzania, hatusomi vitabu!, hatuna utamaduni wa kujisomea kuongeza maarifa!, viongozi wetu nao pia hawasomi, ila pia naomba kukiri, kusoma sio tuu ni uwezo, na interest, bali na mazingira!. Nakumbuka nikiwa primary nilisoma sana vitabu vya hadithi, Alfulela U lela, Mashimo ya Mfalme Suleiman, Hadithi za Alan Quater Man, nilipomaliza STD 7 kile kipindi cha kusubiria matokeo, niliisoma Bible page 1 mpaka mwisho!. Nilipokuwa O-Level, pale Maktaba ya Taifa ndio palikuwa kama sebuleni kwangu!. Kina Chase niliachana nao baada tuu ya kumaliza O-Level, A-level nikasoma sana African writers na novels, nikawaingia kina Puzzo, Ladlum, Forthy, Steel, Sheldon, na wengine, nilipokuwa UDSM kufuatia room pale pale Mabibo hostel kuwa ndio the one and only room iliyokuwa na free internet connectivity kupitia firewall ( Hostel zote za Mabibo ziko fixed na firewall ila by then none was connected except one, na iliunganishwa siku ya uzinduzi wa hostel, ili mgeni rasmi aone ile connectivity na kilibaki ni chumba hicho hicho mpaka namaliza four years letter, sijui sasa kama viko connected).

Hali hiyo ilinifanya kuiona library ya chuo kama kituo cha polisi, kujisomea vitabu hard copy kuliishia hapo!. Mpaka leo nikifungua Bible, nikijitahidi sana ni pages 2!, kusoma vitabu vingine ndio kabisaa!, huyo ndio kina sisi tuliopenda kujisomea!, Watanzania tulivyo wavivu wa kusoma, sijui hata wangapi walikisoma kitabu hicho, mimi ndio kwanza nakisikia kwako ila nimekiona on line!.

Mkuu Mchambuzi, kama unazo baadhi ya soft copies za vitabu muhimu, nakuomba uwe unatupiamo humu japo mara moja moja ili tukipata chance angalau tujisomee!, mpaka sasa naamini kusoma ndio the best way ya kuongeza maarifa!. Kwa baadhi ya nondo muhimu, baadhi yetu humu, tutakuwa tayari kuchangia, kama zilivyokuwa baadhi ya nondo toka kwa Mzee Mwanakijiji, wa enzi zile!. Tulichangia kupitia kwa Mkuu Maxi, na nondo zilishushwa!.
Pasco.
 
Mtoa mada nikusaidie kitu kidogo hata siku moja huwezi kulizungumzia nchi hii bila kuntaja Mwalimu JK Nyerere(Baba wa Taifa hili).Hivi isingekuwa yeye sidhani kama ungekuwa na uwezo wa kuandika haya unayoyaandika!Hiyo proprosal yako hata kama wengi watakusupport hapa but inreality haitawezekana.Eti baba ajenge nyumba halafu baada ya kuona inanyufa so wakati wa marekebisho baba asitajwe!?
 
Mtoa mada nikusaidie kitu kidogo hata siku moja huwezi kulizungumzia nchi hii bila kuntaja Mwalimu JK Nyerere(Baba wa Taifa hili).Hivi isingekuwa yeye sidhani kama ungekuwa na uwezo wa kuandika haya unayoyaandika!Hiyo proprosal yako hata kama wengi watakusupport hapa but inreality haitawezekana.Eti baba ajenge nyumba halafu baada ya kuona inanyufa so wakati wa marekebisho baba asitajwe!?

Hakuna aliyejenga hoja baba wa taifa asijadiliwe katika hili bali hoja ni kwamba "asitumike vibaya"; hoja hii ipo wazi kwa mtu atakayenisoma akiwa ametulia; vinginevyo nisingeweka nukuu za Mwalimu, nisingeendelea na utafiti na nisinge ahidi kuwarudia zaidi na mawazo ya Mwalimu juu ya suala husika;




Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom