Pre GE2025 Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wanasema wapinzani wameyakanyaga, lazima wamalizane nao Uchaguzi wa 2025

Pre GE2025 Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wanasema wapinzani wameyakanyaga, lazima wamalizane nao Uchaguzi wa 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Watanganyika wamechanganyikiwa!
Hawajui mbaya wao Wala mzuri wao😂
Mkitaka kufanikiwa, komaeni na Katiba mpya, Muungano.
Ili kufanikiwa, ni kujiunga na CCM na kuondoa wajinga waliopo, na kuweka watu wenye uelewa, mwisho wa siku, Kila kitu kinaenda sawa
 
Back
Top Bottom