Ule ni oungo tu,hakuna uhalisia wowote
sawa..Acha ukinga wewe kama hujui kaa kimya ,hakuna style kwenye karate inaitwa KATA,kata ni combinations kila mchezo wa karate iwe guju luu ,tai kondo n.k ipo
Bruce Lee wa the REAL THING. There were no LIES in his ability to perform. So many people who knew Bruce Lee spoke about this fact including Kareem Abdul Jabber
Acha ww wapiganaji wote hodari walio kua marekani walimkataa mpaka alipo wapiga wote akiwapo bingwa wa wakati huo kwenye upande wa kick boxer check norisHalafu wala hakuwa mkali kiviiile
Asante Fundi....kiai kwa ajili ya kuleta mzuka na kumtisha mpinzaniKujikaza ni mwembwe tu ili aonyeshe misuli yake.Kumbuka alikuwa ni mcheza sinema.Mpiganaji hodari mara nyingi anapigana akiwa amerelax ili asipoteze nguvu.Angalia wale ma-master wa kung fu jinsi wanavyokuwa wamerelax
Zile sauti za ajabu zinaitwa Kiai.Lengo lake ni kuongeza mzuka wa kupigana.
Big No....bluce Lee alicombine michezo ya traditional Chinese boxing,shoto kan,,kungfu,,muai Thai,,wushu.. kutengeneza mchezo mpya unaoitwa Jeet ku nedoBruc Lee style yake kubwa ilikua ni shot kan kwa wale wajuzi wa Mambo Kama Mimi na ndiyo style aliyo ibuni yeye mwanyewe kwa kuunganisha mapigano ya kick boxer na style combination za kichina
Sawa doniyeni
Hakuna cha uvimbe wala nini, yule na mwanae Brandon walipotezwa kwa sababu maalumAcha kudanganyika yule jamaa inasadikika chanzo kikubwa cha kifo chake ni uvimbe ambao ulijitengeneza kwenye ubongo wake kwa sababu alizidisha mazoezi kupita kiasi.Kitendo cha kukakamaa ni mbinu za kikarate kwenye kuutia ganzi mwili ili mwili uwe kama resistance kwa pigo kutoka kwa adui pia inasaidia kwenye kuachia effective pigo kwa adui.
Weeeeee [emoji848]Halafu wala hakuwa mkali kiviiile
Tupo sema hatupendi show-off ππWeeeeee [emoji848]
Mpaka sasa hivi nani anamkaribia?
Unacheza wewe
Taekwondo na Jeet Kune DoStyle ya jackie chan inaitwaje?
Hakuna wewe hata mimi nakudunda tuTupo sema hatupendi show-off ππ
Snake in a monkey shadowStyle ya jackie chan inaitwaje?
[emoji23][emoji23][emoji23]Alikua anatumia style inaitwa "KATA' hii ni style ngumu sana kujifunza...na tunaiweza wachache.
Hapana mkuu unkosea sana wana karate ,kiai ni kwa ajili ya kukufundisha wewe kutumia pumzi yako vizuri ili uweze ku block na kutoa shambulio effectively yaani una block kwa nguvu na unapiga kwa nguvu.Kujikaza ni mwembwe tu ili aonyeshe misuli yake.Kumbuka alikuwa ni mcheza sinema.Mpiganaji hodari mara nyingi anapigana akiwa amerelax ili asipoteze nguvu.Angalia wale ma-master wa kung fu jinsi wanavyokuwa wamerelax
Zile sauti za ajabu zinaitwa Kiai.Lengo lake ni kuongeza mzuka wa kupigana.
Yaani unamtumia mcheza basketball kukujibu juu ya kara te? Kweli bro upo serious?Bruce Lee wa the REAL THING. There were no LIES in his ability to perform. So many people who knew Bruce Lee spoke about this fact including Kareem Abdul Jabber