Wajuvi wa mambo msaada unahitajika

Wajuvi wa mambo msaada unahitajika

thA goD

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2017
Posts
1,943
Reaction score
1,851
e136e4d908c8ade5b06d8e9757104377.jpg


thA God thA bubbs!!
 
Wanakuja Wajuvi.
Afu Apo Mbona Kama Sio Bongo?
Nina Mashaka Na Mleta Mada.
 
We jamaa kwahiyo wakifyatuana wanaeza sababisha ajali?

thA God thA bubbs!!
Mkuu si unajua wakati wa kufyatuana akili yote inahamia kwenye papuchi, kwa hiyo unaweza kuwakuta wanyama katikati ya Barabara ukashangaa wanakuangalia tu
 
Mkuu si unajua wakati wa kufyatuana akili yote inahamia kwenye papuchi, kwa hiyo unaweza kuwakuta wanyama katikati ya Barabara ukashangaa wanakuangalia tu
Hivi kipindi hicho hao wanyama watakuwa na akiba kweli ya akili ya kuwawezesha kumwangalia mtu aliye jirani nao?
 
Hivi kuna binadamu anapandwa na midadi pindi akiona wanyama wapo kunako papuchino?

thA God thA bubbs!!
 
Back
Top Bottom