Wajuzi: Ni kweli treni ina sumaku ya kuvuta gari linapopita karibu yake au ni hofu ya dereva?

Wajuzi: Ni kweli treni ina sumaku ya kuvuta gari linapopita karibu yake au ni hofu ya dereva?

Ni kwamba umeme uliopo kwenye treni ni mkubwa kuliko uliopo kwenye gari na betri yake. Nilisikia umeme wa treni huua umeme wa gari na kulifanya lishindwe kuwaka, mambo ya electromegnetism. Ndiyo maana gari huzima ghafla. Siku moja tulikuwa tunaenda kilombero wakati tunavuka reli kiberenge kilikuwa kwa mbali ila gari ilisukasuka na taa kumwikamwika. Suala la pressure au bernoullu's effects haliwezi tokea gari ikiwa kwa mbele labda ingekuwa ubavuni.
.
Gari zinazokuwa zimesimama k karibu na reli pindi treni inapita kwa nini huwa hazizimi?
 
Tren ili iweze kupita kwenye reli magurudumu yake yana unatisho wa sumaku.

Sasa nguvu hii ya usumaku hupokelewa na mataruma tren inapokuwa karibu. Ndio maana mita 500 hutakiwi kuwa kwenye hayo mataruma

Gari Lina magurumu ya mpira lkn rim ni cast iron hivyo hupokea nguvu ya usumaku kirahisi sana na kufanya gari kuwa mzito lisiweze kuvuka reli Adi tren ipite

Sent using Jamii Forums mobile app
Very poor of you boy. Terribly poor explanation!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si kweli,nimesoma mambo ya tren na reli..kwa tanzania hatuna treni hata moja inayotumia sumaku.

Afadhali nimepata mtaalam aliyebobea kwenye tasnia ya treni.
Naomba kuuliza, nasikia kwenye treni kwa mvele kuna chuma kina sumaku (haihusiani na magurudumu ya treni) . Hii kazi yake ni kusafisha njia na kuvuta vitu vyenye asili ya chuma. Je, haya maelezo yana ukweli wowote?

Baada ya hapo ndio ntakuja na swali la hiyo sumaku inaathiri vipi reli na inaweza kuathiri kitu kingine kwa umbali gani kutoka kwenye hiyo sumaku kwenye kichwa cha treni?

Shukrani
 
Jib ni kua,utofaut wa pressure baina ya nje ya train na ndan mule ya mataruma wakat inakimbia,ndio inayosababisha huo uvutano,..mfano mdogo tuu nikupe,..chkua chupa ya soda au bia,ambayo empty or wateva,ifyonze bila kuachia hewa kutoka,utaona lips na ulim kama vinanasia kwenye mdomo wa chupa,ndo hvyo sasa kinachotokea,so hata mtu akiwa karib sana na reli pind train inapopita kwa kasi,anaeza jishangaa amefyonzwa ndani ya reli chin kule,..so sio sumaku.
Me nlifundishwa phizikia kuwa Law of conservation of energy inatokea wakati vitu vikiwa vinakaribiana, Yaan ile hewa in between ikiwa disturbed ndo hicho kitendo cha kuvutwa kinatokea. Anyway let's wait for further explanations.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina uhakika, lakini najua engine kama ile iligonga daladala Moro iko driven by electric generators. So if the generators are powerful enough kuna uwezekano wa kudevelop powerful magnetic flux (Faraday's law and Lenz's in physics) hivyo nguvu ya sumaku kuvuta machuma machuma yanayokuwa karibu yake, the way a woman is attracted to a man in love affairs

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui kama mtanielewa,ila ngoja nielekeze kadili ninavyoweza.

Iko hivi,gari linapokua linavuka reli,lazima dreva apunguze mwembo,akisha punguza mwendo,tairi za gari zinaanza kupanda reli, (bargaining ) mara nyingi tairi za gari kwenye chuma cha reli zina teleza teleza ili kupita,kwamaana hiyo,gari linachukua sekunde kadhaa kuvuka reli,kwahiyo wakati gari inabargain kuvuka ndo wakati treni hufika na kuigonga...!ndomana dreva mzuri wa gari ukishasikia ile honi ya train simama hata kama iko mbali kilo mita tatu..

Kumbuka,train haina njia ya kuchepuka inatumia one way,kwamaana hata ikugonge wewe,itahesabika wewe ndo umeigonga,sababu umeikuta kwenye njia yake,train haikufuati wewe ila wewe ndo unaifuata kwenye njia yake.

Nb,mwenye swali lolote kuhusu train na reli aniulize
No! Not enough. Pale Moro ilipotokra ajali gari hazipandi reli, isipokuws reli IPO somewhat buried kwa chini below level ya barabara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui kama hata wewe umeelewa hayo makorokocho umepost.....hivi umeshindwa kupost vitu line ambavyo binadamu mwenzako ataweza kuvielewa bila kutumia misuli yote ya ubongo?!

SONY Xperia Z5 Premium
COTTONAND WITH YOUR CONDITION
 
Tren ili iweze kupita kwenye reli magurudumu yake yana unatisho wa sumaku.

Sasa nguvu hii ya usumaku hupokelewa na mataruma tren inapokuwa karibu. Ndio maana mita 500 hutakiwi kuwa kwenye hayo mataruma

Gari Lina magurumu ya mpira lkn rim ni cast iron hivyo hupokea nguvu ya usumaku kirahisi sana na kufanya gari kuwa mzito lisiweze kuvuka reli Adi tren ipite

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii inawezekana kweli!!?[emoji205]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui kama hata wewe umeelewa hayo makorokocho umepost.....hivi umeshindwa kupost vitu line ambavyo binadamu mwenzako ataweza kuvielewa bila kutumia misuli yote ya ubongo?!

SONY Xperia Z5 Premium
Mkuu ni wachache sana ambao hujitokeza na kusema hawaelewi english ni bora kuwa muwazi kama wewe.
Kama yai haliivi download kamusi.
Siwezi post kitu nisichokielewa itakuwa uchizi.
 
Dah ila umejitahidi kujifikiria,hongera sana afadhali yako wewe umejaribu.

Nimetazama quora kuna mechanic expert kasema hv
This is likely a Venturi effect. As you got close to the train, the air velocity (locally) was much higher. The air right next to the train is traveling at approximately the same speed as the train (no-slip boundary condition). As the air velocity goes up, the local static pressure goes down (conservation of energy). The lower static pressure near the train was likely pulling you in. This is basically the same principle that's used to suction fluid up in eductors.
Thanks
Sunction effect nimemkumba Bernoulli's principle kwenye fluid mechanics ....tulisoma physics advance hapo ndio tunakumbuka jinsi pressure na velocity zinavyousiana. Jinsi ndege inavyo take off , concept ya kupiga mpira adhabu yaani free kick (chopping a ball). Kweli physics inaishi daima.

Ila kimsingi hata mtu ukiruka kwenye treni wakati inatembea unavutwa uvunguni hiyo inaitwa suction effect.

Kama mnakumbuka ile miaka 2002 kama sijakosea kuna mwanajeshi aliruka huku kabeba kijana mabegani .
Point ni kwa high velocity inasababisha high pressure kwa hiyo Ile pressure inakuvuta ndani hiyo ndio so called sunction effect.

Pia hata kwenye sharpness ya kisu inatumika maana tunanoa kisu ilikupungiza surface area maana pressure =force/surface area kwa hiyo surface area ikiwa ndogo pressure ikua kubwa maana hapo inverse proportional .

Pia kwenye shape ya ndege inachongwa mbele ilikupunguza surface area ili kusababisha pressure ya kwenye sharp area kuwa kubwa na juu kua ndogo na matokeo ndege inatake off.

Wataalamu wa grammar msinicheke ila physics inaishi . Nakumbusha advance kipindi hicho
 
Siku za hivi karibuni imetokea ajali ya treni mkoani Morogoro, ajali hii imehusisha basi dogo aina ya coaster linalofanya safar zake Kihonda - Mjini na treni la abiria linalofanya safari za Dar - Mwanza.

Sasa kumekuwa na maneno mengi sana midomoni mwa watu kuwa treni ina sumaku ambayo inapelekea kulivuta gari mara tu linapopita karibu yake na hivyo kusababisha hizo ajali na yapo maneno ya watu wengine yanasema kwamba hofu ya dereva wa gari ndio inayosababisha ajali.

Sasa nilitaka kujua kwa faida yangu na watu wengine! Ni kweli kwamba treni ina sumaku ambayo husababisha gari kuzima na kuligonga au hofu ya dereva ndio inayosababisha gari kugongwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii niliisoma zamaaaaaani nikiwa chekechea kwa sasa nimesahau.
 
Tren ili iweze kupita kwenye reli magurudumu yake yana unatisho wa sumaku.

Sasa nguvu hii ya usumaku hupokelewa na mataruma tren inapokuwa karibu. Ndio maana mita 500 hutakiwi kuwa kwenye hayo mataruma

Gari Lina magurumu ya mpira lkn rim ni cast iron hivyo hupokea nguvu ya usumaku kirahisi sana na kufanya gari kuwa mzito lisiweze kuvuka reli Adi tren ipite

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah asante kwa hii elimu ila kama ni mtihani hili jibu lako silitumiii Ng'oo
 
Afadhali nimepata mtaalam aliyebobea kwenye tasnia ya treni.
Naomba kuuliza, nasikia kwenye treni kwa mvele kuna chuma kina sumaku (haihusiani na magurudumu ya treni) . Hii kazi yake ni kusafisha njia na kuvuta vitu vyenye asili ya chuma. Je, haya maelezo yana ukweli wowote?

Baada ya hapo ndio ntakuja na swali la hiyo sumaku inaathiri vipi reli na inaweza kuathiri kitu kingine kwa umbali gani kutoka kwenye hiyo sumaku kwenye kichwa cha treni?

Shukrani
Mimi kuna mtu aliniambia eti ukitaka kudondosha train weka ndizi mbivu kwenye ' sijui ni kweli au ni fix

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jib ni kua,utofaut wa pressure baina ya nje ya train na ndan mule ya mataruma wakat inakimbia,ndio inayosababisha huo uvutano,..mfano mdogo tuu nikupe,..chkua chupa ya soda au bia,ambayo empty or wateva,ifyonze bila kuachia hewa kutoka,utaona lips na ulim kama vinanasia kwenye mdomo wa chupa,ndo hvyo sasa kinachotokea,so hata mtu akiwa karib sana na reli pind train inapopita kwa kasi,anaeza jishangaa amefyonzwa ndani ya reli chin kule,..so sio sumaku.
Kwanini kuwe na mvutano ipitapo train

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom