Wajuzi: Ni kweli treni ina sumaku ya kuvuta gari linapopita karibu yake au ni hofu ya dereva?

Wajuzi: Ni kweli treni ina sumaku ya kuvuta gari linapopita karibu yake au ni hofu ya dereva?

Dah ila umejitahidi kujifikiria,hongera sana afadhali yako wewe umejaribu.

Nimetazama quora kuna mechanic expert kasema hv
This is likely a Venturi effect. As you got close to the train, the air velocity (locally) was much higher. The air right next to the train is traveling at approximately the same speed as the train (no-slip boundary condition). As the air velocity goes up, the local static pressure goes down (conservation of energy). The lower static pressure near the train was likely pulling you in. This is basically the same principle that's used to suction fluid up in eductors.
Thanks
Hii nadhani inaapply kama tren Na chombo kingine cha usafiri vinasafiri Parallel.Kwa mfano gari kubwa likiipita bodaboda Huwa mwendesha bodaboda au Baiskeli anaexperience kuvutwa Na gari.
 
Sio kweli bwana gari moshi magurudumu yake yana rridge upande wa ndan ili kuzuia yasitoke off the railway track.
Hakuna cha sumaku wala nini na halafu cast iron na sumaku si washikaji

Sent using Jamii Forums mobile app
...Uko sahihi sana. Siri kubwa ya tairi za treni na reli ni hizo ridges kwa ndani. Tuko jirani na reli so naonaga watu wanachukua mpaka taruma na vipande vya reli, havina sumaku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sunction effect nimemkumba Bernoulli principal kwenye fluid mechanics ....tulisoma physics advance hapo ndio tunakumbuka jinsi pressure na velocity zinavyousiana. Jinsi ndege inavyo take off , concept ya kupiga mpira adhabu yaani free kick (chopping a ball). Kweli physics inaishi daima
Ni kweli kabisa mkuu mambo ya bernoulli hayo advance hapo kwenye fluid mechanics.
 
treni haina usumaku wowote ule
sema ni uzembe tu wa madereva katika kuvuka hizo railway cross huwa wanajisahau sana kuangalia kushoto na kulia kabla ya kuvuka wao wanapita tu
majuzi tu hapa hapa moro tumezika bodaboda kagongwa na treni
ndo maana unaambiwa gari/pikipiki ndio inagonga treni na sio kinyume chake
....Railway nao ni wazembe sana, ilipaswa kila kwenye railway crossing na barabara kuu kuwe na geti ambalo linafungwa treni inapotaka kupita.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku za hivi karibuni imetokea ajali ya treni mkoani Morogoro, ajali hii imehusisha basi dogo aina ya coaster linalofanya safar zake Kihonda - Mjini na treni la abiria linalofanya safari za Dar - Mwanza.

Sasa kumekuwa na maneno mengi sana midomoni mwa watu kuwa treni ina sumaku ambayo inapelekea kulivuta gari mara tu linapopita karibu yake na hivyo kusababisha hizo ajali na yapo maneno ya watu wengine yanasema kwamba hofu ya dereva wa gari ndio inayosababisha ajali.

Sasa nilitaka kujua kwa faida yangu na watu wengine! Ni kweli kwamba treni ina sumaku ambayo husababisha gari kuzima na kuligonga au hofu ya dereva ndio inayosababisha gari kugongwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Na mimi naongezea swali..
Huko kale nilisikia sindano inaweza angusha treni.
Je kuna ukweli wowote!?[emoji85] [emoji86]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cyo kwamba gari linavutwa, bali injini unazima kutokana huo usumaku uliopo kwenye treni..na ajali zote inakuaga ivo hata hyo ya moro gari ilizimika haikuvutwa' sumaku ya treni ina uwezo mkubwa sana so gari inapokua karibu as material ya injini ni chuma hapo ndo inapokua disturbed na kuzima'

Nmeandka kikawaida ili ieleweke kwa kila mwanadamu..

Kati ya comments zote ambazo nimezipitia hii ndo nimeikubali na kutokea kuiamini.

Nadhani itamchukua mwingine kuniaminisha tofauti na hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa angekuwa muhandisi wa story... angepiga ela sana, maana ana kipaji cha kubadilisha uongo had ukafanana na ukweli.

Kimsingi hamna sumaku kwenye treni wala nin, sasa nin kinavuta magari?
Kama sijasahau vizuri, kwenye fizikia kuna kitu tunaita "sunction effect"

Ngoja nianzie hapa, kama umeshawah kuvuka barabara... yan ile unavuka barabara moja halafu unasimama katikati ili uvuke ya pili, ukiwa upo katikati pale, kama gari itapita kwa spidi kalii saana... unaweza ukajihisi unavutwa na ile gari iliyopita, kinachotokea hapa ndo kinachoikuta gari inapokatiza karibu ya treni.

Kifizikia sasa, treni inapopita kwa kasi inasababisha ile hewa iliyopo katikati ya gari na treni kutembea kwa spidi kubwa, kwakuwa hewa ipo katika spidi kuubwa huwa ina low pressure[emoji15] , wakati hewa ya upande wa pili wa gari ipo kwenye high pressure, hii difference in pressure ndo inaleta excess force ambayo inasukuma gari kuelekea kwenye treni.

Angalizo, husipoteze mda mwingi kuelewa hyo paragraph ya mwsho, ukiona vipi kariri tuu hamna "sumaku ila kuna force ya upepo."



Sent using Jamii Forums mobile app
Tayari umesha wadanganya wadau.

Kwanza gari huwa halivutwi badala yake hukutwa pale,..

Tairi za treni hazina sumaku lakini kuna chuma kimoja kinacholizunguka tairi na kushaka reli ili treni isitoke nje ya reli au njia yake ndo chenye sumaku ambayo huweza kushika reli kwa distance ya hadi km 4,

Sasa gari inapo jaribu kuvuka reli ndani ya umbali huo chuma kile chenye sumaku huiweka injini yake sehemu ya reli na kuiforce kuzima pamoja na kushikana na reli.

Ingekuwa sijui "nini" effect kama ulivyo wadanganya basi mimi ningekuwa nilishavutwa kitambo sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui kama mtanielewa,ila ngoja nielekeze kadili ninavyoweza.

Iko hivi,gari linapokua linavuka reli,lazima dreva apunguze mwembo,akisha punguza mwendo,tairi za gari zinaanza kupanda reli, (bargaining ) mara nyingi tairi za gari kwenye chuma cha reli zina teleza teleza ili kupita,kwamaana hiyo,gari linachukua sekunde kadhaa kuvuka reli,kwahiyo wakati gari inabargain kuvuka ndo wakati treni hufika na kuigonga...!ndomana dreva mzuri wa gari ukishasikia ile honi ya train simama hata kama iko mbali kilo mita tatu..

Kumbuka,train haina njia ya kuchepuka inatumia one way,kwamaana hata ikugonge wewe,itahesabika wewe ndo umeigonga,sababu umeikuta kwenye njia yake,train haikufuati wewe ila wewe ndo unaifuata kwenye njia yake.

Nb,mwenye swali lolote kuhusu train na reli aniulize
Hahaaa! Yaani kilomita tatu gari itakutwa na treni bado ina bargain kuteleza kuvuka reli!!!!
 
Tayari umesha wadanganya wadau.

Kwanza gari huwa halivutwi badala yake hukutwa pale,..

Tairi za treni hazina sumaku lakini kuna chuma kimoja kinacholizunguka tairi na kushaka reli ili treni isitoke nje ya reli au njia yake ndo chenye sumaku ambayo huweza kushika reli kwa distance ya hadi km 4,

Sasa gari inapo jaribu kuvuka reli ndani ya umbali huo chuma kile chenye sumaku huiweka injini yake sehemu ya reli na kuiforce kuzima pamoja na kushikana na reli.

Ingekuwa sijui "nini" effect kama ulivyo wadanganya basi mimi ningekuwa nilishavutwa kitambo sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Shida yako wewe, umekuja kama unataka kukosoa wakat hujui kitu.

Bhas pale utakapojiskia unataka kujifunza, karibu sana mkuu, ntakupa shule bila hiyana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wote nyie mmelisha watu matango pori, afadhali aloangali kuora yupo sahihi. Na ni kwa mtu ambaye anajaribu kuruka kuteremka kutoka kwenye tren. Ila ukweli ni kwamba hakuna asiyejua kuwa treni haisimami haijalishi dereva kakuona ama la, na ikikugonga wewe ndo umeigonga. So ule wasiwasi maranyingi gari huzima sababu dereva hujaribu kulikanyagia livuke tuta kwa haraka . Na hapo tren ndo husmash kigali chako kama cha mabox vile
 
Tren ili iweze kupita kwenye reli magurudumu yake yana unatisho wa sumaku.

Sasa nguvu hii ya usumaku hupokelewa na mataruma tren inapokuwa karibu. Ndio maana mita 500 hutakiwi kuwa kwenye hayo mataruma

Gari Lina magurumu ya mpira lkn rim ni cast iron hivyo hupokea nguvu ya usumaku kirahisi sana na kufanya gari kuwa mzito lisiweze kuvuka reli Adi tren ipite

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo. Af unadangànya confidently
 
Back
Top Bottom