Tetesi: Wajumbe mkutano mkuu CHADEMA wapokea bahasha nono, Mbowe mitano tena

Tetesi: Wajumbe mkutano mkuu CHADEMA wapokea bahasha nono, Mbowe mitano tena

kitu hamjui ni kuwa Lisu hatakiwi tanzania.
hatakiwi kwa sababu ni mtukanaji wa viongozi na serikali.

CCM ndo inaongoza serikali hawawezi kusababisha awe kiongozi tena msemaji mkuu si atamtukana hadi Mungu.

alimtukana Nyerere atamuogopa Samia?

hivyo kiuhalisia lisu hawezi kushinda na sisi wananchi hatutaki mtu mtukanaji
Wanancnhi wa wapi,TL mwenyekiti mpya!
 
Freshi tu mbowe ashinde ili litimie neno lililonenwa na wajuzi wa mambo kuwa chadema ni sakosi ya mbowe na ni tawi la ccm
 
Back
Top Bottom