Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Huyu ji team Lissu katumwa.Wakuu
Katibu wa chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wilaya ya Kahama Samwel Peter akieleza namna gani wajumbe wa mkutano Mkuu wa Chama hicho wamekuwa wakishawishiwa kwa fedha kuelekea uchaguzi wa chama hicho unaoendelea kufanyika muda huu katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam
View attachment 3209162
Sawa tuHuyu ji team Lissu katumwa.
Wakuu
Katibu wa chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wilaya ya Kahama Samwel Peter akieleza namna gani wajumbe wa mkutano Mkuu wa Chama hicho wamekuwa wakishawishiwa kwa fedha kuelekea uchaguzi wa chama hicho unaoendelea kufanyika muda huu katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam
View attachment 3209162
Lissu akishinda chama kitakuwa kikubwa kama cha cufMbowe akishinda ni sawa na kukiua chama
Kikifa wewe unapata tatizo gani? Lissu si anaweza kuanzisha chama chake mkaenda huko?Mbowe akishinda ni sawa na kukiua chama
Mbowe hatakiwi na kila mwenye akili timamu.Wahuni wa Lema hawa!!
Anasema amepewa nauli ya kuhudhuria kikao ambayo anadai kuwa ni rushwa. Kwa vile anasema kuwa msimamo wake na wa wenzake ni kuwa lazima Lissu ashinde ulikuwa wazi, kwa nini Mbowe ampe nauli ili aje kumpigia kura Lissu?Sio dhambi kuleni hizo rushwa ila kura mtoe kwa Lissu, kinyume na hapo mtakuwa na dhambi kubwa
acha utani cuf ni kubwa?Lissu akishinda chama kitakuwa kikubwa kama cha cuf
Duu hapa mbowe kutoboa ni kazi sana,
Uwazi ni mkubwa.Chadema iko Uchi wa Mnyama 🐼