Watanganyika wamechanganyikiwa!
Hawajui mbaya wao Wala mzuri waoπ
Mkitaka kufanikiwa, komaeni na Katiba mpya, Muungano.
Ili kufanikiwa, ni kujiunga na CCM na kuondoa wajinga waliopo, na kuweka watu wenye uelewa, mwisho wa siku, Kila kitu kinaenda sawa