Wajuzi mtueleweshe, Tofauti na mategemeo yetu ni kwanini wanywaji wa pombe bado wanafanikiwa

Wajuzi mtueleweshe, Tofauti na mategemeo yetu ni kwanini wanywaji wa pombe bado wanafanikiwa

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Muhimu: Wanywaji wanakunywa bila kuharibu ratiba za shughuli zao muhimu, ni tofauti na walevi.

Haimaanishi kwamba ni wote lakini kuna kundi kubwa si haba la wanywaji wa pombe wana maendeleo kwenye jamii kwa levels kama ngazi ya familia, ukoo, mtaa, ofisi, soko, n.k.

Ukienda pale kariakoo jamii zinazokimbiza zinajulikana na ukiwafuatilia wengi wanakunywa, Maofisini huku maboss na watumishi wengine ni wadau wa kustua moja baridi moja moto.

Kwenye biashara, Maofisini, wakulima, wafugaji, n.k. wapo wengi sana wanaopata pumziko kwenye viti virefu mida ya jioni hadi night.

Kwenye familia unaweza kumkuta mnyaji ndie katoboa zaidi
 
Sasa hapo usichoelewa ni nini? Ili uwe mnywaji inabidi uwe na money au kwa namna fulani umetoboa kimaisha. Ndio hao unawaona huko. Sio kwamba pombe ndio zimefanya watoboe .. hapana bali ni kutoboa kwao ndio pamewapa jeuri ya kunywa pombe.

Na ili uwe mlevi inabidi uwe haujatoboa kimaisha. Mlevi hana hela hivo anakunywa mataputapu na pombe za kugongea.
 
Sasa hapo usichoelewa ni nini? Ili uwe mnywaji inabidi uwe na money au kwa namna fulani umetoboa kimaisha. Ndio hao unawaona huko. Sio kwamba pombe ndio zimefanya watoboe .. hapana bali ni kutoboa kwao ndio pamewapa jeuri ya kunywa pombe.

Na ili uwe mlevi inabidi uwe haujatoboa kimaisha. Mlevi hana hela hivo anakunywa mataputapu na pombe za kugongea.
Comment iwekewe lamination na tukaiweke pale askari monument posta dar es salaam ☺️😊
 
Sasa hapo usichoelewa ni nini? Ili uwe mnywaji inabidi uwe na money au kwa namna fulani umetoboa kimaisha. Ndio hao unawaona huko. Sio kwamba pombe ndio zimefanya watoboe .. hapana bali ni kutoboa kwao ndio pamewapa jeuri ya kunywa pombe.

Na ili uwe mlevi inabidi uwe haujatoboa kimaisha. Mlevi hana hela hivo anakunywa mataputapu na pombe za kugongea.
Fact
 
Back
Top Bottom