Kigaila kawanyima baadhi ya wajumbe
vitambulisho makao makuu, Mikocheni.
Amewaambia warudi kesho asubuhi.
Wengi ya walio nyimwa vitambulisho ni
kutoka maeneo yaliyo onyesha upande.
Kigaila anaendelea kufanya uhuni ule ule
alioufunya kwenye chaguzi za chini. John,
ACT, ASAP.
View attachment 3207984
Toa vitambulisho kwa Wajumbe ,
Wajumbe wengi mpaka sasa hawajapata
vitambulisho. Hii haikubaliki.
View attachment 3207983
BENSON KIGAILA unazungusha watu wa
TAL kuwapa Vitambulisho hapo Makao
MAKUU.
View attachment 3207985
ONYO
Kama wewe sio mpiga kura usisogelee
ukumbi wa kupigia kura Mlimani City
Jumanne tarehe 21/1/2025.
Eneo hilo ni kwa wapiga kura wa Mkutano
Mkuu pekee! Godi Lema na magenge yako
tutawanyonya ulimi bure.
Tunawakumbusha MOI madaktari wako
busy kuhudumia taifa!
View attachment 3207988