Fere bila maji jau kumwa maji mengi ikibidi ya balidiDaah nashukuru mdau ngoja ninywe maji asee mana nahisi kufakufa ujue
Balidi xFere bila maji jau kumwa maji mengi ikibidi ya balidi
daah mdau myaka saba kwa hali hii nitafika kweli hapa najihisi kama nikienda kulala usiku sitaamka tena kwa hali ninayojisikia. Nipe ushauri nifanyeje nazunguka tu na chupa za maji ya kunywa hapa hata kazi haziendi.Hiyo itAkaa kichwani miaka 7 sahau kurudi kwenye hali yako ya kawaida...kisha jifunze si kila kitu ni cha kujaribu vingine ni bora ukaviacha vipite
Lamba sukari ya kutosha.kaa sehem yenye oxygen ya kutosha kaa kiutulivu kabisa halafu achana na simu muda huo.daah mdau myaka saba kwa hali hii nitafika kweli hapa najihisi kama nikienda kulala usiku sitaamka tena kwa hali ninayojisikia. Nipe ushauri nifanyeje nazunguka tu na chupa za maji ya kunywa hapa hata kazi haziendi.
Nawe utakuwa mwanachama bila shaka[emoji4] [emoji4]Fere bila maji jau kumwa maji mengi ikibidi ya balidi
Mpaka hapo keshakoma huyu hatudii tenaMkuu mbona unaanza vilevi visivyo na maana kama kijana.
Acha muda upite ila achana na kuharibu mwili na mambo hayo mkuu
Kila kitu sio lazima uige waachie wenye vipaji vyao hizo mambo za weed
Hiyo itAkaa kichwani miaka 7 sahau kurudi kwenye hali yako ya kawaida...kisha jifunze si kila kitu ni cha kujaribu vingine ni bora ukaviacha vipite
Kavute tena....vuta nyingi zaidi ya ile uliyovuta mwanzodaah mdau myaka saba kwa hali hii nitafika kweli hapa najihisi kama nikienda kulala usiku sitaamka tena kwa hali ninayojisikia. Nipe ushauri nifanyeje nazunguka tu na chupa za maji ya kunywa hapa hata kazi haziendi.
Ukiona inakuzingua sana, kunywa maziwa. Tjen usirudie tena kuvuta vitu vyetu kanywe vi castle lite vyenu[emoji35] [emoji35] [emoji35]daah mdau myaka saba kwa hali hii nitafika kweli hapa najihisi kama nikienda kulala usiku sitaamka tena kwa hali ninayojisikia. Nipe ushauri nifanyeje nazunguka tu na chupa za maji ya kunywa hapa hata kazi haziendi.