Wajumbe wanaomuunga mkono Lissu wanyimwa vitambulisho ili kesho washindwe kufika mkutanoni, kipigo kizito kimeahidiwa kwa wasiofuata utaratibu

Wajumbe wanaomuunga mkono Lissu wanyimwa vitambulisho ili kesho washindwe kufika mkutanoni, kipigo kizito kimeahidiwa kwa wasiofuata utaratibu

Kigaila kawanyima baadhi ya wajumbe
vitambulisho makao makuu, Mikocheni.
Amewaambia warudi kesho asubuhi.
Wengi ya walio nyimwa vitambulisho ni
kutoka maeneo yaliyo onyesha upande.
Kigaila anaendelea kufanya uhuni ule ule
alioufunya kwenye chaguzi za chini. John,
ACT, ASAP.
View attachment 3207984


Toa vitambulisho kwa Wajumbe ,
Wajumbe wengi mpaka sasa hawajapata
vitambulisho. Hii haikubaliki.
View attachment 3207983


BENSON KIGAILA unazungusha watu wa
TAL kuwapa Vitambulisho hapo Makao
MAKUU.
View attachment 3207985


ONYO
Kama wewe sio mpiga kura usisogelee
ukumbi wa kupigia kura Mlimani City
Jumanne tarehe 21/1/2025.

Eneo hilo ni kwa wapiga kura wa Mkutano
Mkuu pekee! Godi Lema na magenge yako
tutawanyonya ulimi bure.
Tunawakumbusha MOI madaktari wako
busy kuhudumia taifa!

View attachment 3207988
POLICCM MARUFUKU KUSOGEA ENEO LA UCHAGUZI.
 
Yenu yanewashinda huko jana 🤣😹
acha upotoshaji mtumishi, nipo dar saiv,
halafu,

mwambie ndugu yako Lema kwamba siasa ni sayansi, sio kufungia wajumbe gest house na kisha kuwafungulia wakati uchaguzi umekwisha 🐒
 
CCM huwezi kuta upuuzi huu
Haya wajumbe tukae chini wajumbe tukae chini tusikie maneno ya wazee..

Isiyo kongwe... ni nini wajumbe? Haivushi

Ndio wajumbe isiyo kongwe haivushi haya basi sasa tumsikie Mzee wa Chama..
 
Upuuzi mliofanyiwa jana kule Dodoma hujauona? Wanaume wazima mnapelekeshwa na mwanamke tena raia wa nchi jirani ya Zanzibar.
Uzuri n kwamba ht ww unapelekeshwa mana yule n rais wako utake au usitake 😂
 
Kengeza Macho Antagonistic Ni hatari Kama walivyo wenzake Vegetaz.
 
acha upotoshaji mtumishi, nipo dar saiv,
halafu,

mwambie ndugu yako Lema kwamba siasa ni sayansi, sio kufungia wajumbe gest house na kisha kuwafungulia wakati uchaguzi umekwisha 🐒
We piga porojo tunakusubiri jimboni tukukate 😹😹
 
Kigaila ukiiua CHADEMA hata hizo nafasi za Viti maalum hautavipata.
 
We piga porojo tunakusubiri jimboni tukukate 😹😹
we! we! we!,

Thubutu,

labda wakakate nyasi, lakini sio kumkata mtumishi wa wananchi na kiongozi mchapa kazi makini asiechoka 🐒
 
Back
Top Bottom