Wajuzi naomba utofauti wa hizi tv wanaita smart 4K na hizi smart za kawaida

Wajuzi naomba utofauti wa hizi tv wanaita smart 4K na hizi smart za kawaida

Tunzo

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2013
Posts
4,082
Reaction score
2,402
Hasa kwa upande wa Hisense tv, nana bei ya 4k ni tofaut na bei ya smart ya kawaida, nini cha ziada?
 
smart tv inakuwa inatumia OS yaweza kuwa android sanasana (vidaa, roku, etc). yaani tv yako unakuwa na uwezo wa kuinistall app na kubrowse web mbali mbali.

4k ni resolution ubora wa picha. hii kibongo bongo si muhimu sana sababu video nyingi tunazopakuwa na kupata kwenye visimbusi zinaishia sana sana 1080p(full hd)

Tv inaweza isiwe 4k na bado ikawa ni smart.
 
Back
Top Bottom