Huyu jamaa angekuwa muhandisi wa story... angepiga ela sana, maana ana kipaji cha kubadilisha uongo had ukafanana na ukweli.
Kimsingi hamna sumaku kwenye treni wala nin, sasa nin kinavuta magari?
Kama sijasahau vizuri, kwenye fizikia kuna kitu tunaita "sunction effect"
Ngoja nianzie hapa, kama umeshawah kuvuka barabara... yan ile unavuka barabara moja halafu unasimama katikati ili uvuke ya pili, ukiwa upo katikati pale, kama gari itapita kwa spidi kalii saana... unaweza ukajihisi unavutwa na ile gari iliyopita, kinachotokea hapa ndo kinachoikuta gari inapokatiza karibu ya treni.
Kifizikia sasa, treni inapopita kwa kasi inasababisha ile hewa iliyopo katikati ya gari na treni kutembea kwa spidi kubwa, kwakuwa hewa ipo katika spidi kuubwa huwa ina low pressure[emoji15] , wakati hewa ya upande wa pili wa gari ipo kwenye high pressure, hii difference in pressure ndo inaleta excess force ambayo inasukuma gari kuelekea kwenye treni.
Angalizo, husipoteze mda mwingi kuelewa hyo paragraph ya mwsho, ukiona vipi kariri tuu hamna "sumaku ila kuna force ya upepo."
Sent using
Jamii Forums mobile app