PSEUDOPODIA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 392
- 798
Mzimu wa mama kabendera utakufuata maisha yako yoteKuota ndoto mchana rukhsa
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzimu wa mama kabendera utakufuata maisha yako yoteKuota ndoto mchana rukhsa
P
Tuliambiwa upizani umekufa hawa jamaa nawashanga sana,kampeni za kwanza walikua wanatufokea sasa wamekuja na mbwebwe za kupigia watu magoti tulia spana zifanye kazi yake nyie si mmefanya mambo mengi sana kwanini msitulie mkango tare 28 mnaogoa nini kama upinzani umekufa mwaka huu mtajamba pafyumuNdugu zangu, hakika chama chetu kikongwe kimejaa propaganda za maji taka, makada walijitokeza na propaganda kuwa Lissu hawezi kurudi Tanzania,Lissu aliwathibitishia watanzania kuwa angerudi tu, wakabadili gia kuwa akirudi atakamatwa airport, Jamaa akarudi tena kwa kishindo wakashindwa kumkamata airport.
Wakasema Chadema haiwezi kumpa nafasi ya kugombea Urais maana Mbowe na Lema hawamtaki wanamtaka Lazaro, Chadema ikampa kugombea tena kwa kura nyingi sana. Wakasema tume lazima itamwengua maana ana kesi kwahiyo hatatoboa, akateuliwa kugombea.
Wakasema hana pesa za kufanya kampeni hawezi kuzunguka nchi nzima, leo yupo anazunguka kila kona tena kwa speed ya 5GB. Wakasema hata pata watu kwenye mikutano yake, sasa ni mafuriko.
Mgombea wao akawaambia wafuasi wake kwamba picha za mikutano ya Lissu ni za ku edit, wamegundua kuwa mgombea wao hakuwa sahihi wamekuja na propaganda mpya kuwa watu wanaojaa kwenye mikutano ya Lissu siyo wapiga kura kwa kuwa hawajajiandikisha ila wanafunzi na wale wanaojaa kwenye fiesta ndio wapiga kura. Hakika wajumbe wamezidi kuyeyuka na propaganda za maji taka. Mwaka huu kazi mnayo wajumbe,a.k.a makada a.k.a uvccm walioagizwa kujibu hoja.
Huna lolote wewe , hivi ulijua Lissu anaweza kutishwa na vikelele vyako vya kizushi ? Never Ever ! Lissu siyo wa hivyo na nakuhakikishia Lissu anamuondoa Magufuli madarakani
Kipindi hicho ulikuwa hujawa mchumia tumbo.Jee unamjua ni nani alimshauri Lissu agombee urais?.
Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!
P
Huyo ni njaa na ukabila vinamsumbua,amefikia hatua ya kujitoa utuNakala imfikie Pascal Mayalla , Mtia nia aliyepigwa spana na wajumbe na kuishia kuambulia sifuri yenye masikio , huyu alikuwa kinara wa kumtisha Lissu
Ni Wewe, pasco! Najua kwa kuwa kura ni siri ya Mtu, inawezekana ukampa hata kakura kamoja kama kale kwa wajumbe!Jee unamjua ni nani alimshauri Lissu agombee urais?.
Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!
P