Pre GE2025 Wajumbe: Tumepewa hela ili tumchague Mbowe, sisi tunamtaka Lissu

Pre GE2025 Wajumbe: Tumepewa hela ili tumchague Mbowe, sisi tunamtaka Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Katibu wa chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wilaya ya Kahama Samwel Peter akieleza namna gani wajumbe wa mkutano Mkuu wa Chama hicho wamekuwa wakishawishiwa kwa fedha kuelekea uchaguzi wa chama hicho unaoendelea kufanyika muda huu katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam
 
Wakuu

Katibu wa chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wilaya ya Kahama Samwel Peter akieleza namna gani wajumbe wa mkutano Mkuu wa Chama hicho wamekuwa wakishawishiwa kwa fedha kuelekea uchaguzi wa chama hicho unaoendelea kufanyika muda huu katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam
View attachment 3209162
Huyu ji team Lissu katumwa.
 
Wakuu

Katibu wa chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wilaya ya Kahama Samwel Peter akieleza namna gani wajumbe wa mkutano Mkuu wa Chama hicho wamekuwa wakishawishiwa kwa fedha kuelekea uchaguzi wa chama hicho unaoendelea kufanyika muda huu katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam
View attachment 3209162
 
Tupate salamu kutoka kwa mwenyekiti king'ang'anizi

 
Sio dhambi kuleni hizo rushwa ila kura mtoe kwa Lissu, kinyume na hapo mtakuwa na dhambi kubwa
Anasema amepewa nauli ya kuhudhuria kikao ambayo anadai kuwa ni rushwa. Kwa vile anasema kuwa msimamo wake na wa wenzake ni kuwa lazima Lissu ashinde ulikuwa wazi, kwa nini Mbowe ampe nauli ili aje kumpigia kura Lissu?

Kweli " stupid is as stupid does".

Amandla...
 
Wamepewa kiasi gani? Je ni laki, laki mbili, laki tatu , laki tano au laki tisa na salasini, au mamilioni
 
Back
Top Bottom