Wajuvi wa mambo msaada unahitajika

Wanakuja Wajuvi.
Afu Apo Mbona Kama Sio Bongo?
Nina Mashaka Na Mleta Mada.
 
We jamaa kwahiyo wakifyatuana wanaeza sababisha ajali?

thA God thA bubbs!!
Mkuu si unajua wakati wa kufyatuana akili yote inahamia kwenye papuchi, kwa hiyo unaweza kuwakuta wanyama katikati ya Barabara ukashangaa wanakuangalia tu
 
Mkuu si unajua wakati wa kufyatuana akili yote inahamia kwenye papuchi, kwa hiyo unaweza kuwakuta wanyama katikati ya Barabara ukashangaa wanakuangalia tu
Hivi kipindi hicho hao wanyama watakuwa na akiba kweli ya akili ya kuwawezesha kumwangalia mtu aliye jirani nao?
 
Hivi kuna binadamu anapandwa na midadi pindi akiona wanyama wapo kunako papuchino?

thA God thA bubbs!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…