sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Hujawahi kuangalia BSS?Mi sijui nakaa Tz gani yaani sijui watu wengi.
Kila nikifungua hili jukwaa nakutana na mitu mipya.
Najua wasafi tu.
ahaaaa..wajumbe wabaya mno.Fanya nyoa kabisa na rasta zako huku kila kiti kinakusubiri ww[emoji16][emoji16][emoji16] Wajumbe nyokoView attachment 1516494
Chadema huwa wanategeka hapa. Sifa za mitandaoni zinawapumbaza.Wasanii wakiona followers wengi fb na insta wanadhani ndo wapiga kura,kumbe wajumbe hawana hata smartphone,followers wakikuambia gombea unavimba kichwa unadhani unakubalika
Acha kabisa mkuuahaaaa..wajumbe wabaya mno.