Wajumbe wa Mkutano Mkuu CCM Taifa, mchagueni Mama Samia kuwa mwenyekiti wa CCM na Ashraf Sadru Kiobya kuwa mjumbe wa NEC

Huyo kijana amaekaa kwenye chama muda gani?Kata yake ya Ibwera ndo inaongoza kwa majanga ya kukosa maji safi na salama.Vijiji kibao havina maji.Yeye kafanya nini hapo kwao?Hata baba yake alipokuwa mwenyekiti wa CCM BK,Bado Ibwera iliendelea kuwa imedorola.Pia huo mpango ulisukwa na Katibu mstafu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…