kitu hamjui ni kuwa Lisu hatakiwi tanzania.
hatakiwi kwa sababu ni mtukanaji wa viongozi na serikali.
CCM ndo inaongoza serikali hawawezi kusababisha awe kiongozi tena msemaji mkuu si atamtukana hadi Mungu.
alimtukana Nyerere atamuogopa Samia?
hivyo kiuhalisia lisu hawezi kushinda na sisi wananchi hatutaki mtu mtukanaji