Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa ngoja niendeUnaonaje ungeenda kwenye mpya?
thA God thA bubbs!!
Mkuu si unajua wakati wa kufyatuana akili yote inahamia kwenye papuchi, kwa hiyo unaweza kuwakuta wanyama katikati ya Barabara ukashangaa wanakuangalia tuWe jamaa kwahiyo wakifyatuana wanaeza sababisha ajali?
thA God thA bubbs!!
Hivi kipindi hicho hao wanyama watakuwa na akiba kweli ya akili ya kuwawezesha kumwangalia mtu aliye jirani nao?Mkuu si unajua wakati wa kufyatuana akili yote inahamia kwenye papuchi, kwa hiyo unaweza kuwakuta wanyama katikati ya Barabara ukashangaa wanakuangalia tu
Huo muda hawana ndiyo maana wamekuwekea tahadhali teteteteteteteHivi kipindi hicho hao wanyama watakuwa na akiba kweli ya akili ya kuwawezesha kumwangalia mtu aliye jirani nao?
Mbele kuna'upandishaji wa wanyama. Kwa wafugaji wa kuku wa kienjeji huwa tuna azima jogoo kwa wafugaji wengine kwa ajili la kupandishia majike kama hauna jogoo.![]()
thA God thA bubbs!!