Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahhhaahhaaaahhaFanya nyoa kabisa na rasta zako huku kila kiti kinakusubiri ww[emoji16][emoji16][emoji16] Wajumbe nyokoView attachment 1516494
Mitaani huwa wanawapita Sana, kumbe ndio wajumbe wenyeweWasanii wakiona followers wengi fb na insta wanadhani ndo wapiga kura,kumbe wajumbe hawana hata smartphone,followers wakikuambia gombea unavimba kichwa unadhani unakubalika
Kula mkono kwanza🤝 mkuu kama upo sehemu agiza kinywaji nakuja kulipa au sorry utalipa tu maana ntachelewa kuja🤦😜😅Anamuda gani yupo kwenye chama kwanza? wajumbe sio wajinga jua hilo kwanza wanajua kile wanachokifanya maana wao ndio watu wanojua wapi wanachama waonguli huwezi kuibuka ovyo ukapewa kura kirahisi rahisi hivyo.
Sema Kimei ana nafasi kubwa ya kupitishwa na ccm kwenye hatua inayofuata.Tofauti na miaka mingine, this time wakikatwa hawatapitapi kwenda vyama vingine.
Kakatwa Kimei itakuwa Master J?
Yule aliyesuka twende kilioni?Hujawahi kuangalia BSS?
Duh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yule aliyesuka twende kilioni?
Hii inawezekana, kwa sababu mzee baba alisema anamuhitaji sana kwenye kazi serikali yake, wakati anazindua CRDB ChatoSema Kimei ana nafasi kubwa ya kupitishwa na ccm kwenye hatua inayofuata.
Mkuu, wajumbe sio watu wazuri.Ni takribani wiki na ushee sasa Master Jay kakaa kimya sana na page zake za mitandao ya kijamii zipo kimya zaidi ya wiki.
Master Jay ni msomi mwenye degree ya Uingereza katika fani ya uhandisi na aliwahi kufanya kazi kama engineer kwenye kampuni ya Mobitel (kwa sasa Tigo) ila aliiacha kazi hio yenye mshahara si haba ili aje kuinua sanaa ya Bongo Fleva lakini uzalendo wake nahisi wajumbe wameupuuza kitu ambacho si kizuri.
Pia alijiandaa mapema sana katika ishu ya kutia nia ya kuwa mbunge kwa kunyoa rasta zake.
]
View attachment 1516716